Kiranga kimeniisha!

Kiranga kimeniisha!

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Baada ya kusoma nyuzi kadhaa humu hususani ktk hii wiki kwenye jukwaa letu hili, nyuzi nyingi zimekuwa zikifunguliwa na wanaume zikizungumzia juu ya wanawake na pesa!. Kila nikifungua hili jukwaa ni wanawake na pesa!.

Nikaona isiwe tabu Wacha niwe Albert Einstein kwenye hili!,niketi chini niwaze niwazue nije na mbadala ama majibu ya nini kifanyike au any formula ya kurekebisha hili!.. nikaanza kuwaza kwanza kwa kuangalia historia ya mwanamke toka kwenye biblia nikamaliza nikaanza ifatilia pesa historia yake.

Mawazo mengine yakawa yakuhuzunisha na mengine yakufurahisha mpaka nikaanza kuhisi njaa!. Nikala nikashiba nikaendelea kichwa kikaanza niuma nikanywa Panadol hapo nikachukua na note book nianze kuandika!. Kufanya hivyo ndo nikawa kama nimechokoza nyuki kichwa kikaanza niuma kwa mapigo kama napigwa na nyundo!.

Lakini sikuchoka, nikaendelea baadae ya masaa kama ma nne hivi from no where nikapoteza fahamu!,nakuja kushituka najikuta nimemwagiwa maji nimelowa tepetepe!,wananiambia nimezimia kwa masaa matatu!.
Shukurani zangu kwa waliofanya jitihada za kunizindua maana bila wao sijui ingekuwaje!.

Kiranga chote kimeniisha na nimejua ukitaka kumtenganisha mwanamke na hela lolote linaweza kukuta!,hivyo basi hicho ni kitu kisichotenganishwa!. Kwahiyo ndugu zanguni tutafute hela tu hakuna namna ya kulikimbia hili.

Niwatakie siku njema isiyo na manung'uniko.
 
Hela tunatafuta lakini hii mentality ya kutafuta hela uweze kumantain mahusiano yako lazima tujue inaambatana na consequences zake.

Pale utakapozipata izo hela utakua na mawazo kwamba hapa nimependewa hela tu na ndio huo mwanzo wa kuwaona wanawake kama chombo cha starehe tu ukiachana na huyu pesa inakupa mwingine badae tu.

Hivyo wanawake wanavyotusisitiza "tafuta hela" lazima wakubali izo hela tukizipata tutaishia kuwachezea na kuwaacha tu ivyo ivyo na wanaume mnaosisitiza "tafuta hela" pia mkubali dada zenu na wadogo zenu wa kike hatutawaacha salama.
 
Kama mwanaume anatafuta hela kwa ajili ya kufurahisha kikundi cha wanawake anapaswa atambue wazi kwamba yeye ni loser.

Lakini kama anatafuta kwa ajili ya mke au mama yake ili wafurahie uwepo wake katikati yao nadhani huyu ndiye timamu,kwanini utafute hela kwa mateso kisha uzitumie kwa kiumbe usichokuwa na future nacho?
 
Kama mwanaume anatafuta hela kwa ajili ya kufurahisha kikundi cha wanawake anapaswa atambue wazi kwamba yeye ni loser.

Lakini kama anatafuta kwa ajili ya mke au mama yake ili wafurahie uwepo wake katikati yao nadhani huyu ndiye timamu,kwanini utafute hela kwa mateso kisha uzitumie kwa kiumbe usichokuwa na future nacho?
Na anaetafuta kwa vyote...?
 
Baada ya kusoma nyuzi kadhaa humu hususani ktk hii wiki kwenye jukwaa letu hili, nyuzi nyingi zimekuwa zikifunguliwa na wanaume zikizungumzia juu ya wanawake na pesa!.
Kila nikifungua hili jukwaa ni wanawake na pesa!.

Nikaona isiwe tabu Wacha niwe Albert Einstein kwenye hili!,niketi chini niwaze niwazue nije na mbadala ama majibu ya nini kifanyike au any formula ya kurekebisha hili!.. nikaanza kuwaza kwanza kwa kuangalia historia ya mwanamke toka kwenye biblia nikamaliza nikaanza ifatilia pesa historia yake.

Mawazo mengine yakawa yakuhuzunisha na mengine yakufurahisha mpaka nikaanza kuhisi njaa!. Nikala nikashiba nikaendelea kichwa kikaanza niuma nikanywa Panadol hapo nikachukua na note book nianze kuandika!. Kufanya hivyo ndo nikawa kama nimechokoza nyuki kichwa kikaanza niuma kwa mapigo kama napigwa na nyundo!.

Lakini sikuchoka, nikaendelea baadae ya masaa kama ma nne hivi from no where nikapoteza fahamu!,nakuja kushituka najikuta nimemwagiwa maji nimelowa tepetepe!,wananiambia nimezimia kwa masaa matatu!.
Shukurani zangu kwa waliofanya jitihada za kunizindua maana bila wao sijui ingekuwaje!.

Kiranga chote kimeniisha na nimejua ukitaka kumtenganisha mwanamke na hela lolote linaweza kukuta!,hivyo basi hicho ni kitu kisichotenganishwa!.
Kwahiyo ndugu zanguni tutafute hela tu hakuna namna ya kulikimbia hili.

Niwatakie siku njema isiyo na manung'uniko.
Aliyeelewa mtoa uzi alikuwa na ujumbe gani anisaidie kufafanua
 
Baada ya kusoma nyuzi kadhaa humu hususani ktk hii wiki kwenye jukwaa letu hili, nyuzi nyingi zimekuwa zikifunguliwa na wanaume zikizungumzia juu ya wanawake na pesa!.
Kila nikifungua hili jukwaa ni wanawake na pesa!.

Nikaona isiwe tabu Wacha niwe Albert Einstein kwenye hili!,niketi chini niwaze niwazue nije na mbadala ama majibu ya nini kifanyike au any formula ya kurekebisha hili!.. nikaanza kuwaza kwanza kwa kuangalia historia ya mwanamke toka kwenye biblia nikamaliza nikaanza ifatilia pesa historia yake.

Mawazo mengine yakawa yakuhuzunisha na mengine yakufurahisha mpaka nikaanza kuhisi njaa!. Nikala nikashiba nikaendelea kichwa kikaanza niuma nikanywa Panadol hapo nikachukua na note book nianze kuandika!. Kufanya hivyo ndo nikawa kama nimechokoza nyuki kichwa kikaanza niuma kwa mapigo kama napigwa na nyundo!.

Lakini sikuchoka, nikaendelea baadae ya masaa kama ma nne hivi from no where nikapoteza fahamu!,nakuja kushituka najikuta nimemwagiwa maji nimelowa tepetepe!,wananiambia nimezimia kwa masaa matatu!.
Shukurani zangu kwa waliofanya jitihada za kunizindua maana bila wao sijui ingekuwaje!.

Kiranga chote kimeniisha na nimejua ukitaka kumtenganisha mwanamke na hela lolote linaweza kukuta!,hivyo basi hicho ni kitu kisichotenganishwa!.
Kwahiyo ndugu zanguni tutafute hela tu hakuna namna ya kulikimbia hili.

Niwatakie siku njema isiyo na manung'uniko.
😆😆😆
 
Mtu akizimia zikazidi dk 4 hajazinduka atakua kwenye hatari ya brain damage, kiharusi, shambulio la moyo au kifo.

Kwa hiki kilichoandikwa na anavyodai alizimia kwa saa 3 hii ni brain damage at work
 
Back
Top Bottom