Mimi nimesema sijuiBado tunazungumzia nadharia ya kila kitu kuwa na chanzo ambapo wewe bado hujakubaliana na hiyo nadhari.
Ni kweli hoja haipigwi marungu, ila kirojaAkili mbovu wewe huna la kujibu
rubbish [emoji706][emoji706][emoji706]
hoja haipigwi marungu bali hujibiwa kwa hoja
Suala la uwepo wa Mungu linajulikana ni imani hivyo si shida sie kusema Mungu yupo, kwahiyo kuombwa uthibitisho sio udhaifu kwetu bali ni udhaifu kwenu.Kwasababu mnapenda kusema mungu yupo bila uthibitisho, na kuombwa uthibitisho ndio udhaifu wenu
Nyie kwenu inawezekana sio shida kwasababu hamjaweka kipaumbele katika kujua ukweli, ila mimi nahoji kujua kama ni kweliSuala la uwepo wa Mungu linajulikana ni imani hivyo si shida sie kusema Mungu yupo, kwahiyo kuombwa uthibitisho sio udhaifu kwetu bali ni udhaifu kwenu.
Sijajua kwanini umeshikilia kuniuliza chanzo cha Mungu?Mimi nimesema sijui
Wewe unayejua hujanijibu chanzo cha mungu ni nini?
The same reason, sioni kama inaingia akiliniSijajua kwanini umeshikilia kuniuliza chanzo cha Mungu?
Wewe umesema hujui.
Hapo ni wewe ulisema haiingii akilini kusema kitu hakina chanzo, chanzo cha mungu ni kipi?Wewe umesema hujui.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kiranga ni mlemavu, alizaliwa mzima baada ya kupata ulemavu ndio akamchukia Mungu. Nasikia hata jicho lake anagawa.
Tena alipokelewaga na Padri kama hujuiHivi unaelewa unachokiandika kweli ?
Tangu lini Muhammad ( SAW) alikuwa Mkristo ?
Kusali SI HOJA mbona huko kwenye kusali wapo WACHAWI wengi tu!? Hoja ni kujua unasali na unamuabudu NANI!? Hiyo ndiyo hoja!Mara nyingi nimekuwa nikiwaza huyu member hapa JF atakuwa alikutana na incident iliyomfanya akamchukia Mungu.
Hapa anaeleza namna alivyokuwa anasali na Nyerere pale St Peters
My take, huyu anahitaji kuombewa ili amrudie muumba wake.
Mshana Jr
Kwahiyo kusema kuwa kila kitu lazima kiwe na chanzo ndio maana yake lazima nijue kila chanzo cha kila kitu?Hapo ni wewe ulisema haiingii akilini kusema kitu hakina chanzo, chanzo cha mungu ni kipi?
utajuaje kua kila kitu kina chanzo kama hujui vyanzo vyake?Kwahiyo kusema kuwa kila kitu lazima kiwe na chanzo ndio maana yake lazima nijue kila chanzo cha kila kitu?
Nikikwambia mimi ndiye Mungu mwenyewe, una uwezo wa kuthibitisha au kutothibitisha hilo?Sasa kama hiyo nchi ya wagagagigikoko hujawahi kwenda na wala huna ujuzi wa kwenda huko, utajuaje kuwa ni ya kufikirika tu na haipo? Mimi ninachosema ni kwamba kama nikishindwa kuthibitisha kuwa wewe ulikuwa Mkatoliki na ukaachana na Ukatoliki, siyo ushahidi a) kuwa wewe siyo Mkatoliki na hujaachana na Ukatoliki na b) siyo ushahidi kuwa wewe ni Mkatoliki na hujaachana na Ukatoliki. Vivyo hivyo, kuwepo kwa Mungu - hakutegemei kuweza kuthibitisha uwepo wake au kuweza kuthibitisha kutokuwepo kwake - maana Mungu ni beyond unachoweza kuthibitisha au hata usichoweza kuthibitisha. Mfano, nikishindwa kuthibitisha jinsi dunia ilivyoanza siyo ushahidi kwamba dunia haikuanza au haipo. Na hata nikiweza kuthibitisha siyo ushahidi kuwa ipo kwa sababu kuwepo wake au kutokuwepo kwake hakutegemei kuweza kuthibitisha au kushindwa kuthibitisha kwangu. Whether nithibitishe au nisithibitishe au nishindwe kuthibitisha - dunia ipo na ilianza wakati fulani.
Iko hivi, sio lazima nimjue ni nani aliyevunja kufuli ya gate langu na kufungua gate ndio et niweze kusema kuwa kufuli ya gate langu imevunjwa na mtu na si kwamba imevunjika yenyewe na gate likajifungua lenyewe. Kwa kutumia akili huwezi kufikiri kuna uwezekano wa kufuli kuvunjika iyenywe na gate kujifungua lenyewe haingii akilini.utajuaje kua kila kitu kina chanzo kama hujui vyanzo vyake?
Kwenye mabishano ya vijiwe vya kahawa ulichokiandika kinaweza kua hoja ila sio hapa, mfano wako ni irrelevant kwasababu watu wapo na wanathibitishika kua wapo ni tofauti sana na mtu anayesema jambo fulani limefanywa na mungu ambaye hathibitishiki kua yupo na ukaweka assertion kua yeye ndio kasababishaIko hivi, sio lazima nimjue ni nani aliyevunja kufuli ya gate langu na kufungua gate ndio et niweze kusema kuwa kufuli ya gate langu imevunjwa na mtu na si kwamba imevunjika yenyewe na gate likajifungua lenyewe. Kwa kutumia akili huwezi kufikiri kuna uwezekano wa kufuli kuvunjika iyenywe na gate kujifungua lenyewe haingii akilini.
Kwahiyo ni sawa vitu kuwa havina chanzo ni jambo ambalo haliingii akili na haihitaji nijue chanzo cha kila kitu.
Huna jibu ndo mana unaishia kusema ivo wwNi kweli hoja haipigwi marungu, ila kiroja
Kiroja hakihitaji majibuHuna jibu ndo mana unaishia kusema ivo ww
Ulimwengu unawezaje kusababisha kila kilichopo? Thibitisha kisayansi na sio kinadharia wala kufikirika. Ukisema tu ulimwengu umesababisha kila kilichopo huo ni muujiza na si sayansi. Yaan ulimwengu umesababisha kila kitu kimiujiza sasa wewe utakua Atheist kweli? Au unaamini miujiza ya ulimwengu?unauliza maswali ambayo nisha elezea mapema kabisa
Nilivyokuambia kua kila kilichomo ndani ya ulimwengu kimesababishwa na ulimwengu except ulimwengu, ulielewaje?
Kwenye kukubali kuamini jambo huwa hatutumii uthibitisho bali hutumia sababu na dalili za kuamini hivyo, kama ukiwa na uthibitisho wa hilo jambo sidhani tena kama utasema unaamini hilo jambo.Nyie kwenu inawezekana sio shida kwasababu hamjaweka kipaumbele katika kujua ukweli, ila mimi nahoji kujua kama ni kweli
Kwasababu muongo yeyote anaweza kutumia trick kama hiyo kupenyeza uwongo wake, so utakubali kua uwomgo huo ni kweli kwasababu ni mambo ya kiimani?
Au utakubali kua madai hayo ni ya kweli kwasababu kuomba kwako uthibitisho wa ku verify hiyo habari kutakufanya uonekane dhaifu?