Hahaha,nitakisoma je maswali yangu nikikuuliza baada ya kukisoma utayajibu ?Soma kitabu, nikikuambia mimi nitaharibu maneno au kukudanganya.
Kama hujui Kiingereza, hilo ni tatizo lako, si langu.
Unajua kuna mambo mengine kwa jinsi yalivyo mepesi na ukomo mfupi sana huwa tunajua hatima yake au kilichomo ndani kabla hata kukisoma kama hivi hichi kitabu,sio kwamba nimeona yaliyofichikana,la hasha sababu naiujua misingi yenu ilipo mili.
Nipo ....