Kisa cha kweli: Niliacha kazi nikajiunga masters ili nimsomeshe mdogo wangu chuo

Upo sahihi akusikilize
 
Kuna nini tena mkuu, tafuta uzi wa scholarship anza kufanya maombi au watumie ndugu jamaa na marafiki waapply hizo zote ni fursa.
Uvute alafu uweke pale chini ya Uzi wako

Andika

Pia soma: link.scholarship............
 
1.5m ndo unaona hela kubwa eti inazifi mfanyakazi wa wizara, mkuu uandishi wako sio wa mtu aliyesoma masters,
Mi nimecheka kifala balwaa,yaani watu hatupo Wizarani na tunajilipa zaidi ya hvyo na marupurupu kibao halafu wala haturingi,🤣🤣🤣🤣
 
Mi nimecheka kifala balwaa,yaani watu hatupo Wizarani na tunajilipa zaidi ya hvyo na marupurupu kibao halafu wala haturingi,🤣🤣🤣🤣
Haturingi mkuu kuna watu wanataka kutimiza malengo yao wamekwama hii inaweza kuwasaidia mkuu wangu.
 
Uvute alafu uweke pale chini ya Uzi wako

Andika

Pia soma: link.scholarship............
Nimesha vuta uzi tayari, watu waliokwama na wanataka kuongeza kipato walau kwa kutumia elimu zao huu uzi ni mzuri. Mtatusamehe wakuu tumeficha baadhi ya taarifa.
 
Mkuu ahsante sana kwa mchango mzuri kila mmoja hulidhika na kile anachokipata kulingana na matumizi yake.
Ila kwa mbwembwe ulizonazo mkuu kwa comment mbali mbali naona kabisa hio stori haijabalance...Umesema uliajiriwa shirik X ulikua unalipwa mshahara mkubwa ila ukaacha kisa 1.5M hapo sinaelewa mshahara kubwa wa shirika X ndo upi kama hata 1.5M umeona kubwa.
 
Mbona najaribu kuifuatilia stori yako, sio hii hapa
Halafu nashindwa kuelewa, mara Uko China mara juzi kati uko Ardhi
Huyo mtu wa fiksi na kujikweza fuatilia comment zake hasa zinazowahusu watu wanaotafuta vyuo vya kati.
 
Maisha ni kuchagua... hongera kwa hesabu zako nzuri. Nadhani uliye mchukulia sacrifice yote hiyo basi na aje awe wa MATUNDA! Hongera sana.
 
chai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…