Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
[emoji23] [emoji23] [emoji57] mapenzi ni mapenzi tuuuu watu wanajinyonga kisa Liverpool ya ulaya ,sembuse simba yangu ninayoiona kila siku ????.roho lazima iwe juu sababu nikitu kitu nachokipenda hata kikawa ndani ya damu yangu.... Adui wako mkubwa akifungwa unashangalia San.Pole sanaaaa. Inaelekea unapenda kuweka roho yako juu sio bure.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hahahaa. Haya bana.Sisi tena au nyie? Donge na maumivu mara hii yamekwisha!? π‘π‘
Hahahaa. Haya bana.
Ndiyo mkuu,baada ya kupigwa kimoja alinogewa ikabidi apanue mapaja kwa utamu zaidi...Kubakwa mpaka mtu anatupia viwili haiwezi kuwa kwa mbinde
Ngumu sana mambumbumbu kujua hayoYanga amepoteza pointi 3, Mikia wamepoteza kombe la FA. The difference is clear!!!
Wamenimalizia mwaka vibayaWacha kabisa my dear. Nimenuna balaa hapa.
Ila ndio hivyo upenzi uko damuni nitaendelea kuipenda yanga tu.
Wacha kabisa my dear ila ndio hatuna jinsi.Wamenimalizia mwaka vibaya
Nawe pia mpenzWacha kabisa my dear ila ndio hatuna jinsi.
Uwe na usiku mwema mwaya.
Wacha kabisa my dear ila ndio hatuna jinsi.
Uwe na usiku mwema mwaya.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mbao akimtafuna Yanga
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Nawe pia mpenz
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Jamaani. Duuh
Ahsante sana Mkuu na kwako pia.Uwe na wakati mwema mpendwa
Ngoja sisi tujiandae na kuupokea mwaka mpya na furaha zetu
62+48=110 asilimia gani hizo?umiliki 62% kwa 48% wakiri walizidiwa
Hivi mtu anakupiga mbuzi kagoma huku kashika kichwa akisikilizia utamu,unasema kakubaka?Ndiyo mkuu,baada ya kupigwa kimoja alinogewa ikabidi apanue mapaja kwa utamu zaidi...