Tatizo huwa unakimbia!
Sijawahi kukimbia bro,najua nafsi yako shahidi. Tatizo huwa hamna uwezo wa kusimamisha hoja kwa yale ambayo mna yadai. Kanuni ya mjadala inataka uwe na elimu juu ya kile unachokiegemea.
Sasa kama wewe hujui maana ya Ukweli halafu unataka kuuzungumzia ukweli hii ni kinyume na misingi ya kielimu.
Ukipewa maana ya ukweli unaukataa,ukibiwa leta maana yako unayoijua wewe pia unakataa,sasa wewe unataka kujadiliana au kupotezea watu muda ?
Hali ikiwa hivyo huwa nafung mjadala bro. Kwangu muda ni mali bro.
Nipo ....