Kirumba, Mwanza: Mbao FC yaifunga Yanga 1-0 na kutinga Fainali za FA

Yanga tegemeeni ushindi ambao haupo. Mbao tuliwafunga kwa ufundi mkubwa.Hata wakifika fainali tutawafunga ili tukawaonyeshe sisi ni washindani kimataifa na sio wawakilishi wa kujisifia madege ya watu.
Mliwafunga lini mbao?
Ile mechi mlimnunua kipa wa mbao thats why aliachia yale magoli, uliza kama yule kipa bado yupo mbao fc
 
Na watafungwa kweli hao simba, mbao wako vizuri sana na yule kipa waliyemnunua last match ameshatimuliwa, wajiandae tu

Kwahiyo unadhani ' Ubao ' uliokung'ang'ania Wewe ( Yanga ) basi na sisi wengine tutauruhusu utung'ang'anie? Halafu ' Wataalam ' wa ' maafa ' wanasema kuwa ni rahisi mno kuzitoa ' mbao ' mbili au tatu ' Shimoni ' kama zikizama kuliko kuitoa ' mbao ' moja ikikuzamia kwani wanasema kuwa huwa inang'ang'ania na kung'ang'ana kunakotukuka.
 
Mama mimi ni yanga na nilikuwepo uwanjani, nimekubali tumefungwa, kiukweli wapiga randa wako vizuri wamatopeni a.k.a walalamishi wajipange. Na hiyo mechi tff waipeleke nje ya dar ili mkia achezee kichapo vizuri

Tunawaomba sana TFF waipange tuicheze katika ' Bwawa ' lenu lile la Kaunda ili tukishamaliza kuwafunga Mbao FC basi tuweze pia ' Kuogelea ' na kuipoza miili yetu baada ya ushindi.
 
Mliwafunga lini mbao?
Ile mechi mlimnunua kipa wa mbao thats why aliachia yale magoli, uliza kama yule kipa bado yupo mbao fc

Sawa hata kama unasema kuwa tuliinunua ile mechi je naomba kuuliza ule ' Ubao ' wa matangazo ' score board ' ulisema nani kashinda siku ile? au ule mpira uliishaje kimatokeo? Naona ' Mbao ' imejisokomeza mno leo.
 
Wala haikuwa uongo mkuu
Yanga fc mnaongea sana as if hata huko kimataifa kuna la maana mmefanya, miaka yote mwaishia juu juu tu........... Subiri tuwaonyeshe sasa kwenye confederation cup this time ili nanyi mjifunze kitu
 
Hao mbao wanakuja

 
Siyo kwamba yanga wamekimbia wasikutane na simba lahasha.. Nikwamba ss wachana mbao tumemchana chana yanga vipande vipande sasa imebakia zamu ya simba ..ninaimanikubwa sana kuwa simba tutaichana chana nakuipiga landa vizuli kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…