#COVID19 Kirusi cha corona kimejibu mapigo dhidi ys chanjo: Kimejibadilisha na kutokea Super Corona Variant Nu!!

Back to starting point and the fact is this will go on and on and on........ They better focus on Oral Dosage Forms now.
 
Hii ndio hasa point, vingine vyote ni kudanganyana,
Kila kitu ni biashara ata chakula na dawa za hospitali na kienyeji ni biashara.

Unafikiri hawatumii gharama kutengeneza?

Tengeneza za kwako tuone kama utagawa bure
 
Lema na Lisu nawachukia kutoka ndani ya moyo wangu
Teh teh teh... Kamongo alitaka kumwua Lissu akafa yeye ..

Pole sana kama mlifurahia ujane wa wenzenu furahia na wako sasa!!
 
Seriously you believe this shit,kweli mmeamini huu ujinga.Huu ni utapeli,mtadanganywa mpaka lini?
 
Mzigo mpya sio[emoji16][emoji16].
Mchina hajawahi kushindwa
 
Ukweli una tabia nyingi. Mojawapo muhimu ni tabia ya kujitetea. Ukweli juu ya Corona unazidi kujitetea dhidi ya uongo kwamba chanjo imepatikana.
 
Nafikiri pia kuna mambo kadhaa yanayoendelea chini ya kapeti kuhusu covid yanayosababisha tumaini pekee katika hili libaki kuwa Mungu.

1. Kwanza kabisa ukweli halisi hausemwi kuhusu uwezo wa kinga zinazopigiwa debe kupambana na corona. Na majamaa yalivyojipanga kuzipigia debe hizo chanjo wameamua hadi kuugawa ulimwengu katika kambi mbili: vaccinated and the unvaccinated, na kauli maalumu waliyoamua kuihubiri no matter what facts are ni vaccination, vaccination, vaccination.

2. Kama vaccinations zingekuwa zinafanya kazi tunavyoaminishwa Ulaya isingekuwa katika hali ngumu hivi. Wale jamaa wameshachanja sana kwa nini mambo hayabadiliki?

3. Kama kinga hizi ndiyo ungekuwa mwarobaini wa corona hali ya corona ingekuwa mbaya sana katika nchi za Afrika hususani Tanzania. Hapa kwetu waliochanja hwajafika hata asilimia moja ya raia.

4. Nafasi ya Mungu inakuja katika muktadha wa namna nchi zinazojijua ni maskini zinavyopaswa kuapproach issues ngumu kama hizi za corona. Kwa jinsi corona ilivyo hatari, na kama solution halisi ya corona ingekuwa ni kinga za akina Pfizer na Moderna na wenzao wengineo, basi hapa Tanzania tungekufa sana. Lakini Mungu yupo na tulibahatika toka mwanzo wa hii pandemic kuwa na kiongozi aliyetuongoza kulitazama hili jambo kwa macho ya kiroho zaidi. Tulimwomba Mungu na Mungu ametusaidia hadi sasa.
 
Nu (uppercase Ν lowercase ν) is the 13th letter of the Greek alphabet. And it has the value of 50 in the Greek number system. The letter came from the Phoenician language nun (or nūn), which was used to mean serpent. The uppercase Nu (N) is exactly like the Latin N. Kirusi NYOKA (shetani) . Basi dunia kwisheni ndo mwisho wake.
 
Chanjo ya covid ni biashara endelevu Kama ilivyo ARV kwenye ukimwi
 
we shall fight until we got strong one which will success in erasing Golo. Golo body are so resistant to this virus,there dna is ranges up to 9 digits,insteady of 6 digit that we have,golo have 3 more super resistance including melanin.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…