Kisa cha kutafakarisha na kufikirisha juu ya Kikwete na Kagame

Huu mkwara inaonesha hii stori ina ukweli kiasi ndani yake.
 
Usimwage Mchele Kwa wapuzi!
 
Uongo mtupu.
Kigali kila mtaa karibu una ulinxi mkali waliwezaje kupenya?
Wadanganye wasioijua Kigali
 
Wengi humu ni mbumbumbu!!

Hata hawajui pesa mingi ya Kodi za wananchi inapelekwa wapi!!
 
Usiilinganishe Rwanda na Burundi mkuu.
Ikiwa hatyo yalitokea kwanini tulipeleka zana za kivita mikoa jirani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…