permist
JF-Expert Member
- Feb 23, 2017
- 650
- 408
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo Aya ya mwisho nimekerwa na mambo mawili. Kwanza ni hiyo tabia ya demu wako kuchukua simu na kuipokea as if ni yake. Hii tabia huwa naona ni kukosa adabu kuliko pitiliza. Hata kama ni mwanaume wako usithubutu kuipokea simu yangu pengine ni mtu ananidai au nimedanganya kuwa sipo karibu na simu wewe unapokea hiyo sio adabu hata kidogo Pumbavu zako shemeji lisa.
Pili ni hii tabia ya kuja na story nusu nusu badala ya kuandika kitu cha kueleweka. Ukapost chote unaandika nusu nusu halafu unasema itaendelea unatukera tunaosoma na mimi nikishaona neno itaendelea huwa naishia hapo hapo.
Kwahiyo naomba nikufahamishe ndugu mleta uzi kuwa umenikera sana matako yako mbwa wewe na Hadithi yako zitasoma tena.
Hata mimi nimekereka sana.Hiyo Aya ya mwisho nimekerwa na mambo mawili. Kwanza ni hiyo tabia ya demu wako kuchukua simu na kuipokea as if ni yake. Hii tabia huwa naona ni kukosa adabu kuliko pitiliza. Hata kama ni mwanaume wako usithubutu kuipokea simu yangu pengine ni mtu ananidai au nimedanganya kuwa sipo karibu na simu wewe unapokea hiyo sio adabu hata kidogo Pumbavu zako shemeji lisa.
Pili ni hii tabia ya kuja na story nusu nusu badala ya kuandika kitu cha kueleweka. Ukapost chote unaandika nusu nusu halafu unasema itaendelea unatukera tunaosoma na mimi nikishaona neno itaendelea huwa naishia hapo hapo.
Kwahiyo naomba nikufahamishe ndugu mleta uzi kuwa umenikera sana matako yako mbwa wewe na Hadithi yako zitasoma tena.
Mkuu YinYang hebu tupia jicho hapa na hatua kali ichukuliweKwahiyo naomba nikufahamishe ndugu mleta uzi kuwa umenikera sana matako yako mbwa wewe na Hadithi yako zitasoma tena
Hakika speed 120km/hrMpaka sasa bado wanafukuzana road
UrudiMimi sio mwandishi mzuri hivyo tutavumiliana kidogo.
Mimi ni kati ya wale vijana wachache ambao tumepata bahati ya kuwa na pesa tukiwa na umri mdogo, nikisema umri mdogo sijui mnanielewa? By 22 nilikuwa na nyumba 5 na gari za kutembelea mbili ukitoa vitu vingine ambavyo sio muhimu kusema...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kweli inakera sana ujueSiku hizi kabla ya kujiingiza kwenye matatizo nina-scroll hadi mwisho kutafuta neno ITAENDELEA. Nikilikuta sisomi uzi.
Sana aisee yaani inaniuma sanaImefika patamu
Hii sio chaiChai