Inna
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 11,193
- 27,078
Hahaaa anakijua ndiyo maana ukiwa naye haangaiki na mtu ye anatazama wenye chura
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaa anakijua ndiyo maana ukiwa naye haangaiki na mtu ye anatazama wenye chura
Ntajaribu kuyapika makande ya karanga
Kuna tegu wanaleta kifafa huko ohooMimi huwa nachemsha kitimoto jioni then nakitundika kinakauka halafu kesho yake asubuhi nalia na chai![emoji41][emoji41][emoji41]
Naunga mkono hojaUsifananishe kiporo cha wali kisanvu na vitu vya hovyohovyo
Loh! Mimi bado sijapata jibu mpaka jioni hii kwamba kipi boraUsifananishe kiporo cha wali kisanvu na vitu vya hovyohovyo
Kiporo cha wali maharage na chai ya rangi [emoji11]
Tena ule kwenye sufuria.
Kabisa hadi leo, unajua ile pika wali mwingi na wa kesho chai[emoji16]Ndio vimetukuza jamani [emoji23]
Kabisa hadi leo, unajua ile pika wali mwingi na wa kesho chai[emoji16]
Kala sana na matunda ya pink nayo kapiga.Mjomba wa italy kabla hajaenda kala snaa hivyo vitu eti
Karibu kwangu siku moja asubuhi,.😊Vyote vitamu pia kuna ule wali unapikwa mtamu ukilala unakuwa mtamu balaa
Na siku nyingi sijala viporo ila vitamu jamen
Karibu kwangu siku moja asubuhi,.[emoji4]
Hilo halina shida hata kidogo, nitajiandaaNitakulaaaa mpaka ukimbie
Kabisa kabisa. KisipakuliweTena ule kwenye sufuria.