maxime
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 2,231
- 1,315
Hata ukiwa moto wa mabua... ndio nakwambia unachoma. (Ukiniambia hauchomi/haunguzi) manake kuna jibu la yes na kuna jibu la no... hivyo inakuwa undecidable... ukweli ni kwamba unachoma sidhani kama unabisha kwenye hili.. na ndicho nilichokuwa nakilenga.."Moto unaunguza/unachoma"---hapo unaongelea sifa moja ya moto, kwa akili ya binadamu hapo maswali yanaanza, (1) Moto gani?, (2) Moto wa gesi, mkaa au kuni au nguvu za nuklia??, (3) Unaunguza vipi?? (4) Una temperature kiasi gani??,(5) Je moto ni nini hasa hadi uitwe moto?? (5)Moto ni flame au ni moto kama wa mkaa na kuna tofauti gani hapo?? nk.
Hivyo ndivyo akili ya binadamu inavyofanya kazi kwa kudadisi na hiyo ndiyo chanzo cha maendeleo, mwanadamu si kama nyani mwenye "static thinking".
Je, unakata kwamba hakuna ambavyo ni decidable??????
Sent using Jamii Forums mobile app