Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,265
- 201,451
Ukiwa na maana kwamba hauamini katika uwepo wa IQ? ??Halafu suala la IQ kwangu mimi ni makapi tu yasiyokuwa na tija yoyote kama vile ilivyo elimu ya Falsafa na Mantiki.
Una hoja dhidi yangu ?