Kiranga, Mshana na Likud ni ndugu sema hawajuani tu

Kiranga, Mshana na Likud ni ndugu sema hawajuani tu

Kiranga is a singularity, do not transgress grotesquely by misanalogizing him.

You will need to reconcile Einstein's Relativity with Quantum Physics, and divide the resultant solution by zero, and advance to a Type V civilization on the Kardashev scale to gather the wattage needed to decipher the encryption and access the essence of His Kiranganess

KardashevScale_v8-1200x6084.jpg


Jibu lake sasa!!!
AMa kweli wewe ni Singularity! 😁
Hii nzuri tho, I'll check it out...

By the way what do you think of Neil D.G. Tyson. Any suggestions?!
 
Ndugu kiranga sizani kama watu tumekuelewa
Lugha uliyo itumia siyo ya nchi hii
Thread za shobo kama hizi ndivyo zinavyotaka.

Shombo la shobo Bobohataki zogo
Jogoo Jaja Opobo wa kibongo
Jibu lake sasa!!!
AMa kweli wewe ni Singularity! 😁
Hii nzuri tho, I'll check it out...

By the way what do you think of Neil D.G. Tyson. Any suggestions?!
We ulishaniambia una bonge la crush naye unatafuta mpaka tiketi za kwenda kwenye talks zake.

He is very intelligent, I know that's your type hahaaaa.

Unafikiri nimesahau?
 
..
We ulishaniambia una bonge la crush naye unatafuta mpaka tiketi za kwenda kwenye talks zake.

He is very intelligent, I know that's your type hahaaaa.

Unafikiri nimesahau?


Hahaha!, OMG!

Una kumbukumbu haki wewe!!!😁😂😂
 
Hili ndio tatizo lenu bro,na ninapisema nyinyi mna matatizo ya AKILI huwa siwadhulumu mzee.

Hivi mtu akikiri kama jambo fulani amekosea kuna haja ya kuendelea kulizungumzia ?

Yaani tatizo wakubwa wenu walikosa misingi na adabu za elimu ndio maana majengo yao hayakuimarika zaidi ya ubabaishaji tu.

Nipo,mzee huwa tunaambiwa hivi "Kujua kama hujui ni ishara ya kuwa na elimu ...."

Nipo ....
Hujakiri umefanya kosa mpaka ukiri huwezi kuthibitisha Mungu yupo, kwa sababu hayupo.
 
Kitu kisichokuwepo huwezi kukizungumzia bro. Ndio maana hata kina Kiranga hawawezi kumzungumzia Mola muumba wa ardhi na mbingu na vyote vilivyomo sababu wao wanaa amini hayupo kwa ujinga wao wenyewe.

Kwa ufupi AKILI ipo ndio maana tunaweza kuizungumzia.

Hapa inabidi unielewe vizuri na ukinielewa vibaya nitakurekebisha ....
Pembetatu ambayo hapo hapo ni duara ipo au haipo katika Euclidean geometry?
 
Kiranga is a singularity, do not transgress grotesquely by misanalogizing him.

You will need to reconcile Einstein's Relativity with Quantum Physics, and divide the resultant solution by zero, and advance to a Type V civilization on the Kardashev scale to gather the wattage needed to decipher the encryption and access the essence of His Kiranganess

KardashevScale_v8-1200x6084.jpg
Una akili mpaka unakera
 
Aman iwe nanyi kuna hawa washikaji kiranga, Likud na mshana. Hawa jamaa baba yao ni mmoja nahis hata mama yao atakuwa ni mmjo sema tu hawajuan

Kwanza sijawah kuwaelewa hata siku moja
Japo kiranga anaonekana kuwa MTU mwenye akili nyingi sana ambazo hazipimiki

Mshana hasomek yupo upande upi japo hukwama kwa kaka yake kiranga

Likud huyu sijui ni mjuu Wa mwanamalunde sijui ni mjukuu Wa bibi fisi yaan hata sielewagi kabisa aisee

Yote kwa yote hawa jamaa baba yao ni mmoja

LIKUD Kiranga Mshana Jr
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kiranga is a singularity, do not transgress grotesquely by misanalogizing him.

You will need to reconcile Einstein's Relativity with Quantum Physics, and divide the resultant solution by zero, and advance to a Type V civilization on the Kardashev scale to gather the wattage needed to decipher the encryption and access the essence of His Kiranganess

KardashevScale_v8-1200x6084.jpg
Hii tabia ya kuandika vilugha vigumu utaacha lini?
Ulitusomesha ?
Sisi wazalendo tunajivunia matunda ya skuli zetu hapa bongoland
Kiranga msalimie swahiba wangu Al watan mwambie market makers wananila za uso siku hizi sijui nakosea wapi mie!
Akiwa free anicheki anipe tutorials maana hizi za uso za sasa sio kawaida kabisa.
 
Back
Top Bottom