Simamia msimamo wako cute,hata ivo hakuna jipyaMarehemu baba alimkataza mama kututoboa sikio,
Na alimwambia watatoboa wenyewe wakijitambua,,,sasa kati ya siye watatu mmoja tu katoboa sikio, siye wawili hapana tumesimamia msimamo hakuna kutoboa,
Aisee hivi ngozi ya pua ilivyo ngumu,maumivu yake si [emoji91]?
Kwakweli hii kitu [emoji706]Simamia msimamo wako cute,hata ivo hakuna jipya
Wote malaya ,wagawa chin pumba v 🤧🤧Suala la kuvaa kipindi kwa pwani ni suala la kawaida na urembo, Pwani, Tanga ni jambo la kawaida. Tatizo watu wa bara wana mtazamo finyu wa utofauti wa jamii, mtu ametoa huko anakuja anakuta watu wamevaa vipini anaona ni umalaya.
Tuelewane, siyo mtazamo sahihi.
Mimi huwa nikimuona manzi na kipini puani nahisi kutapika kabisa..SIWAPENDI WANAWAKE WENYE MAVIPINI NAWACHUKIA MNO.
MAJINI CHENZIII.
hoja ni kwa mwanaume.Suala la kuvaa kipindi kwa pwani ni suala la kawaida na urembo, Pwani, Tanga ni jambo la kawaida. Tatizo watu wa bara wana mtazamo finyu wa utofauti wa jamii, mtu ametoa huko anakuja anakuta watu wamevaa vipini anaona ni umalaya.
Tuelewane, siyo mtazamo sahihi.
mimi pale ni lazima nipitishe ulimi.Mimi huwa nikimuona manzi na kipini puani nahisi kutapika kabisa..
hiki binafsi kinanipa ukakasi.... kitovu ni sehemu sensitive sana kwa mwili, pale ndipo utumbo ulipounganishwa sasa kutoboa toboa naweza kukuletea magonjwa ya kansa ha utumbo.
Yaani umchukie tu mtu kisa kaweka kipini. Kwamba ukimuona na kipini unajisikia kinakuchoma pua yako?SIWAPENDI WANAWAKE WENYE MAVIPINI NAWACHUKIA MNO.
MAJINI CHENZIII.
Kipini ni isharaYaani umchukie tu mtu kisa kaweka kipini. Kwamba ukimuona na kipini unajisikia kinakuchoma pua yako?
Chuki nyingine zinashangaza