Poleni sana UDOM kwa migomo isiyokua na mwisho, siasa ya nchi hii chini ya sisiem ndio chanzo cha yote, Hakika mtaishia elimu ya VYETI tu huku kichwani hakuna kitu na field hamtapelekwa, makazini itakuaje?
Kuna makampuni na NGO'S ambazo zimetangaza hazitaki kufanya kazi na graduates wa UDOM kwa ni VILAZA na hawajui kazi: e.g. World vission, WFP, Water Aid, Afnet International, Care, RLDC etc . . . kama hao hawawataki na field mnanyimwa UDOM mtakimbilia wapi?
Kuna makampuni na NGO'S ambazo zimetangaza hazitaki kufanya kazi na graduates wa UDOM kwa ni VILAZA na hawajui kazi: e.g. World vission, WFP, Water Aid, Afnet International, Care, RLDC etc . . . kama hao hawawataki na field mnanyimwa UDOM mtakimbilia wapi?