Kisa cha kweli: Bodaboda atoswa na kisha baadaye kupindua meza baada ya kusomesha mchumba toka O'level hadi Chuo Kikuu

Mtistuaminishe uongo wenu huo. Hatusomeshi wachumba wala mke labda nimezaa naye na hii ni kwa ajili ya watoto wangu.
 
Daah mwanangu...usomeshe halafu tena ukaloge ili uoe?
Hapa mshindi nani?
Mke kaliwa wee hadi uloge ndio aje?

Huu ni ushindi wa kushukuru nao?
 
Daah mwanangu...usomeshe halafu tena ukaloge ili uoe?
Hapa mshindi nani?
Mke kaliwa wee hadi uloge ndio aje?

Huu ni ushindi wa kushukuru nao?
If u imagine the rate or numbers or percentages of those that aren't virgin getting married on daily basis, you would quickly nullify ur thoughts.

In war fights we get back what we lost during the battle and seize other things from our enemy.
 
If u imagine the rate or numbers or percentages of those that aren't virgin getting married on daily basis, you would quickly nullify ur thoughts.

In war fights we get back what we lost during the battle and seize other things from our enemy.
Lakini kupigania mwanamke asiye mkweli, sio mwaminifu, kitombwi sio ushindi ni kujiharibia maisha yako.

Huyo atakuwa analiwa hata huko kwenye shift za usiku.

Mambo ya wazi kama haya mnajileteaga shida za wazi wenyeww
 
Na huyo boda ni wewe, hongera mkuu
si kila jambo lina second thought, ukijua ufadhili wanaofanya hawa bodaboda na wale wa bajaji huwezi shangaa, it's their dream and they feel so proud and blessed dating university ladies na hujipata watumwa, na mabinti, wadada hawana hiana kufui zip kwa yeyote kama kiu ya mahitaji inatimiziwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…