Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Salaam wakuu
Leo tulejee sakata tarehe 9/8/2022 la Simba kutumia Jeneza kwenye maadhimisho ya Simba day
Nini maana ya Jeneza
Kiroho maana yake ni kifo/ uangamizo/ umauti
So kitendo cha uongozi wa timu ya Simba kuruhusu kutumika Kwa Jeneza kwenye sherehe yao kilinihuzunisha sana Kwa sisi wazee wa kale tunaelewa kuwa .....pale timu ya Simba ilijiua na ikajizika yenyewe [emoji24] hivyo basi kwenye ulimwengu wa kiroho , Simba haiexist .....it means ilishakufa, nlishangaa kuona Mshana Jr hajakemea hili[emoji32][emoji32]
Hivyo basi......Simba haitopata mafanikio yeyote hapa ndani ya ligi Kwasababu ilishakufa....but other factors remain constant....ie mashindano ya kimataifa.....since uchaw hauvuki bahari
Je ni Yanga ....walipenyezesha idea hii ya Simba kutumia Jeneza??? Sawa na mtu anakupa bastora ujipige but anakudanganya Haina bullets???
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Leo tulejee sakata tarehe 9/8/2022 la Simba kutumia Jeneza kwenye maadhimisho ya Simba day
Nini maana ya Jeneza
Kiroho maana yake ni kifo/ uangamizo/ umauti
So kitendo cha uongozi wa timu ya Simba kuruhusu kutumika Kwa Jeneza kwenye sherehe yao kilinihuzunisha sana Kwa sisi wazee wa kale tunaelewa kuwa .....pale timu ya Simba ilijiua na ikajizika yenyewe [emoji24] hivyo basi kwenye ulimwengu wa kiroho , Simba haiexist .....it means ilishakufa, nlishangaa kuona Mshana Jr hajakemea hili[emoji32][emoji32]
Hivyo basi......Simba haitopata mafanikio yeyote hapa ndani ya ligi Kwasababu ilishakufa....but other factors remain constant....ie mashindano ya kimataifa.....since uchaw hauvuki bahari
Je ni Yanga ....walipenyezesha idea hii ya Simba kutumia Jeneza??? Sawa na mtu anakupa bastora ujipige but anakudanganya Haina bullets???
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app