Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni funzo na huyo bodaboda hadi leo yupo na mkewe, hio sio chai wanaishi Morogoro Town. Hii Dunia ni vita na vita ni vita. Kumbuka Arusha Jiji la tamaa na anasa na pesa ipoLakini kupigania mwanamke asiye mkweli, sio mwaminifu, kitombwi sio ushindi ni kujiharibia maisha yako.
Huyo atakuwa analiwa hata huko kwenye shift za usiku.
Mambo ya wazi kama haya mnajileteaga shida za wazi wenyeww
Mwanaume Mluguru wa KinoleWaliguru Ni watu waajabu
Hyo laki sita alitoa sadaka Kwa Mungu yupi au alimroga binti wa watuHello,
Acha mapenzi yaitwa wazimu wa hiari, ama Ibilisi asiye na akili rehani.
Huyu bodaboda kijana wa kinole morogoro vijijini, alikuwa na mchumba mtoto wa kirangi akasomesha toka O'level hadi chuo ahadi ni kumuoa baada ya kuhitimu chuo.
Baada ya kuhitimu chuo mrembo wa kirangi kapata mchongo Arusha, punde bodaboda akaenda nyumbani kwao mtoto wa kirangi akuuliza endapo Binti kaolewa maana alifadhili masomo kimya kimya, akajibiwa binti hajaolewa wala kuchumbiwa.
Wakati wa kutajiwa kishika uchumba akatajiwa Milioni 2 kisha akaambiwa kuhusu mahali nenda ukapate bei kwa mwenzio yuko Arusha, jamaa bodaboda akafika Arusha akamkuta mchumba, wakaongea Binti akataja mahari Milioni 3, kamanda akarudi zake Morogoro akajipanga akatoa mahari Milioni 3, akarudi zake Morogoro.
Baada ya muda kidogo akaanza kupata vimbwanga kila akipiga simu, baada ya miezi michache mume bodaboda akapiga simu kwa mrembo wa kirangi mkewe, mkewe akamkanya usinipigie mimi nimeolewa nina mume wangu sitaki usumbufu sikutaki na usinitafute kabisa.
Inshallah mume akajiuliza sana akaomba ushauri kwa wazee wa kiluguru wakamwambia tafuta Laki 6 usipate shida mkeo atarudi na atakutafuta mwenyewe na atahamia kikazi Morogoro na akiwa mkeo gharama zote ulizomsomeshea zitarudi vumilia. Kijana bodaboda akatafuta Laki 6 akatoa sadaka na maombi yakafanyika.
Mungu ni Mungu wa ahadi hakika kijana bodaboda akatafutwa na mkewe mrembo wa kirangi, hadi sasa wanaishi kama mume na mke na kijana wa kinole bodaboda anaishi na msomi wa kirangi kada ya afya na tiba.
Mungu hajawahi kumtupa mja wake tumpe imani hakika yeye ni Alfa na Omega.
Mshitikishe Mungu wako bisheni hodi mtafunguliwa, tafuteni mtapata na ombeni nanyi mtapewa.
Jisaidie nami nitakusaidie.
Imani ni nguvu ya kuishi na maisha ni zawadi.
Wadiz---now once for a while.
sijaongelea chochote ni maombi ya wazee wake wa kimila sijashawishi mtu aje PM sio lengo langu.Tangazo la mganga
Mungu aliemuwezesha kumsomesha labda who knows. Mimi siwezi jibia maswali yake, hiki ni kisa tu cha ukweli na bado wapo.Hyo laki sita alitoa sadaka Kwa Mungu yupi au alimroga binti wa watu
Ooh!! Okay.Siyo ushirikina.Aliwapa laki sita kama nauli ili waende Arusha kumbembeleza mrangi amrudie bodaboda.
Lipia tangazoHello,
Acha mapenzi yaitwa wazimu wa hiari, ama Ibilisi asiye na akili rehani.
Huyu bodaboda kijana wa kinole morogoro vijijini, alikuwa na mchumba mtoto wa kirangi akasomesha toka O'level hadi chuo ahadi ni kumuoa baada ya kuhitimu chuo.
Baada ya kuhitimu chuo mrembo wa kirangi kapata mchongo Arusha, punde bodaboda akaenda nyumbani kwao mtoto wa kirangi akuuliza endapo Binti kaolewa maana alifadhili masomo kimya kimya, akajibiwa binti hajaolewa wala kuchumbiwa.
Wakati wa kutajiwa kishika uchumba akatajiwa Milioni 2 kisha akaambiwa kuhusu mahali nenda ukapate bei kwa mwenzio yuko Arusha, jamaa bodaboda akafika Arusha akamkuta mchumba, wakaongea Binti akataja mahari Milioni 3, kamanda akarudi zake Morogoro akajipanga akatoa mahari Milioni 3, akarudi zake Morogoro.
Baada ya muda kidogo akaanza kupata vimbwanga kila akipiga simu, baada ya miezi michache mume bodaboda akapiga simu kwa mrembo wa kirangi mkewe, mkewe akamkanya usinipigie mimi nimeolewa nina mume wangu sitaki usumbufu sikutaki na usinitafute kabisa.
Inshallah mume akajiuliza sana akaomba ushauri kwa wazee wa kiluguru wakamwambia tafuta Laki 6 usipate shida mkeo atarudi na atakutafuta mwenyewe na atahamia kikazi Morogoro na akiwa mkeo gharama zote ulizomsomeshea zitarudi vumilia. Kijana bodaboda akatafuta Laki 6 akatoa sadaka na maombi yakafanyika.
Mungu ni Mungu wa ahadi hakika kijana bodaboda akatafutwa na mkewe mrembo wa kirangi, hadi sasa wanaishi kama mume na mke na kijana wa kinole bodaboda anaishi na msomi wa kirangi kada ya afya na tiba.
Mungu hajawahi kumtupa mja wake tumpe imani hakika yeye ni Alfa na Omega.
Mshitikishe Mungu wako bisheni hodi mtafunguliwa, tafuteni mtapata na ombeni nanyi mtapewa.
Jisaidie nami nitakusaidie.
Imani ni nguvu ya kuishi na maisha ni zawadi.
Wadiz---now once for a while.
Kuna watu wanaandaliwa kuibiwa hapa.Hello,
Acha mapenzi yaitwa wazimu wa hiari, ama Ibilisi asiye na akili rehani.
Huyu bodaboda kijana wa kinole morogoro vijijini, alikuwa na mchumba mtoto wa kirangi akasomesha toka O'level hadi chuo ahadi ni kumuoa baada ya kuhitimu chuo.
Baada ya kuhitimu chuo mrembo wa kirangi kapata mchongo Arusha, punde bodaboda akaenda nyumbani kwao mtoto wa kirangi akuuliza endapo Binti kaolewa maana alifadhili masomo kimya kimya, akajibiwa binti hajaolewa wala kuchumbiwa.
Wakati wa kutajiwa kishika uchumba akatajiwa Milioni 2 kisha akaambiwa kuhusu mahali nenda ukapate bei kwa mwenzio yuko Arusha, jamaa bodaboda akafika Arusha akamkuta mchumba, wakaongea Binti akataja mahari Milioni 3, kamanda akarudi zake Morogoro akajipanga akatoa mahari Milioni 3, akarudi zake Morogoro.
Baada ya muda kidogo akaanza kupata vimbwanga kila akipiga simu, baada ya miezi michache mume bodaboda akapiga simu kwa mrembo wa kirangi mkewe, mkewe akamkanya usinipigie mimi nimeolewa nina mume wangu sitaki usumbufu sikutaki na usinitafute kabisa.
Inshallah mume akajiuliza sana akaomba ushauri kwa wazee wa kiluguru wakamwambia tafuta Laki 6 usipate shida mkeo atarudi na atakutafuta mwenyewe na atahamia kikazi Morogoro na akiwa mkeo gharama zote ulizomsomeshea zitarudi vumilia. Kijana bodaboda akatafuta Laki 6 akatoa sadaka na maombi yakafanyika.
Mungu ni Mungu wa ahadi hakika kijana bodaboda akatafutwa na mkewe mrembo wa kirangi, hadi sasa wanaishi kama mume na mke na kijana wa kinole bodaboda anaishi na msomi wa kirangi kada ya afya na tiba.
Mungu hajawahi kumtupa mja wake tumpe imani hakika yeye ni Alfa na Omega.
Mshitikishe Mungu wako bisheni hodi mtafunguliwa, tafuteni mtapata na ombeni nanyi mtapewa.
Jisaidie nami nitakusaidie.
Imani ni nguvu ya kuishi na maisha ni zawadi.
Wadiz---now once for a while.
Stori za Abunuwasi hizi.Hello,
Acha mapenzi yaitwa wazimu wa hiari, ama Ibilisi asiye na akili rehani.
Huyu bodaboda kijana wa kinole morogoro vijijini, alikuwa na mchumba mtoto wa kirangi akasomesha toka O'level hadi chuo ahadi ni kumuoa baada ya kuhitimu chuo.
Baada ya kuhitimu chuo mrembo wa kirangi kapata mchongo Arusha, punde bodaboda akaenda nyumbani kwao mtoto wa kirangi akuuliza endapo Binti kaolewa maana alifadhili masomo kimya kimya, akajibiwa binti hajaolewa wala kuchumbiwa.
Wakati wa kutajiwa kishika uchumba akatajiwa Milioni 2 kisha akaambiwa kuhusu mahali nenda ukapate bei kwa mwenzio yuko Arusha, jamaa bodaboda akafika Arusha akamkuta mchumba, wakaongea Binti akataja mahari Milioni 3, kamanda akarudi zake Morogoro akajipanga akatoa mahari Milioni 3, akarudi zake Morogoro.
Baada ya muda kidogo akaanza kupata vimbwanga kila akipiga simu, baada ya miezi michache mume bodaboda akapiga simu kwa mrembo wa kirangi mkewe, mkewe akamkanya usinipigie mimi nimeolewa nina mume wangu sitaki usumbufu sikutaki na usinitafute kabisa.
Inshallah mume akajiuliza sana akaomba ushauri kwa wazee wa kiluguru wakamwambia tafuta Laki 6 usipate shida mkeo atarudi na atakutafuta mwenyewe na atahamia kikazi Morogoro na akiwa mkeo gharama zote ulizomsomeshea zitarudi vumilia. Kijana bodaboda akatafuta Laki 6 akatoa sadaka na maombi yakafanyika.
Mungu ni Mungu wa ahadi hakika kijana bodaboda akatafutwa na mkewe mrembo wa kirangi, hadi sasa wanaishi kama mume na mke na kijana wa kinole bodaboda anaishi na msomi wa kirangi kada ya afya na tiba.
Mungu hajawahi kumtupa mja wake tumpe imani hakika yeye ni Alfa na Omega.
Mshitikishe Mungu wako bisheni hodi mtafunguliwa, tafuteni mtapata na ombeni nanyi mtapewa.
Jisaidie nami nitakusaidie.
Imani ni nguvu ya kuishi na maisha ni zawadi.
Wadiz---now once for a while.
Mkuu ni Mungu kweli au ni ndumba zimetumika?Hello,
Acha mapenzi yaitwa wazimu wa hiari, ama Ibilisi asiye na akili rehani.
Huyu bodaboda kijana wa kinole morogoro vijijini, alikuwa na mchumba mtoto wa kirangi akasomesha toka O'level hadi chuo ahadi ni kumuoa baada ya kuhitimu chuo.
Baada ya kuhitimu chuo mrembo wa kirangi kapata mchongo Arusha, punde bodaboda akaenda nyumbani kwao mtoto wa kirangi akuuliza endapo Binti kaolewa maana alifadhili masomo kimya kimya, akajibiwa binti hajaolewa wala kuchumbiwa.
Wakati wa kutajiwa kishika uchumba akatajiwa Milioni 2 kisha akaambiwa kuhusu mahali nenda ukapate bei kwa mwenzio yuko Arusha, jamaa bodaboda akafika Arusha akamkuta mchumba, wakaongea Binti akataja mahari Milioni 3, kamanda akarudi zake Morogoro akajipanga akatoa mahari Milioni 3, akarudi zake Morogoro.
Baada ya muda kidogo akaanza kupata vimbwanga kila akipiga simu, baada ya miezi michache mume bodaboda akapiga simu kwa mrembo wa kirangi mkewe, mkewe akamkanya usinipigie mimi nimeolewa nina mume wangu sitaki usumbufu sikutaki na usinitafute kabisa.
Inshallah mume akajiuliza sana akaomba ushauri kwa wazee wa kiluguru wakamwambia tafuta Laki 6 usipate shida mkeo atarudi na atakutafuta mwenyewe na atahamia kikazi Morogoro na akiwa mkeo gharama zote ulizomsomeshea zitarudi vumilia. Kijana bodaboda akatafuta Laki 6 akatoa sadaka na maombi yakafanyika.
Mungu ni Mungu wa ahadi hakika kijana bodaboda akatafutwa na mkewe mrembo wa kirangi, hadi sasa wanaishi kama mume na mke na kijana wa kinole bodaboda anaishi na msomi wa kirangi kada ya afya na tiba.
Mungu hajawahi kumtupa mja wake tumpe imani hakika yeye ni Alfa na Omega.
Mshitikishe Mungu wako bisheni hodi mtafunguliwa, tafuteni mtapata na ombeni nanyi mtapewa.
Jisaidie nami nitakusaidie.
Imani ni nguvu ya kuishi na maisha ni zawadi.
Wadiz---now once for a while.