Kirefu na maaana ya LLB

Kirefu na maaana ya LLB

inaonekana unachukizwa na kitendo cha wanasheria kuitwa wasomi,

Hapana, wala sichukizwi bali nastaajabishwa tu.

anyway pole sana

Sihitaji pole yako.

wanaitwa hivyo na wataendelea kuitwa hivyo tumeikuta na tutayaacha hivyohivyo.

Saying it so doesn't make it so. You can call yourself god if you want to because no one can stop you from doing that. But calling yourself god doesn't make you one.Take that.

Ukipenda waite hao maengineer na wenye fani nyingine wasomi hakitapungua kitu chochote.

Naam, kama ambavyo wanasheria kujiita wasomi hakuwafanyi wawe wasomi wala kuwaongezea au kuwapunguzia chochote.

So what's really your point beside blabbing mindless gobbledygook?
 
Hapana, wala sichukizwi bali nastaajabishwa tu.



Sihitaji pole yako.



Saying it so doesn't make it so. You can call yourself god if you want to because no one can stop you from doing that. But calling yourself god doesn't make you one.Take that.



Naam, kama ambavyo wanasheria kujiita wasomi hakuwafanyi wawe wasomi wala kuwaongezea au kuwapunguzia chochote.

So what's really your point beside blabbing mindless gobbledygook?

nimeshakusoma wewe ni mtu wa aina gani I can't waste my time arguing with you.
 
Teh teh teh teh hivi ODILI SAMALU unajua hesabu? Unajua integration?

Huyo hawezi lolote zaid ya hayo aliyokariri na hawezi simama mahakamani akaeleweka mbele ya wenzake, hawezi hata kupanga premises za kawaida tu kifikia conclusion!!!!!!

Yaani ni vile hatuwezi pata historia ila huyu sio hata intelligent!!!!!
 
nimeshakusoma wewe ni mtu wa aina gani I can't waste my time arguing with you.

Wewe pia unaitwa/unajiita learned???!!!!!
Mbona boiling point yako iko chini sana????!!!!!

A volatile arogant!!!!!!!!
 
Yaani kwenye uzi huu ndo nimeshuhudia jinsi wanasheria walivyo wazuri kutetea usomi wao kwa kutumia matusi... Yaani wanakutukana wewe na wazazi wako... Hivi mwenye certificate ya sheria na mwenye Phd ya fani nyine, yupi msomi hapo...???
 
Yaani kwenye uzi huu ndo nimeshuhudia jinsi wanasheria walivyo wazuri kutetea usomi wao kwa kutumia matusi... Yaani wanakutukana wewe na wazazi wako... Hivi mwenye certificate ya sheria na mwenye Phd ya fani nyine, yupi msomi hapo...???

Ukijibiwa swali lako kaka nitolee copy na mimi nitakurejeshea pesa yako ya copy
 
Watu wapo full kwa mapambano akuelewe au asikuelewe kwa ulichouliza anakupa za uso, dah hatari sana hii kama ndo wanasheria wetu hao.

Mapambano yapi?
Mapambano ukiulizwa kwa hoja unajibu Matusi?

Hakuna Mwanasheria au msomi wa kada yoyote Chini ya Jua Aliyehitimu Elimu yake pasipo Magumashi Akashindwa tetea taaluma yake kwa hoja...

Msomi gani anatetea usomi wake kwa Mapambano ya Matusi!

Nini maana ya Usomi?
Wengi wao humu bado wapo Vyuoni,sishangai sana maana nasi tumepita huko na kupewa hizo SHUDU na Malecturers.
Lakini hizo tambo ziliishia Geti Maji na UCLAS.

Unapozungumza Lugha ya kitaaluma sehemu inayochukua Watu wa Kada mbalimbali ni Ujuha tu na si vinginevyo!

Nimepata kuwa Jirani na Wanasheria wabobevu katika taaluma hii, nje ya mipaka yao ya kazi sijawahi sikia wakilitumia hilo neno!

Ushauri:
Wengi wenu mnaotoka Mapovu Hapa ni Mwaka wa kwanza na 2,bado sana Mpiga msuli, mna safari ndefu sana kimasomo jikiteni huko kwanza.

Jamii zenu vijijini hasa mama zenu na dada zenu hawazijui haki zao jikiteni huko kwanza.
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh teh hivi ODILI SAMALU unajua hesabu? Unajua integration?

Kuna Malearned humu pepa za kizembe zimeatoa jasho.
Napitia UE ya Udsm hapa jamaa yangu anawapiga msasa hawa 'malearned' walichoandika humo hamna tafauti na kijana aliye chora Nembo ya Freemason NECTA.
 
Mapambano yapi?
Mapambano ukiulizwa kwa hoja unajibu Matusi?

Hakuna Mwanasheria au msomi wa kada yoyote Chini ya Jua Aliyehitimu Elimu yake pasipo Magumashi Akashindwa tetea taaluma yake kwa hoja...

Msomi gani anatetea usomi wake kwa Mapambano ya Matusi!

Nini maana ya Usomi?
Wengi wao humu bado wapo Vyuoni,sishangai sana maana nasi tumepita huko na kupewa hizo SHUDU na Malecturers.
Lakini hizo tambo ziliishia Geti Maji na UCLAS.

Unapozungumza Lugha ya kitaaluma sehemu inayochukua Watu wa Kada mbalimbali ni Ujuha tu na si vinginevyo!

Nimepata kuwa Jirani na Wanasheria wabobevu katika taaluma hii, nje ya mipaka yao ya kazi sijawahi sikia wakilitumia hilo neno!

Ushauri:
Wengi wenu mnaotoka Mapovu Hapa ni Mwaka wa kwanza na 2,bado sana Mpiga msuli, mna safari ndefu sana kimasomo jikiteni huko kwanza.

Jamii zenu vijijini hasa mama zenu na dada zenu hawazijui haki zao jikiteni huko kwanza.

Go rest son your learnedness is all over in this thread, you went to school no doubt,you are mannered and the degree of maturity in you is significant!!!!!!

You are one good chap
 
Last edited by a moderator:
Wakuu nimekuwa nikiona hili neno hasa kwa wale wanao chukua degree katika sheria..likiwa ni jina na kitivo chao.
Swali langu ni juu ya kirefu cha LLB, na origin ya neno hilo.
Naomba msaada.

The Bachelor of Laws, imetoka Latin ikimaanisha : Legum
Baccalaureus or LL.B. ni first professional
degree in law, depending on jurisdiction, hii The "LL." of the abbreviation for
the degree imetoka ktka genitive plural legum (of
lex , law). inayotengeneza abbreviation for a plural,
especially from Latin, mara nyingi inafanyika by
doubling the first letter (e.g. "pp" for "pages"),
thus "LL.B." stands for Legum Baccalaureus in
Latin . It is sometimes erroneously called
"Bachelor of Legal Letters" to account for the
double "L". nna imani umepata picha, keep it up.
 
Huyo hawezi lolote zaid ya hayo aliyokariri na hawezi simama mahakamani akaeleweka mbele ya wenzake, hawezi hata kupanga premises za kawaida tu kifikia conclusion!!!!!!

Yaani ni vile hatuwezi pata historia ila huyu sio hata intelligent!!!!!

Kuna watu wanaboa kabisa humu na vi gentleman vyao kila kukicha kujipalia ndo visom basi ka vip atupe hata theory alodevelop basi! Anyway atakuwa na matatizo binafsi aeleze tumsaidie
 
Kuna Malearned humu pepa za kizembe zimeatoa jasho.
Napitia UE ya Udsm hapa jamaa yangu anawapiga msasa hawa 'malearned' walichoandika humo hamna tafauti na kijana aliye chora Nembo ya Freemason NECTA.

Vihelehele ndo vilaza kabisaa
 
Kheee... Huu usomi huu.... Kuna msomi hapa kweli...!!!??? may be tonatofauti kwenye definition ya usomi... Usomi wa kutoa maneno ya aina hii popote, hapana.... Usomi wa kutojua nini useme wapi...?? Hapana.... Usomi wa kutete hoja kwa matusi... Hapana....

To me usomi, is how tou handle different issues, how you handle your daily life, how you handle your family in all aspects of life, how you react to diferent issue emotionally, personally....

Vichaa nao hutukana, tena matusi makubwa popote na muda wowote.... Sasa ikitokea mtu mwingine ambaye anajiita msomi, akayafanya hayo yanayofanya na kichaa,TUTASHINDWA KUWATOFAUTISHA HAWA WAWILI.... The difference tutakayoiona labda ni kwamba mmoja ni kichaa wa zamani na mwingine ni kichaa mpya.... YAANI BRAND NEW KICHAA..
 
Kuna watu wanaboa kabisa humu na vi gentleman vyao kila kukicha kujipalia ndo visom basi ka vip atupe hata theory alodevelop basi! Anyway atakuwa na matatizo binafsi aeleze tumsaidie
Ndio tunapiga sampling hapa mdogo mdogo mkuu, na mpaka sasa kwa kweli IT IS NOT PROMISING!!!!!!!
 
Back
Top Bottom