Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Nimejikuta usingizi unakata na kuruka kama mtoto.
Baada ya kumaliza fomu six miaka 2000 siku moja nilienda kumtembelea jamaa yangu asubuhi ili tupige stori. Mama yake akaandaa chai ilikuwa, Dar maeneo ya Yombo Kilakala.. Basi wakati anatenga chai akaleta vikombe viwili cha kwangu na cha rafiki yangu
Kabla ya kumimina chai kile kikombe changu akakifunika juu chini. Yaani mdomo ukalala chini. Cha rafiki yangu mdomo ukawa kama kawaida juu. Baadae ndio akamimina chai.
Nilitoka hapo nawaza sana. Maana mpaka leo nafikria kwa nini alifanya hivyo. Mshikaji wangu sasa ni Engineer taasisi moja ya serikali. Mimi nauza Kangala japo Maisha yanaenda ila natafakari sana.
Baada ya kumaliza fomu six miaka 2000 siku moja nilienda kumtembelea jamaa yangu asubuhi ili tupige stori. Mama yake akaandaa chai ilikuwa, Dar maeneo ya Yombo Kilakala.. Basi wakati anatenga chai akaleta vikombe viwili cha kwangu na cha rafiki yangu
Kabla ya kumimina chai kile kikombe changu akakifunika juu chini. Yaani mdomo ukalala chini. Cha rafiki yangu mdomo ukawa kama kawaida juu. Baadae ndio akamimina chai.
Nilitoka hapo nawaza sana. Maana mpaka leo nafikria kwa nini alifanya hivyo. Mshikaji wangu sasa ni Engineer taasisi moja ya serikali. Mimi nauza Kangala japo Maisha yanaenda ila natafakari sana.