Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
- Thread starter
-
- #81
Njoo buanaa sanchiiii n'nini lakiniii🤗🤗hahaha hivi venga unavyonipiga.
Namesimama kwa Mathias.
Uelekeo wa kuelekea kanisani kwa pastor Mwingira. Nakusubiri tukapate upako
Nishafanya booking tiyari; kcc hotelNjoo buanaa sanchiiii n'nini lakiniii🤗🤗
Sio kila siku tule kiporo cha wali ndondo na maharage.Aww yeahh😋🤭🤭can't waaaaaiiitt..wow
How you feel..??😉🤗Sio kila siku tule kiporo cha wali ndondo na maharage.
Walau Leo tubadilishe ladha.
Ca'nt wait pia 😘
haha can't explain!!How you feel..??😉🤗
🤣🤣🤣haha can't explain!!
hahaha funga mapazia hayoYaaani,.ooh lord🤭
Mmmh jomoniiii😋😋mate yamenitokahiki..nashushia na maji ya baridi. [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1275981
🔥🔥🔥sanaaKipolo cha wali na kisamvu kilicholala
mi hicho kisamvu kilicholala ukipikie dona moto moto utakuwa umeniwezaNjoo hapa Shekilango mwendokasi twen'zetu
😋😋😋mi hicho kisamvu kilicholala ukipikie dona moto moto utakuwa umeniweza
Hiki ndo kiporo sasa, kisamvu kiwe na karanga nyingi[emoji39], rate 1sthiki..nashushia na maji ya baridi. [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1275981
Mhhhhh kiporo cha wali maharage chai ya rangi yenye iriki uwiiiiChagua kimoja bwana😄
Me bado sijapata jibu kati ya hivyo viwili kipi kitraaam zaidi,.😇😇Mhhhhh kiporo cha wali maharage chai ya rangi yenye iriki uwiiii
Ila kisamvu cha nazi nachoo sio cha mchezo mchezooo...
Ila mshindi wali maharage ya nazi.