Kisa cha kijana aliyetokea Jamhuri ya Taured

Kisa cha kijana aliyetokea Jamhuri ya Taured

me pia nimetokea tanzaland ...ni nchi ya muunganiko wa nchi mbili zanziland na tangaland .... karibuni sana kwetu tanzaland
 
Dunia hii inatisha Sana mkuu, kuna mdogo wangu sasa hivi ni marehemu aliwahi kupotea kijijini kwetu usiku ktk mazingira ya utata Sana, tulimtafuta kila sehemu hatukumwona, alikuwa na miaka 8 tu kipindi kile, tulipokata tamaa na kurudi nyumbani ili tujipange upya mida ya saa 9 alfajiri, marehemu mama alifungua chumba kilichokuwa kimefungwa muda mrefu na tukamkuta amekaa humo akiwa kimya haongei lolote, hadi alipokuja kuwa mtu mzima na kujitambua ,aligoma kabisa kusema alikuwa wapi hadi anafariki.
doh basi huyo alikuwa msukule..walimshindw wazee wa anga
 
Dunia ina mengi ambayo mengine hayapaswi kusimuliwa itakuwa ni kuogofya wengi
 
Mi pia babu yang aliwahi toweka kimiujiza akimsindikiza mgeni..tulintafuta sana lakini hatukufanikiwa kumpata wote tulijua amefariki lakini kitu cha ajabu alirudi baada ya siku nne..alipoulizwa alikua wapi alisema alipotoka kumsindikiza mgeni ambaye alikua ni rafiki ake wa siku nyingi alijikuta anatokea sehem ambayo hakuifaham japo kulikua na watu waliokua wakimshangaa na walizungumza lugha ambayo hakuielewa wala hakuwahi kuisikia ila hakukumbuka ilikuaje mpaka akarudi tena...haikuchua muda alifariki..!!
 
Mi pia babu yang aliwahi toweka kimiujiza akimsindikiza mgeni..tulintafuta sana lakini hatukufanikiwa kumpata wote tulijua amefariki lakini kitu cha ajabu alirudi baada ya siku nne..alipoulizwa alikua wapi alisema alipotoka kumsindikiza mgeni ambaye alikua ni rafiki ake wa siku nyingi alijikuta anatokea sehem ambayo hakuifaham japo kulikua na watu waliokua wakimshangaa na walizungumza lugha ambayo hakuielewa wala hakuwahi kuisikia ila hakukumbuka ilikuaje mpaka akarudi tena...haikuchua muda alifariki..!!
Mkuu Pole sana. Ni mwaka gani hii na ni wapi??
 
Back
Top Bottom