Kisa cha kijana aliyetokea Jamhuri ya Taured

hebu jazia Nyama vyema ...huo mkasa ulikuwaje ""?? kuwaje ? mmmh
Tulipomaliza kula chakula cha usiku mida ya saa 2 hivi, ghafla alitoweka, na kile chumba ambacho marehemu mama alimkuta kilikuwa kimefungwa kwa nje siku nyingi na hata siku ya tukio pia kilikuwa kimefungwa, huo ulikuwa mwendelezo tu wa mambo ya ajabu kuikumba familia yetu.
 
aiseee...naruhusiwa kuja inbox ili niweze kujifunza zaidi...seems una mengi yakuongea lakini waogopa kuya mwaga hapa
 
hicho chumba kwanni kilikuwa hakifunguliwi...nakama kilikuwa hakifunguliwi ..mliwezaje kujua kuwa mtoto alikuwa ndani ??...ni mwendelezo upi "" huo inamaana kbla ya hilo tukio yaliwahi kujiri matukio ya ajabu kabla ya hilo ...na baada ya hilo yalijitokeza yapi mengine ....mmmhh poleni sana
 
Haya ni mambo ya kusadikika kama Mohammed alivyokwenda mapangoni kuja na mawe na kusema kashushiwa/kaandika Mungu, yetu macho. Dunia hii ina maajabu sana, Mungu tu ndiye ajuaye ukweli.
 
Haya ni mambo ya kusadikika kama Mohammed alivyokwenda mapangoni kuja na mawe na kusema kashushiwa/kaandika Mungu, yetu macho. Dunia hii ina maajabu sana, Mungu tu ndiye ajuaye ukweli.
haha haha ngoja waje
 
Dunia ina mambo mengi sana ya kustahajabisha, ukisema ufuatilie kila jambo unaweza kuwa chizi ghafla.
 
Hii ndo thread sasa..jipange mkuu utushirikishe tujifunze kitu hapa
 
wiseboy. Mkuu naomba utusaidie kujibu haya maswali.
 
Yan mi nikikumbuka ile ndege mpka leo haijaonekana ndo naanza kuamini vitu kama hivi....
 
Haya ni mambo ya kusadikika kama Mohammed alivyokwenda mapangoni kuja na mawe na kusema kashushiwa/kaandika Mungu, yetu macho. Dunia hii ina maajabu sana, Mungu tu ndiye ajuaye ukweli.
Huu uzi hauusian kabisa na huyo bwana ukitaka kuangalia akili yake na yako humuingii hata kwa punje ya mchele bora ukae kimya kama huna la kusema
 
Dunia ina mambo mengi sana ya kustahajabisha, ukisema ufuatilie kila jambo unaweza kuwa chizi ghafla.
Kabisaaa mkuu ni vichekesho kama Mungu Yesu alivyochezea kichapo kutoka kwa viumbe inachekesha sana
 
aiseee...naruhusiwa kuja inbox ili niweze kujifunza zaidi...seems una mengi yakuongea lakini waogopa kuya mwaga hapa

Nyinyi ndio mnauziwaga uchawi na kuroga wenzenu.. sa kipi hako cha kukuvutia hadi uende inbox?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…