Ezra cypher
JF-Expert Member
- Jul 17, 2024
- 244
- 904
Kikawaida kinachomweka MTU madarakani au kumpa kibali huwa ni nature .
Na nature huwa inazungumza na watu Kwa majira tofauti , tofauti.
Hivyo nature ilimchagua Lissu na kumpitisha kuwa Mwenyekiti.
Endapo atalazimisha Kwa kuikataa sauti ya ndani , sio utawala wale utakumbwa na misukosuko bado hatifanikiwa Kwa lolote Kwa miaka yake mitano.
Hii iliwahi kumtokea kiongozi mmoja Kwa sasa ni marehemu alilazimisha kuwa rais Kwa gharama yoyote Ila hakufanikiwa kutawala.
So viongozi wa kiroho msaidie Mh MBOWE ili apate haya mafuno.
Na nature huwa inazungumza na watu Kwa majira tofauti , tofauti.
Hivyo nature ilimchagua Lissu na kumpitisha kuwa Mwenyekiti.
Endapo atalazimisha Kwa kuikataa sauti ya ndani , sio utawala wale utakumbwa na misukosuko bado hatifanikiwa Kwa lolote Kwa miaka yake mitano.
Hii iliwahi kumtokea kiongozi mmoja Kwa sasa ni marehemu alilazimisha kuwa rais Kwa gharama yoyote Ila hakufanikiwa kutawala.
So viongozi wa kiroho msaidie Mh MBOWE ili apate haya mafuno.