Kiranga is a singularity, do not transgress grotesquely by misanalogizing him.
You will need to reconcile Einstein's Relativity with Quantum Physics, and divide the resultant solution by zero, and advance to a Type V civilization on the Kardashev scale to gather the wattage needed to decipher the encryption and access the essence of His Kiranganess
The problem about smart MFs is that they sound crazy to stupid MFs.
Kuelewa watu smart shurti na wewe uwe smart.
Ujinga sio kiumbe bali ni hali tu ambayo ni matokeo.Na nani amaleta Ujinga?
Thread za shobo kama hizi ndivyo zinavyotaka.Ndugu kiranga sizani kama watu tumekuelewa
Lugha uliyo itumia siyo ya nchi hii
We ulishaniambia una bonge la crush naye unatafuta mpaka tiketi za kwenda kwenye talks zake.Jibu lake sasa!!!
AMa kweli wewe ni Singularity! 😁
Hii nzuri tho, I'll check it out...
By the way what do you think of Neil D.G. Tyson. Any suggestions?!
..
We ulishaniambia una bonge la crush naye unatafuta mpaka tiketi za kwenda kwenye talks zake.
He is very intelligent, I know that's your type hahaaaa.
Unafikiri nimesahau?
Thread za shobo kama hizi ndivyo zinavyotaka.
Shombo la shobo Bobohataki zogo
Jogoo Jaja Opobo wa kibongo..
Ujinga wao. Ujinga ni nini?
Bado hujanijibu akili ni nini?
Hujakiri umefanya kosa mpaka ukiri huwezi kuthibitisha Mungu yupo, kwa sababu hayupo.Hili ndio tatizo lenu bro,na ninapisema nyinyi mna matatizo ya AKILI huwa siwadhulumu mzee.
Hivi mtu akikiri kama jambo fulani amekosea kuna haja ya kuendelea kulizungumzia ?
Yaani tatizo wakubwa wenu walikosa misingi na adabu za elimu ndio maana majengo yao hayakuimarika zaidi ya ubabaishaji tu.
Nipo,mzee huwa tunaambiwa hivi "Kujua kama hujui ni ishara ya kuwa na elimu ...."
Nipo ....
Pembetatu ambayo hapo hapo ni duara ipo au haipo katika Euclidean geometry?Kitu kisichokuwepo huwezi kukizungumzia bro. Ndio maana hata kina Kiranga hawawezi kumzungumzia Mola muumba wa ardhi na mbingu na vyote vilivyomo sababu wao wanaa amini hayupo kwa ujinga wao wenyewe.
Kwa ufupi AKILI ipo ndio maana tunaweza kuizungumzia.
Hapa inabidi unielewe vizuri na ukinielewa vibaya nitakurekebisha ....
Una akili mpaka unakeraKiranga is a singularity, do not transgress grotesquely by misanalogizing him.
You will need to reconcile Einstein's Relativity with Quantum Physics, and divide the resultant solution by zero, and advance to a Type V civilization on the Kardashev scale to gather the wattage needed to decipher the encryption and access the essence of His Kiranganess
Basi hapo roho inakuumaje? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hatimaye thread nyingine imeanzishwa leo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aman iwe nanyi kuna hawa washikaji kiranga, Likud na mshana. Hawa jamaa baba yao ni mmoja nahis hata mama yao atakuwa ni mmjo sema tu hawajuan
Kwanza sijawah kuwaelewa hata siku moja
Japo kiranga anaonekana kuwa MTU mwenye akili nyingi sana ambazo hazipimiki
Mshana hasomek yupo upande upi japo hukwama kwa kaka yake kiranga
Likud huyu sijui ni mjuu Wa mwanamalunde sijui ni mjukuu Wa bibi fisi yaan hata sielewagi kabisa aisee
Yote kwa yote hawa jamaa baba yao ni mmoja
LIKUD Kiranga Mshana Jr
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuna wanaume humu jf wana wivu kuliko hata kina chau wa huku Tandale
Hatimaye thread nyingine imeanzishwa leo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuna wanaume humu jf wana wivu kuliko hata kina chau wa huku Tandale
Hii tabia ya kuandika vilugha vigumu utaacha lini?Kiranga is a singularity, do not transgress grotesquely by misanalogizing him.
You will need to reconcile Einstein's Relativity with Quantum Physics, and divide the resultant solution by zero, and advance to a Type V civilization on the Kardashev scale to gather the wattage needed to decipher the encryption and access the essence of His Kiranganess
Yani natamani kunywa sumuBasi hapo roho inakuumaje? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utafanya ubahili mpaka pesa ya kununulia hiyo sumu utataka upunguziwe au upewe ya kuonja[emoji23][emoji23]Yani natamani kunywa sumu