Kiroho, kama humsaliti mke wako yeye pia hawezi kukusaliti

Kiroho, kama humsaliti mke wako yeye pia hawezi kukusaliti

Sio kweli.
Wanawake hawatabiriki.

Kuna Wanaoolewa mpaka Ndoa za mitaala na wametulia. MTU anaweza akawa hachepuki LAKINI mkewe akawa na wazo kichwani kuwa hakuna mwanamme asiyechepuka. Hili nalo unalisememaje. Kuna Wanaume wako bize tu na mambo Yao Halafu wake zao wanapata mwanya Wa kuchepuka.

Rejea Adamu na Eva.
Walikua Wawili tu Lakini Eva alitoroka na kwenda kucharti na Nyoka na kumdadisi Nyoka juu ya Tunda walilokatazwa.

Shetani alijua tamaa ya Mwanamke Siku zote ni Kupata Kila anachokitaka . Akamwambia kuwa akila lile tunda atakuwa Sawa na MUNGU. Mwanamke anachepuka kutokana na aina ya Mwanaume aliyemtongoza. MWANAUME AKISHAJUA udhaifu Wa mwanamke Fulani na tamaa yake basi Hata Angekua ameolewa na Malaika atampata tu. Ndio MAANA Biblia imekataza Hata kumtamani MKE Wa MTU.

MTU akimtamani MKE Wa MTU na akamfuatilia Huku akijua udhaifu wake haijalishi tabia ya Mumewe ikoje. Kuna Wanaume Wazinzi sana Lakini wamebahatika kuoa wanawake waliotulia sana. Inatokea tu kama bahati mana Kila mmoja Ana kiungo chake na mwenye maamuzi ya kukitumia ni mtu mwenyewe.
 
Labda kiroho! Ila kimwili, anakucheat tu hata kama wewe humcheat!
 
Sio kweli.
Wanawake hawatabiriki.

Kuna Wanaoolewa mpaka Ndoa za mitaala na wametulia. MTU anaweza akawa hachepuki LAKINI mkewe akawa na wazo kichwani kuwa hakuna mwanamme asiyechepuka. Hili nalo unalisememaje. Kuna Wanaume wako bize tu na mambo Yao Halafu wake zao wanapata mwanya Wa kuchepuka.

Rejea Adamu na Eva.
Walikua Wawili tu Lakini Eva alitoroka na kwenda kucharti na Nyoka na kumdadisi Nyoka juu ya Tunda walilokatazwa.

Shetani alijua tamaa ya Mwanamke Siku zote ni Kupata Kila anachokitaka . Akamwambia kuwa akila lile tunda atakuwa Sawa na MUNGU. Mwanamke anachepuka kutokana na aina ya Mwanaume aliyemtongoza. MWANAUME AKISHAJUA udhaifu Wa mwanamke Fulani na tamaa yake basi Hata Angekua ameolewa na Malaika atampata tu. Ndio MAANA Biblia imekataza Hata kumtamani MKE Wa MTU.

MTU akimtamani MKE Wa MTU na akamfuatilia Huku akijua udhaifu wake haijalishi tabia ya Mumewe ikoje. Kuna Wanaume Wazinzi sana Lakini wamebahatika kuoa wanawake waliotulia sana. Inatokea tu kama bahati mana Kila mmoja Ana kiungo chake na mwenye maamuzi ya kukitumia ni mtu mwenyewe.
Yeah, ndio nimesema hapo juu. Kama ni kucheat kiroho anakosema mleta mada ambapo sijui ni kufanyaje, inawezekana, Lakini kimwili, kwa maana ya kuchepuka, wanachepuka tu!
 
Hii nakupa chukua..

Hamna uchafu unaokuja mahali pasafi hata siku moja. Ndo maana unakuta mtu kama roho yako imejaa Yesu, mtu hata akuendee kwa waganga hakupati... hii pia nakupa chukua.

Issue ya ku cheat pia naona imekaa kiroho zaidi. Mwanaume ukiwa unachepuka maana yake unakaribisha roho ya uzinzi kwenye nyumba.

Na unajua haya mambo ya kiroho yalivo, energy ya uzinzi ukishaichukua ni rahisi sana kumpa mwenzi wako. Ni kama spirit fulani hivi.

Chunguza pia mtu aliyeolewa na mchawi au aliyeoa mchawi at the end of the day lazima na wewe utaambukizwa nguvu za kichawi just kulala na yule mtu.

Ni kama ukute mume ni mlevi wa pombe, haitachujua muda mke na yeye lazima awe mlevi.. maana ile roho ya ulevi ya mumewe ni rahisi ku i transfer kwa mkewe..

Ko mwisho wa siku hii issue ya Masanja naamini ni reflector kwamba na yeye sio msafi kwenye hiyo idara.. Ni kwamba tu hajafumwa hadharani.

Naacha hii mada kama working paper.. Ningependa ROBERT HERIEL na Mshana Jr waidadavue zaidi...
Issue ya ku cheat pia naona imekaa kiroho zaidi. Mwanaume ukiwa unachepuka maana yake unakaribisha roho ya uzinzi kwenye nyumba.

Na unajua haya mambo ya kiroho yalivo, energy ya uzinzi ukishaichukua ni rahisi sana kumpa mwenzi wako. Ni kama spirit fulani hivi.[emoji1752][emoji1545]
 
Kimsingi umeandika Mungu anashindwa nguvu na shetani.

Mzinzi anamfanya asiye mzinnzi kuwa mzinzi and not vice versa. Same applies kwa mlevi, wachawi and so on and so forth.

I thought mlisema Mungu ana nguvu zaidi kumshinda shetani iwaje mdhambi anamshinda asiyeshiriki dhambi?
 
Nijuavyo mimi ni ngumu sana kukuta wanandoa wa tabia moja, always kuna mmoja atakuwa mcharuko kwa jambo lolote lile na si lazima ajioneshe kwako

Kuna wengine automatically wana pepo la ngono ama ni sex maniacs hawaridhiki na kimoja ama hutamani aina fulani ya watu kutokana na maumbo yao

Wanaume wengi kuna kitu wanakosea sana. Wanadhani ukishampa mwanamke kila kitu ndio umemaliza.. Kuna hitaji la caring za kijinga na ngono limejificha hapo, usipoweka kipaumbele kikubwa hapo umekwisha

Mtazamo wangu kwa ishu ya Masanja ni huu
1. Aliwekeza muda mwingi kwenye umaarufu na kutafuta pesa na majukumu mengi yakiwemo ya kifamilia akamwachia katibu wake
2. Watu wa jinsia mbili tofauti wakikaa pamoja hujenga intimidation, hapo mwanamke hata akiwa na msimamo vp ni rahisi kukengeuka
3. Mke wa jamaa ni wazi kuna wakati alihitaji company ya muda na akaipata kwa katibu, kwa bahati mbaya sana dogo aliingia mzima mzima akashindwa kuhimili hisia zake
Hapa ni wazi kukawa na mawasiliano duni ndio maana dogo akaamua kujiua

Kuna swali moja muhimu sana la kujiuliza ni nani kavujisha yale mawasiliano? Kwanini hakuna majibu? Je mke alikuwa ana play smart bola kuacha ushahidi?
 
Masanja huyo mke wake kabla hawajaoana si ndo mwamba alikuwa Anatoka nae na alipoolewa yakaishia hapo mapenzi yy anafufua vitu havipo ameshindwa ku move one mtu ashaolewa. Sio kwamba kachepuka No ndo nlivo elewa. Naomba kusahihishwa
Kwahiyo masanja alimchukua X wa mkewe na kumfanya katibu wake?
 
Umeiweka vizuri sana mkuu... hapo kwenye ku cheat na mwanamke mwenye roho ya Jezebeli nimekuelewa...

Na ambacho watu hawajui ni kwamba roho ni energy ambayo huwa inatabia ya kusafiri.

Vizur sana mkuu
Na ndo maaana uzinzi umekatazwa. Sio kwamba Mungu alikua hajui kuna maku tamu na wanaume watazitamani...walaa...alikua anataka watu wasimame katika Imani ili kuilinda nyumba.

Mwanaume anaenda analoweka kwa demu mkali..anayeyajulia mambo haswa..ufundi kama wote..lakini kiroho huyo mwanamke kwanza ni mshirikina haswa..anafukiza udi chini huku akiunywea makombe daddekkkk na ukute ananuia ili kubeba nyota za watu..mwanaume atachota lipepo afu chap atarudi kwa mkewe..anaporudi analala na mkewe...unajua what happens next??? Zile roho zinaingia kwa mke. Usishangae baadae mke anakuja kuwa kama yule mchepuko. Kumbe ni maroho yamemvaa yatampelekapeleka balaa. Watu wakiambiwa wasali na kuswali kwa kumaanisha humu hawaelewi.

Wanahisi watu tunapretend au tunajifanya tumeokoka saaana. Kumbe ni for their own benefit. The Grace of the Lord came for us to seek it not for us to take advantage of it. To God be the Glory.
 
Mmm dogo tema mate chini,unaweza kumnyoshea mwenzio lakin kesho utakuta Yako kwako.Acha dogo.kamulize yusuph alivyo kimbia zambi ukisomwa mwanzo 38 na kuendelea.alikuwa na uwezo kukemea lakin mbio zilimwokoa.maana yake Nini sio kuwa wake wanavyochepuka basi mume ni mchepukaji hapana uzinzi haiogopi utakatifu hata uwe nayesu vipi.kinachookoa ni mbio,kwa hiyo mbinu sioutakatifu mbinu ni namna Gani kuikwepa dhambi
 
Ndugu yangu... kwahiyo ikiwa kiroho ndo kwamba haiwezi kuwa kweli?.. labda kama wewe uniambie huna dini... ila kama una dini, unatakiwa kufahamu kwamba kuna mambo ambayo yanatokea duniani kiroho.. ina maana huwez kuyaona kwa macho ya nyama.. ila yanatendeka

Ndo mana ya kuwa na ideology ya metaphysics
Metaphysics unazungumzia material reality mkuu, hakuna roho hapo.
 
Kwamba hakuna alietulia zake na akaletwa HIV nyumbani...😀😀😀
 
Back
Top Bottom