kaligopelelo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 2,832
- 4,070
Kwahiyo mkeo kabla haujamvua alikuwa analisha tigo?Mimi nilimvua nikatupa chooni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo mkeo kabla haujamvua alikuwa analisha tigo?Mimi nilimvua nikatupa chooni
Nimekwambia anza na kikuku kesho vaa alafu katisha K/Koo Mtaa wa Congo na Msimbazi, utatuletea mrejeshoKwahiyo kipini inatoa ishara gani mkuu nipo kwa ajili ya kujifunza na mimi
Mkuu hakuna nilipohusianisha hizo taatifa hayo umeyasema wewe, sijasema hivyo mboni unanilisha maneno?Kwahiyo mkeo kabla haujamvua alikuwa analisha tigo?
Sasa unawachukia ili iweje?Mkuu hizo ni ishara za kikundi sio za tamaduni, kuna kikundi kikiona umevaa hizo ishara kinajua wewe ni mwanakikundi mwenzao wame-take-over hio culture wameiweka kwenye signals, ukiona uulizi mara 3
Watu wanavaa tena huko kariakoo ndo wengi na hakuna anayewasumbua. Mbona tunawaona kila siku barabarani?Nimekwambia anza na kikuku kesho vaa alafu katisha K/Koo Mtaa wa Congo na Msimbazi, utatuletea mrejesho
Wapo wengi na wanaendesha maisha yao kama kawaidaHuko pwani ,zanzibar ,mtwara n.k usipomkuta mdada hana kipini basi tambua huyo ni wa kolomije.
Dsm vipo vingi sana
Sijasema hawavai, tatizo unakaza ubongoWatu wanavaa tena huko kariakoo ndo wengi na hakuna anayewasumbua. Mbona tunawaona kila siku barabarani?
Impact yake imenigusa ndio maana nikasema ni signal za kikundi, wewe vaa sijakukataza ila mke wangu nilishampiga marufuku na havai hata sasaSasa unawachukia ili iweje?
Yaani unaumia kabisa 🤣🤣🤣
Unapata shida kwa matendo ya mwingine ambayo hayakuathiri wewe
Sijakaza popote.Sijasema hawavai, tatizo unakaza ubongo
Hapo kwa mke wako ndipo panapokuhusu zaidi. Sasa umeelewekaImpact yake imenigusa ndio maana nikasema ni signal za kikundi, wewe vaa sijakukataza ila mke wangu nilishampiga marufuku na havai hata sasa
Hakuna niliposema nawachukia itakua umechanga ID, mimi nimesema hizo ni signalsUmesema unawachukia sana ukiwaona
Okay fine mkuu, nashukuru kwa kunielewaHapo kwa mke wako ndipo panapokuhusu zaidi. Sasa umeeleweka
Hakuna niliposema nawachukia itakua umechanga ID, mimi nimesema hizo ni signals
Natamani nikwambie ila basi acha nisikwambie tu, wewe baki kujua ni urembo ila usilolijua kuna kikundi kimesadifisha imekua ni zaidi ya urembo kwao sio kwako, kwako wewe ni urembo ila kwao wao ni signal/indicator
Sawa mkuu, umeeleweka vizuriPia hizo signals zina maana hiyo kwa utamaduni wa kwako. Kuna jamii tofauti na kila moja ina tamaduni zake...zipo ambazo kwao haina maana hiyo ambayo unaijua wewe.
Umenena kweli...mwanamke wa bara huko atapata muda gani wa kujiremba wakati asubuhi akiamka anatakiwa akalishe majani ng'ombe na mbuzi huko bandani, kisha akamue maziwa..jioni ikifika anatakiwa aingie bandani tena akakamue maziwa ya ng'ombe...huo muda wa kutoga pua na kuvaa vikuku au kupaka piko na hina atautoa wapi??!Kipini utamaduni, nadhani tujifunze kuheshimu tamaduni za wengine bila kujali utamaduni huo unatafsiri gani katika jamii nyingine. Ila pamoja na yote mwili wa mwanamke ni pambo na mapambo ni sehemu ya urembo Kwa wanawake karibia wote.
Nadhani Kwa jamii za pwani wanawake wengi wasafi. Wanawake wanajua kuoga na kujiremba kuliko wanawake wengi wa bara.
Shida inakuja kwenye mazoea ya wanaume wengi wa bara na mfumo wao maisha na namna wanawake wake wao walivyo. Ni kweli watu wa bara ni washamba sana hilo halina ubishi,ndo washangae na kipini? 😃😃
Katika jamii yetu kipini ni sehemu ya urembo karibia Kila mwanamke ametoboa pua kuanzia vikongwe mpaka vigoli.
Shida ya watu wa bara wengi wao ni wachafu Sana halafu wanataka jamii yote iishi kama wao,kuchangamana na wanyama muda wote wanawake wenu wanapata wapi huo muda wa kuoga na kupendeza?
Kijilemba sikatai, lkn kutoboa hapanaMwanamke kujiremba ni wajibu labda kama huna mume!! Wewe jifabye hardcore uone kama hujakimbiwa.
Hakuna mwanaume anaependa mwanamke gangastar aka ngumu kumeza. Ukishaibiwa mume na hao wenye vipini ndio utakuja kuelewa haya ninayoyasema
Watu wanaroho ngumuImagine kuna wanaotoboa mpaka mule sehemu za siri
Acha kutetea makahaba na malaya wa pwani na signal zao hizo za vikuku na kutoboa pua..wengine wameenda mbali zaidi kuchora tatoo..ni umalaya mtupu.Mwanamke kuvaa vikuku haimaanishi kuwa unafirwa , huo ni urembo tuliorithi kutoka mashariki ya kati na ya mbali. Wanawake wa kizungu wanafanya hiyo michezo na huwezi kukuta wamevaa vikuku kwa kuwa sio utamaduni wao wa urembo.
Mwanamke jipambe kwa mumeo. Hakuna mwanaume anayependa mwanamke ambaye yupoyupo tu. Inatakiwa uwe ni kiliwazo kwa mumeo, yale ambayo anayaona mchana kutwa katika mihangaiko yake basi aje ayakute ndani kwake ila akiyakosa jua kuwa atakwenda kuyatafuta nje.