Kisa cha kijana aliyetokea Jamhuri ya Taured

Kisa cha kijana aliyetokea Jamhuri ya Taured

hebu jazia Nyama vyema ...huo mkasa ulikuwaje ""?? kuwaje ? mmmh
Tulipomaliza kula chakula cha usiku mida ya saa 2 hivi, ghafla alitoweka, na kile chumba ambacho marehemu mama alimkuta kilikuwa kimefungwa kwa nje siku nyingi na hata siku ya tukio pia kilikuwa kimefungwa, huo ulikuwa mwendelezo tu wa mambo ya ajabu kuikumba familia yetu.
 
Tulipomaliza kula chakula cha usiku mida ya saa 2 hivi, ghafla alitoweka, na kile chumba ambacho marehemu mama alimkuta kilikuwa kimefungwa kwa nje siku nyingi na hata siku ya tukio pia kilikuwa kimefungwa, huo ulikuwa mwendelezo tu wa mambo ya ajabu kuikumba familia yetu.
aiseee...naruhusiwa kuja inbox ili niweze kujifunza zaidi...seems una mengi yakuongea lakini waogopa kuya mwaga hapa
 
Tulipomaliza kula chakula cha usiku mida ya saa 2 hivi, ghafla alitoweka, na kile chumba ambacho marehemu mama alimkuta kilikuwa kimefungwa kwa nje siku nyingi na hata siku ya tukio pia kilikuwa kimefungwa, huo ulikuwa mwendelezo tu wa mambo ya ajabu kuikumba familia yetu.
hicho chumba kwanni kilikuwa hakifunguliwi...nakama kilikuwa hakifunguliwi ..mliwezaje kujua kuwa mtoto alikuwa ndani ??...ni mwendelezo upi "" huo inamaana kbla ya hilo tukio yaliwahi kujiri matukio ya ajabu kabla ya hilo ...na baada ya hilo yalijitokeza yapi mengine ....mmmhh poleni sana
 
Haya ni mambo ya kusadikika kama Mohammed alivyokwenda mapangoni kuja na mawe na kusema kashushiwa/kaandika Mungu, yetu macho. Dunia hii ina maajabu sana, Mungu tu ndiye ajuaye ukweli.
 
Haya ni mambo ya kusadikika kama Mohammed alivyokwenda mapangoni kuja na mawe na kusema kashushiwa/kaandika Mungu, yetu macho. Dunia hii ina maajabu sana, Mungu tu ndiye ajuaye ukweli.
haha haha ngoja waje
 
Dunia ina mambo mengi sana ya kustahajabisha, ukisema ufuatilie kila jambo unaweza kuwa chizi ghafla.
 
Dunia hii inatisha Sana mkuu, kuna mdogo wangu sasa hivi ni marehemu aliwahi kupotea kijijini kwetu usiku ktk mazingira ya utata Sana, tulimtafuta kila sehemu hatukumwona, alikuwa na miaka 8 tu kipindi kile, tulipokata tamaa na kurudi nyumbani ili tujipange upya mida ya saa 9 alfajiri, marehemu mama alifungua chumba kilichokuwa kimefungwa muda mrefu na tukamkuta amekaa humo akiwa kimya haongei lolote, hadi alipokuja kuwa mtu mzima na kujitambua ,aligoma kabisa kusema alikuwa wapi hadi anafariki.
Hii ndo thread sasa..jipange mkuu utushirikishe tujifunze kitu hapa
 
hicho chumba kwanni kilikuwa hakifunguliwi...nakama kilikuwa hakifunguliwi ..mliwezaje kujua kuwa mtoto alikuwa ndani ??...ni mwendelezo upi "" huo inamaana kbla ya hilo tukio yaliwahi kujiri matukio ya ajabu kabla ya hilo ...na baada ya hilo yalijitokeza yapi mengine ....mmmhh poleni sana
wiseboy. Mkuu naomba utusaidie kujibu haya maswali.
 
Yan mi nikikumbuka ile ndege mpka leo haijaonekana ndo naanza kuamini vitu kama hivi....
 
Haya ni mambo ya kusadikika kama Mohammed alivyokwenda mapangoni kuja na mawe na kusema kashushiwa/kaandika Mungu, yetu macho. Dunia hii ina maajabu sana, Mungu tu ndiye ajuaye ukweli.
Huu uzi hauusian kabisa na huyo bwana ukitaka kuangalia akili yake na yako humuingii hata kwa punje ya mchele bora ukae kimya kama huna la kusema
 
Dunia ina mambo mengi sana ya kustahajabisha, ukisema ufuatilie kila jambo unaweza kuwa chizi ghafla.
Kabisaaa mkuu ni vichekesho kama Mungu Yesu alivyochezea kichapo kutoka kwa viumbe inachekesha sana
 
aiseee...naruhusiwa kuja inbox ili niweze kujifunza zaidi...seems una mengi yakuongea lakini waogopa kuya mwaga hapa

Nyinyi ndio mnauziwaga uchawi na kuroga wenzenu.. sa kipi hako cha kukuvutia hadi uende inbox?
 
Back
Top Bottom