Kiranga, Mshana na Likud ni ndugu sema hawajuani tu

Soma kitabu, nikikuambia mimi nitaharibu maneno au kukudanganya.

Kama hujui Kiingereza, hilo ni tatizo lako, si langu.
Hahaha,nitakisoma je maswali yangu nikikuuliza baada ya kukisoma utayajibu ?

Unajua kuna mambo mengine kwa jinsi yalivyo mepesi na ukomo mfupi sana huwa tunajua hatima yake au kilichomo ndani kabla hata kukisoma kama hivi hichi kitabu,sio kwamba nimeona yaliyofichikana,la hasha sababu naiujua misingi yenu ilipo mili.

Nipo ....
 
Hahaa Nimecheka tu ili namimi nisione kane kuwa sijui kikristu
 
Bado unagawanya kwa sifuri au umeacha siku hizi?
 
Bro mbona unacheka tena ? Humu nimesharudi mzee,tunaendeleza ada zetu ...
baada ya kuona ile statement yako uliyosema nitarudi .... nikajikuta natamka ..KUMEKUCHA League inaanza.. that's why nikacheka bro
 
Bado unagawanya kwa sifuri au umeacha siku hizi?
Hili ndio tatizo lenu bro,na ninapisema nyinyi mna matatizo ya AKILI huwa siwadhulumu mzee.

Hivi mtu akikiri kama jambo fulani amekosea kuna haja ya kuendelea kulizungumzia ?

Yaani tatizo wakubwa wenu walikosa misingi na adabu za elimu ndio maana majengo yao hayakuimarika zaidi ya ubabaishaji tu.

Nipo,mzee huwa tunaambiwa hivi "Kujua kama hujui ni ishara ya kuwa na elimu ...."

Nipo ....
 
We mzee bhana kwahyo jamaa hasipoelewa wewe haikuhusu
Hawa ni wagonjwa wa akili na dawa zipo ni wao tu kuamua kuzitumia dawa.

Hawa jamaa wangekuwa wana uwezo wa kujibu maswali,na kuukubali ukweli wasingekuwepo katika ulimwengu huu.

Hawa miongoni mwa misingi yao ni kusema uongo.....

Nipo .....
 
Tatizo umejivika kujua habari za kitabu ambacho hata hujakisoma wala huna uwezo wa kukisoma.

Kiingereza tunakuita "incurious". Huna utashi.

Hii ni tabia kubwa sana ya watu wajinga.
 
Hawa ni wagonjwa wa akili na dawa zipo ni wao tu kuamua kuzitumia dawa.

Hawa jamaa wangekuwa wana uwezo wa kujibu maswali,na kuukubali ukweli wasingekuwepo katika ulimwengu huu.

Hawa miongoni mwa misingi yao ni kusema uongo.....

Nipo .....
Unakosea mkuu yaani umejirizisha kwamba mkuu ana ugonjwa wa Akili, si kweli
Jamaa IQ yake kubwa sana tema mate chini mkuu
 
Unakosea mkuu yaani umejirizisha kwamba mkuu ana ugonjwa wa Akili, si kweli
Jamaa IQ yake kubwa sana tema mate chini mkuu
Halafu suala la IQ kwangu mimi ni makapi tu yasiyokuwa na tija yoyote kama vile ilivyo elimu ya Falsafa na Mantiki.

Una hoja dhidi yangu ?
 
Sasa mazee mimi nikitaka kumuelewesha kila mjinga anayeukumbatia ujinga wake kwa tabia tu, na mimi nitajiendeleza saa ngapi nijue zaidi ya hapa ninapojua sasa?
Kweli kabisa umejitahid sana umeonyesha dhahiri kwenye hii JF kwamba wewe ni muungwana umempa mpaka kitabu bure kabisa
 
Kweli kabisa umejitahid sana umeonyesha dhahiri kwenye hii JF kwamba wewe ni muungwana umempa mpaka kitabu bure kabisa
Dah, halafu mtu asivyo na shukurani, hata kushukuru kwa jitihada zangu tu hashukuru.

Ananiambia anaweza kujua kilicho katika kitabu bila hata kukisoma.

No wonder anaamini mambo ya ajabu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…