Mfalme_wa_Nyika
JF-Expert Member
- May 24, 2023
- 389
- 911
nilishawaambia haya ndio matatizo yakucopy nakupaste story za watu..mnaona sasa mwandishi kakosa chakuendelea kusimulia kaingia mitini😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unawasiliana nae muulize anaendelea lini?Siyo yy na mwandishi kasema hatumii Jf sijaponda ila nimewapa taarifa ikiendelea kule mm huyu huyu nitaipost hapa
Achana na wahuni mkuu, lete vitu watu tujifunze🤒Kama unawasiliana nae muulize anaendelea lini?
Maana mimi nilitaka nilete mwendelezo, nikasikia unasema story utaiendeleza wewe ukiitoa huko facebook.
Tunasubiri muendelezo.
Huyo wala siyo mhuni ni mpumbavu mmoja tu, asiye na maarifa.Achana na wahuni mkuu, lete vitu watu tujifunze[emoji855]
Lini mkuu maana speed I'm pungua kidogo🤒🙏Huyo wala siyo mhuni ni mpumbavu mmoja tu, asiye na maarifa.
Mwendelezo naleta...
Mkuu wewe ndo yule athena wa singanojr kwenye Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra ama sio?😂😂😂Bila kumuomba Vumilia kuruhusu hii Simulizi iendelee basi itakuwa imeishia hapa.
Haya bhana. Wasukuma na akili wapi na wapi? Nyie wenye akili nendeni mkaishi zebaki basi. Kosa la mtu mumja unatukana watu zaidi ya milion 10Wasukuma na akili wapi na wapi umewahi ona au sikia
😂😂Huyu Vumilia inaonesha kisha idhibiti hii simulizi isiendelee kumumbua
hawezi rudi mzee wakukopy nakupaste atoe wapi maji wakati mwenye bomba kule hajafungulia!?Jamaa anajua kututesa tuanaomba urudi tumalizia puliiz
Nisamehe mkuu nakili kukosea kuunganisha huyu mpumbavu na wasukuma wote nisameheniHaya bhana. Wasukuma na akili wapi na wapi? Nyie wenye akili nendeni mkaishi zebaki basi. Kosa la mtu mumja unatukana watu zaidi ya milion 10
Story nzuri sana sema kama kawaida jf haikosi wajinga wachache wavulugaji
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Vipi haijaendelea huko facebook we mliwa Mavi?Nisamehe mkuu nakili kukosea kuunganisha huyu mpumbavu na wasukuma wote nisameheni
Mpuuzi wwVipi haijaendelea huko facebook we mliwa Mavi?
Leo usikumwendelezo lini mkuu