Kiroho, kama humsaliti mke wako yeye pia hawezi kukusaliti

Kiroho, kama humsaliti mke wako yeye pia hawezi kukusaliti

nishakutwa na condom moja na wife,nikajitetea kuwa tulikua na semina juu ya uvaaji sahihi wa condom toka TACIADS na aliponiuliza km ni hivyo mbona ipo 1 badala ya 2 nikamjibu nilikosea 1 jinsi ya kuivalisha kwenye ile mb** ya bandia ndio wakanitaka nirudie upya. Na akanielewa ila moyoni najua black & white.
 
Kwenye pombe..hapo big NO ..HATA KWENYE UZINZI SINA UHAKIKA ME MKE WANGU KANIFUMANIA MARA MBILI ILA NINAUHAKIKA HAJAWAHI KUNICHIT ILA ASHANITISHIA KWAMBA KWA KUWA NIMEMWAGA UGALI YEYE ATAMWAGA MBOGA..HAPA NABEMBELEZA KILA SIKU SIJUI ATASAHAU HILI FUMANIZI LIVE MOJA LINGINE NIMEKUTWA NA CONDOM MOJA MEANS MBILI NIMEZITUMIA KWA MWINGINE
Una uhakika?
 
Mimi kinachonishangaza ni hiki, wanaume ndio wanaongoza kulalamika kisalitiwa, ila sote tunajua hakuna kiumbe msaliti kama mwanaume, hii imekaaje wakuu?
 
Mimi kinachonishangaza ni hiki, wanaume ndio wanaongoza kulalamika kisalitiwa, ila sote tunajua hakuna kiumbe msaliti kama mwanaume, hii imekaaje wakuu?
Ni kweli kabisa wala haipingwi wanaume ku cheat ni jadi yetu.... ila mwanamke ku cheat inauma sana.... yaani maumivu yake hayaelezeki...

Ukivuta picha mwanamke wako alivo mzuri halafu ndo lijamaa linamgaragaza kitandani.. ni maumivu mazito mnoo..
 
Napinga hoja yako kwa upande wa unywaji wa pombe, ila kwenye uzinzi upingaji wake ni ngumu kidogo, ipo hivi nimeishi na Bibi na Babu toka utoto, Babu yangu alikuwa cha pombe balaa hachagui hadi mauti yamemkuta Babu alikuwa anakunywa pombe lakini hadi leo Bibi yangu hanywi pombe toka nimezaliwa nimejitambua hadi leo sijawahi muona Bibi yangu akinywa pombe
Yaah kwa mababu wa zamani nakubali... ila maisha ya sasa ukienda kunywa si unaenda naye? Ni ngumu sana yeye kutokunywa..

Wazee wa zamani walikuwa hawana utamauni wa kutoka na wake zao
 
Hili suala limekaa ki visasi zaidi kuliko kiroho.

Ukiwa mchepukaji smart, mkeo asipojua basi atakuheshimu. Shida ni ukiwa Malaya mwitu afu akuchoke naye anaamua kuchepuka ili muumie wote..
Na mwanamke akiamua ku cheat ... anakuwa kiumbe hatari sana
 
Kuna kaukweli kwenye hiyo ya dhambi huvuta dhambi ila kuhusu huo mfano wa Masanja inategemeana huwezi kujua kama alieingiza dhambi ndani ya ndoa ni masanja au mkewe ....Na siku zote wa kwanza kuingizaga dhambi ndani ndo huwa wa kwanza kufumwa ikiwa mwenzake ametulia.

Uchafu hujionesha kwa haraka sehemu safi.
 
Na ndo maana tunatakiwa tuwe wacha Mungu. Panapokuwa na mbegu ya Imani iwe kwa mme au kwa mke lazima Mungu atasimama.

Tatizo tunaishi maisha ya kuigiza sana. Imani zetu za mchongo. Nionekane naenda kanisani..nibebe biblia ionekane. Usiku nisali kwa nguvu. Nikifunga nitangaze..sadaka nitoe huku najipiga selfie au nachukua video. Yani tunaishi wokovu wa mchongo sana. Biblia zina vumbi..mas haf zina vumbi. Miswala imewekwa kabatini.

Nilishasema na narudia. Mwanamke ukiolewa na husali wala kuswali anza mapema kutafuta kitanzi. Naongelea kushika imani haswa sio maigizo ya mtandao. Kisa umeenda kanisani jumapili basi whatsapp tunakukoma. Au kuandika verses of the bible huku hauziishi..hahaa Mungu hadhihakiwi.

Au wewe ijumaa unajipostisha na shungi ijumaa kareem. Aisee ndoa bila Mungu jameni hamna kitu. Najua wengi mnajua hili ila mnachagua kukaidi. Wengi huwa mnachagua the interesting part of the bible kuwa mwanamke amtii mume.. lakini em niwapeleke kwenye mwanzo. Mungu akamuumba Adam afu akampa usingizi mzito ndo kumuumba Hawa alafu akamleta kwa Adamu. Mwa2:22.

Kwaiyo ili wewe ukutane na mwanamke anaekufaa lazima Mungu amuumbe na ili wewe ukutane na mume lazima Mungu akupeleke kwake. So to meet your Adam know God first. To meet your Eve know God first. Hio ni kanuni na msingi mkuu wa ndoa. Sasa basi....mwanaume aenda chepuka kalala na mwanamke mwenye roho ya jezebel..anakuja mke husali, hufungi unajidanganya am under Grace, au only God can judge me huku kusali husali...unategemea nini. Lazima roho ikuvae. Utaacha sasa kuwa mzinzi??? Wengi huwa wanajidanganya ooh anacheat na mimi nacheat..kumbe kuna jipepo lishakuja zamaniii limeletwa na mwenye kuyaleta.
Umeiweka vizuri sana mkuu... hapo kwenye ku cheat na mwanamke mwenye roho ya Jezebeli nimekuelewa...

Na ambacho watu hawajui ni kwamba roho ni energy ambayo huwa inatabia ya kusafiri.

Vizur sana mkuu
 
Kwenye pombe..hapo big NO ..HATA KWENYE UZINZI SINA UHAKIKA ME MKE WANGU KANIFUMANIA MARA MBILI ILA NINAUHAKIKA HAJAWAHI KUNICHIT ILA ASHANITISHIA KWAMBA KWA KUWA NIMEMWAGA UGALI YEYE ATAMWAGA MBOGA..HAPA NABEMBELEZA KILA SIKU SIJUI ATASAHAU HILI FUMANIZI LIVE MOJA LINGINE NIMEKUTWA NA CONDOM MOJA MEANS MBILI NIMEZITUMIA KWA MWINGINE
Mhhh hapo kuwa mwangalifu mkuu... anakulia timing na wakianzaga ku cheat wanakuwa viumbe hatari sana ..

Anaweza hata akakutoa roho
 
Masanja huyo mke wake kabla hawajaoana si ndo mwamba alikuwa Anatoka nae na alipoolewa yakaishia hapo mapenzi yy anafufua vitu havipo ameshindwa ku move one mtu ashaolewa. Sio kwamba kachepuka No ndo nlivo elewa. Naomba kusahihishwa
Mmmmh sidhani mkuu.. embu fuatilia story vizur.. Maana masanja unajua kaoa kitambo sana ... sasa unataka kuniambia jamaa alikuwa anabembeleza huyo manzi miaka yote hiyo halafu kaamua kujiua juzi????
 
Umeshasema KIROHO, kwa kifupi ni "dhahania" hakuna uhalisia
Ndugu yangu... kwahiyo ikiwa kiroho ndo kwamba haiwezi kuwa kweli?.. labda kama wewe uniambie huna dini... ila kama una dini, unatakiwa kufahamu kwamba kuna mambo ambayo yanatokea duniani kiroho.. ina maana huwez kuyaona kwa macho ya nyama.. ila yanatendeka

Ndo mana ya kuwa na ideology ya metaphysics
 
Masanja huyo mke wake kabla hawajaoana si ndo mwamba alikuwa Anatoka nae na alipoolewa yakaishia hapo mapenzi yy anafufua vitu havipo ameshindwa ku move one mtu ashaolewa. Sio kwamba kachepuka No ndo nlivo elewa. Naomba kusahihishwa
Kama hujui kitu kaa kimya wewe
 
Back
Top Bottom