Zogoo da khama
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 631
- 592
Ushawahi kuona Dume linajitia Mimba [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] basi ndo madume ya yangaBora Mbao ashinde ili aje achukue kombe la FA na matopeni wabaki matopeni
Nani chaliii mkuuKanda mbili chaliiiiiiiiii kifo ca mende. Mbende-mbende[emoji12] [emoji20] [emoji12]
Dume limejitia mimba Leo yakhe [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kama shabiki wa kutupwa wa Yanga,sina wasiwasi kabisa.
Naamini tunaumaliza mchezo kipindi cha kwanza...sisi sio watani wetu wanaosubiri kipindi cha pili ndipo 'wabahatishe' kushinda,mostly ushindi mwembamba.
Tukutane hapa saa 10 guys.
Makoye Matale Bantu lady Mbulu data nasmapesa nyumba tatu Mwana Mtoka Pabaya demigod Mgagaa na Upwa espy Monicca mkolaj Sibonike Danny greeny Matola na Wanajangwani wote tuwe hapa kuusindikiza ushindi tusiwe kama watani zetu wasio na matumaini ya ushindi wa ndani ya dakika 90,hadi mpira uishe (tena washinde) ndio wavamie jukwaa hahahaaaaaa
Viva Yanga [emoji123]
Ni Mbao, Mbao 2017 hahahahaaa Msimbazi Raha tuNi dhambi kubwa kutokushinda leo,mbao atabeba FA msimu mwingine kwa jitihada zake wenyewe.
Unadhani Matopeni hata wakipanda ndege mwakani watafika mbali basi?
Naam [emoji135]
Vipi mmeshinda ngapi Mwali wangu hahahahaaUshindi mapema tu leo