ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,326
- 8,505
Mliwafunga lini mbao?Yanga tegemeeni ushindi ambao haupo. Mbao tuliwafunga kwa ufundi mkubwa.Hata wakifika fainali tutawafunga ili tukawaonyeshe sisi ni washindani kimataifa na sio wawakilishi wa kujisifia madege ya watu.
Ile mechi mlimnunua kipa wa mbao thats why aliachia yale magoli, uliza kama yule kipa bado yupo mbao fc