Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,265
- 201,451
Ukiwa na maana kwamba hauamini katika uwepo wa IQ? ??Halafu suala la IQ kwangu mimi ni makapi tu yasiyokuwa na tija yoyote kama vile ilivyo elimu ya Falsafa na Mantiki.
Una hoja dhidi yangu ?
Siamini bro sababu inabagua .....Ukiwa na maana kwamba hauamini katika uwepo wa IQ? ??
HakikaUnakosea mkuu yaani umejirizisha kwamba mkuu ana ugonjwa wa Akili, si kweli
Jamaa IQ yake kubwa sana tema mate chini mkuu
Nini chanzo cha ubaguzi, na unafikiri kwa nini ubaguzi upo???Siamini bro sababu inabagua .....
Swali rahisi sana hili chanzo cha ubaguzi ni UJINGA.Nini chanzo cha ubaguzi, na unafikiri kwa nini ubaguzi upo???
Na nani amaleta Ujinga?Swali rahisi sana hili chanzo cha ubaguzi ni UJINGA.
Mkuu wewe suala lenye tija kwako huwa ni nini?Halafu suala la IQ kwangu mimi ni makapi tu yasiyokuwa na tija yoyote kama vile ilivyo elimu ya Falsafa na Mantiki.
Una hoja dhidi yangu ?
Swali zuri sana kadhalika,ni lile lililo kinyume chake ....Mkuu wewe suala lenye tija kwako huwa ni nini?
Kitu kisichokuwepo huwezi kukizungumzia bro. Ndio maana hata kina Kiranga hawawezi kumzungumzia Mola muumba wa ardhi na mbingu na vyote vilivyomo sababu wao wanaa amini hayupo kwa ujinga wao wenyewe.Akili ni nini? Je akili IPO au haipo
Kitu kisichokuwepo huwezi kukizungumzia bro. Ndio maana hata kina Kiranga hawawezi kumzungumzia Mola muumba wa ardhi na mbingu na vyote vilivyomo sababu wao wanaa amini hayupo kwa ujinga wao wenyewe.Akili ni nini? Je akili IPO au haipo
Hapa umenielewa vibaya sio kwamba hatakiwi bali hana uwezo wa kuwatambua wasomi kina nani. Ila akieleweshwa kwa kupewa elimu atawajua wasomi kina nani.Kwahiyo mjinga hatakiwi kuwajuwa wasomi
Ujinga wao. Ujinga ni nini?Kitu kisichokuwepo huwezi kukizungumzia bro. Ndio maana hata kina Kiranga hawawezi kumzungumzia Mola muumba wa ardhi na mbingu na vyote vilivyomo sababu wao wanaa amini hayupo kwa ujinga wao wenyewe.
Kwa ufupi AKILI ipo ndio maana tunaweza kuizungumzia.
Hapa inabidi unielewe vizuri na ukinielewa vibaya nitakurekebisha ....
Ndugu kiranga sizani kama watu tumekuelewaKiranga is a singularity, do not transgress grotesquely by misanalogizing him.
You will need to reconcile Einstein's Relativity with Quantum Physics, and divide the resultant solution by zero, and advance to a Type V civilization on the Kardashev scale to gather the wattage needed to decipher the encryption and access the essence of His Kiranganess
Ujinga ni kinyume na Elimu.Ujinga wao. Ujinga ni nini?
Bado hujanijibu akili ni nini?
Poa kaka mkubwa. Hivyo ndivyo nilivyo mimi.Hujui chochote mzazi
Aman iwe nanyi kuna hawa washikaji kiranga, Likud na mshana. Hawa jamaa baba yao ni mmoja nahis hata mama yao atakuwa ni mmjo sema tu hawajuan
Kwanza sijawah kuwaelewa hata siku moja
Japo kiranga anaonekana kuwa MTU mwenye akili nyingi sana ambazo hazipimiki
Mshana hasomek yupo upande upi japo hukwama kwa kaka yake kiranga
Likud huyu sijui ni mjuu Wa mwanamalunde sijui ni mjukuu Wa bibi fisi yaan hata sielewagi kabisa aisee
Yote kwa yote hawa jamaa baba yao ni mmoja
LIKUD Kiranga Mshana Jr