Kisa cha Kweli: Sitasahau nilivyopendwa na mchawi nikaishia kurogwa

Kisa cha Kweli: Sitasahau nilivyopendwa na mchawi nikaishia kurogwa

nilishawaambia haya ndio matatizo yakucopy nakupaste story za watu..mnaona sasa mwandishi kakosa chakuendelea kusimulia kaingia mitini😅😅
 
Siyo yy na mwandishi kasema hatumii Jf sijaponda ila nimewapa taarifa ikiendelea kule mm huyu huyu nitaipost hapa
Kama unawasiliana nae muulize anaendelea lini?

Maana mimi nilitaka nilete mwendelezo, nikasikia unasema story utaiendeleza wewe ukiitoa huko facebook.

Tunasubiri muendelezo.
 
Huyu Vumilia inaonesha kisha idhibiti hii simulizi isiendelee kumumbua
 
Back
Top Bottom