Kisa cha daktari wa macho Muhimbili

Kisa cha daktari wa macho Muhimbili

Nimeficha jina kwa makusudi maana hajanipa ruhusa nimtaje (na siamini kuwa watoto,wajukuu au ndugu zake) wangependa nimtaje. Ila nina uhusiano nae kiukoo.
Huyo anaedaiwa kuchana juzuu nae yaweza kuwa ni mgonjwa anaestahili kusaidiwa (ili arejee kutimiza majukumu yake ya kifamilia, kijamii na kiserikali). Inawezekana kabisa kuwa jamaa ni mfanyakazi mzuri tu na kawa distressed tu hadi kuchana juzuu.
Kweli jambo hili linataka subira sana
 

Attachments

  • VID-20200209-WA0001.mp4
    13.1 MB
Kuchana Quran na Biblia ilitakiwa kuwa sehemu ya free speech.

Nchi zilizoendelea kama Marekani unaruhusiwa kuchana Biblia, Quran.

Unaruhusiwa hata kuchoma moto bendera ya Marekani.

Ila ununue yako uichome yako mwenyewe.

Ni free expression.

Ni huko tunakofuta ujinga bado ndiyo mnajiletea matatizo ambayo hayapo.

Na labda ni sawa.

Kwa sababu mnafuta ujinga bado.



Sent using Jamii Forums mobile app
Waafrika kwa mihemko utswaweza wewe



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili suala limeshunghulikiwa kwa kuogopa hisia za waislam lakini sio kisheria ua haki.
Ile kumpeleka mahakamani ilikuwa sahihi, huko ndio haki hutolewa na sheria za kosa kama lake hutafsiriwa.

Nasikitika kusema Mh. Raisi na Waziri wame shughulikia jambo hili kisiasa zaidi kuliko kisheria.
 
Kitaalamu tunasema jamaa alikuwa insane at the material time (wakati anachana hizo juzuu).

Lakini kwa kuwa wamelihandle kisiasa as usual basi ndio kwisha habari yake.

Ewe muafrika ukipata nafasi ya kupotea hili bara fanya hivyo hima maana hili bara linasemwa ni la giza na kweli bado kuna giza jingi sana.


Unforgetable
😃😃
 
Umenikumbusha Agip na ile nembo yao ya mnyama mwenye miguu 6 anayetema moto

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilishawahi kumfuga huyo mnyama nyumbani kuna siku sikumpa chakula akatema moto nyumba ikaungua na yeye akateketea,moto wake mkali kuliko hata ule wa tanker lililodondoka msamvu,moro
 
Back
Top Bottom