Kiranga kimeniisha!

Kiranga kimeniisha!

Kama mwanaume anatafuta hela kwa ajili ya kufurahisha kikundi cha wanawake anapaswa atambue wazi kwamba yeye ni loser.

Lakini kama anatafuta kwa ajili ya mke au mama yake ili wafurahie uwepo wake katikati yao nadhani huyu ndiye timamu,kwanini utafute hela kwa mateso kisha uzitumie kwa kiumbe usichokuwa na future nacho?
Naona umeandika siasa tu hapa umezungukazunguka ila umengia concept ileile ya mtoa mada kwani huyo MKE nani ni mwanaume, huyo make ndiye mwanamke mwenyewe ngumu kumtenganisha na pesa kubali kataa umelazimisha akili yako kua mtoa mada anasema pesa kufanyia umalaya kwa wanawake, suala ni hayohayo mahusiano sahihi na mwanamke sahihi bado unahitaji pesa ndio akuelewe
 
Naona umeandika siasa tu hapa umezungukazunguka ila umengia concept ileile ya mtoa mada kwani huyo MKE nani ni mwanaume, huyo make ndiye mwanamke mwenyewe ngumu kumtenganisha na pesa kubali kataa umelazimisha akili yako kua mtoa mada anasema pesa kufanyia umalaya kwa wanawake, suala ni hayohayo mahusiano sahihi na mwanamke sahihi bado unahitaji pesa ndio akuelewe
Mkeo akikuomba hela ya gauni jipya leo ukamwambia sina atakuelewa na usiku atakupa penzi bila manung'uniko nenda kaambie hivyo danga lako halafu liite kwako leo hii hii uone kama litakuja.

Mkeo ana haki ya kutumia hela yako kwa sababu haishii kuitumia yeye tu atakachonunua kinaweza pia kikawafaa wanao sasa malaya watakufaa vipi ikiwa hela unayompa hairudi ktk circle yako?kwani maskini wangapi tunaishi na wake zetu miaka na miaka ndoa zinadumu wewe kwenu ni matajiri mbona mama yako hakumkataa baba yako kama ni maskini?
 
Mkeo akikuomba hela ya gauni jipya leo ukamwambia sina atakuelewa na usiku atakupa penzi bila manung'uniko nenda kaambie hivyo danga lako halafu liite kwako leo hii hii uone kama litakuja.

Mkeo ana haki ya kutumia hela yako kwa sababu haishii kuitumia yeye tu atakachonunua kinaweza pia kikawafaa wanao sasa malaya watakufaa vipi ikiwa hela unayompa hairudi ktk circle yako?kwani maskini wangapi tunaishi na wake zetu miaka na miaka ndoa zinadumu wewe kwenu ni matajiri mbona mama yako hakumkataa baba yako kama ni maskini?
Asilimia kubwa ya ndoa za masikini ni uvumilivu wa mume tu. Sasa hata ukimtema utaenda wapi na hela za kuanza na mpya hauna. Ushasikia tajiri analalamika kuwa ana mwezi mzima hajapewa haki yake ya ndoa? Sasa wanaume masikini wanalalamika na bado wako na wake zao. Maana kuanzisha mahusiano mapya ni sawa na kushindwa kulihudumia gari kuukuu na uwaze kununua jipya. Ukoswe hela ya taili upate hela ya gari mpya!!!
 
Mkeo akikuomba hela ya gauni jipya leo ukamwambia sina atakuelewa na usiku atakupa penzi bila manung'uniko nenda kaambie hivyo danga lako halafu liite kwako leo hii hii uone kama litakuja.

Mkeo ana haki ya kutumia hela yako kwa sababu haishii kuitumia yeye tu atakachonunua kinaweza pia kikawafaa wanao sasa malaya watakufaa vipi ikiwa hela unayompa hairudi ktk circle yako?kwani maskini wangapi tunaishi na wake zetu miaka na miaka ndoa zinadumu wewe kwenu ni matajiri mbona mama yako hakumkataa baba yako kama ni maskini?
Tatizo lako unafosi kuwa alternative ya mke ni malaya na pia haujui huyo mke kabla ya kuwa mke alikuwa mwanamke wako na Hapo kwenye mwanamke wako ndipo mtoa mada anazungumzia mpaka ameolewa na kua mkeo means alikua mwanamke na alikiwa na wewe kwasababu ulikua na pesa.

Hakika mzee una FUVU
 
Mwanaume unaishiwaje "kiranga"

Afu kupigwa hela kwenye mahusiano inategemea umekujaje bro umekuja unasema
"Bby I will give you everything you want" unategemea nisikuombe ela

Wanaume wengi mnakuja na swaga zilizonje ya uwezo wenu ndo Mana mnapigwa matukio na hayataisha mpaka mjirekebishe
 
Mtu akizimia zikazidi dk 4 hajazinduka atakua kwenye hatari ya brain damage, kiharusi, shambulio la moyo au kifo.

Kwa hiki kilichoandikwa na anavyodai alizimia kwa saa 3 hii ni brain damage at work
Tumuombee
 
Mwanaume unaishiwaje "kiranga"

Afu kupigwa hela kwenye mahusiano inategemea umekujaje bro umekuja unasema
"Bby I will give you everything you want" unategemea nisikuombe ela

Wanaume wengi mnakuja na swaga zilizonje ya uwezo wenu ndo Mana mnapigwa matukio na hayataisha mpaka mjirekebishe
" Bby i will give you everything you want "
 
Mwanaume unaishiwaje "kiranga"

Afu kupigwa hela kwenye mahusiano inategemea umekujaje bro umekuja unasema
"Bby I will give you everything you want" unategemea nisikuombe ela

Wanaume wengi mnakuja na swaga zilizonje ya uwezo wenu ndo Mana mnapigwa matukio na hayataisha mpaka mjirekebishe
Tukisema everything you want tunamaanisha dick muda wowote.

Tuelewane wajumbe
 
Back
Top Bottom