Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Sikutaka kuchangia hii mada ila kuna sehemu nimeona hamuelewani hapo ndipo nilipoona nafasi ya mimi kuweka dokezo katikati ya mjadala wenuKuna vitu viwili. Predestination na Foreknowledge.
Predestination, ni kwamba yeye ameweka plan toka mwanzo kwamba amekuumba na uwezo wa kumfuata yeye. Na ikiwa umefail basi amekuwekea njia ya kujirekebisha.
Foreknowledge, hapa ni Mungu anakuona wewe mwaka 2000, mwaka 2022 na mwaka 2040 (kwa maana ya past, present and future). Anaona unachofanya nyakati zote za maisha yako. Sio kwamba amekupangia au anacontrol unachofanya bali anakuona. Yeye hafungwi na muda.
Naomba kujua dini yako?