Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbwa wewe ulikula fisi ha ha [emoji1787] ha [emoji23]Inaendelea sehemu ya 11
Baada ya kuusoma ule ujumbe, niliuchana kisha nikautupa nikaondoka kuelekea assembly. Nilikaa mstarini, huku nikipanga tutakapotawanyika tu tuyaweke mambo sawa. Sikutaka ugomvi kabisa na yule binti nilimjua ni mtu anayeweza kuniweka kwenye kiganja chake na kunichezea atakavyo. Baada ya kutawanyishwa nilimfata, nikamuambia ujumbe wako nimeupata ila nahitaji tuongee. Hakuwa na shida aliniambia yeye anabaki kujisomea darasani kwa muda kama wa saa moja then ndio aende nyumbani, kama nina shida sana ninaweza kumsubiri amalize kusoma. Hili lilinishangaza kwani nilimfahamu Vumilia hakuwa mtu wa kusoma sana. Kwa hiyo nilijua moja kwa moja huyu mchawi alitaka kunipima tu, hana jipya lolote, au ni kiburi cha mauchawi yake ndio kinamuendesha kutaka kunikomoa.
Kwa kuwa nilikuwa na shida niliazimia kumsubiri, niliona lisaa limoja sio issue. Muda wote aliokuwa anasoma hakutaka kuongeleshwa kabis, anajidai ameconcetrate!
Maajabu ya karne!
Masaa hayasimami, muda si kitambo akawa ameshamaliza kusoma. Tukatoka darasani na kuanza kuelekea nyumbani. Njiani sikutaka kupoteza muda, nilianzisha mazungumzo.
"Ile karatasi yako vumilia sijaielewa kabisa inamaanisha nini"
Veronika alikaa kimya hakujibu chochote. Nilikaa na mimi kwa muda kisha nikamuuliza
"Sasa mbona haunijibu umekaa kimya"
Bado aliendelea kukaa kimya, Mwishowe nilichukizwa na ile hali hasira zikanishika kuona naongea na mtu halafu ananiletea nyodo kisa uchawi wake. Nikajikuta nikiropoka
"Acha dharau wewe, usitake kuniendesha kisa viuchawi vyako. Kama ulikuwa hutaki kuongea na mimi ungeniambia mapema nikaondoka zangu. Kuliko kukusubiri ili niongee na wewe, kumbe maskini nakumalizia nguvu za kuongea na misukule yako baadae"
Aisee Vumilia alinikata jicho hilo halafu akafungua mdomo wake. Kwa sababu nilikuwa na nimechukia hata sikuwaza sana.
"Ina maana mr the dragon mara hii umeshasahau wema wangu, hadi unaniita mchawi kisa huyo kidudumtu Sara"
Nilimuangalia nikokoswa cha kujibu!
"Si nakuuliza wewe, ambaye unaniita mchawi. Ina maana mara hii tayari umeshasahau wema wangu kweli. Hivi unajua nisingekuwa mimi ungekuwa aridhini sasa hivi"
"Umenikera nakuuliza halafu umekaa kimya" nilijitetea
"Ehee ulikuwa unasemaje sasa baba mwenye shida zake" alisema huku akibetua mdomo kwa dharau
"Ujumbe wako ulioniandikia sijaulewa"
"Hujaelewa nini kwani hujui kusoma"
"Nimeusoma lakini sijaelewa unamaanisha nini"
"Sikiliza mr the dragon usitake kujifanya mjanja sana. Mr the dragon najua unajua nakupenda na ndio maana nilikusaidia. Lakini malipo yake umeamua kumchukua Sara badala ya mimi, hivi unadhani mimi nitajisikiaje" aliongea Vumilia kwa ukali kidogo
"mimi sina mahusiano na Sara"
" Acha kunifanya mtoto mimi nimesikia mambo yenu yote. Na nina uhakika na ninachokiongea. Tafadhali ukae kimya tu kuliko kutaka kunidanganya. We subiri tutaona tu mwisho wake"
Nilikaa kimya kidogo nikiwaza nimwambie nini. Baada ya kufikiria sana nikaona niendelee kumkomalia kwamba mimi sina mahusiano na Sara ila nikajisemea kama atandelea kukomaa na analoliamini basi nimuombe msamaha.
Kupunguza story nyingi, Vumilia aliendelea kushikilia msimamo wake ikabidi nimuombe msamaha yaishe. Alinikubalia lakini akanipa sharti moja
"Leo usiku njoo geto kwangu ulale na mimi"
Mwanzoni nilitaka kukataa, lakini nikaona hapana. Mimi kama mwanaume ni udhaifu kupewa papuchi halafu niikatae. Niliridhia kwenda kulala kule geto kwake. Baada ya pale kila mtu alirudi getto kwake lakini akiwa na hamu na bashasha ya kumzagamua mwenzake.
Huwa nawashangaa sana wanawake wanaosema natafuta mwanaume asiye penda penda. Jamani leo nataka niwaweke wazi hapa duniani hakuna mwanaume lijari asiyependa wanawake hapa duniani. Nisome vizuri sijasema asiyependa "mwanamke" nimesema asiyependa "wanawake" . Labda mwanaume aamue kujizuia tu kwa ajili ya heshima ya mke au mpenzi wake ingawa kiuhalisia wanawake wengi anaokutana nao angetamani kuwachapa.
Sishangai kusikia kuna rais wa Marekani alizagamuana na kitoto ndani ya Ikulu. Wanaume pale tumerogwa udhaifu wetu wa kwanza ni wanawake. Ndio maana kwenye maandiko Samson, Daud, Suleiman na Amnoni pamoja na ujanja wao wote pale walikwama.
Hivyo huwezi amini pamoja na kwamba nilikuwa namuogopa Vumilia kimtindo. Lakini aliponiomba nikalale naye akili ilihama kabisa nikaanza kuwaza kumzagamua tu.
Ilipofika saa mbili usiku sikuchelewa nilipiga hatua hadi nikafika, mahali Vumilia alikuwa anakaa. Nilimkuta yupo anapika ugali Na dagaa, alipika tukamaliza tukala. Baada ya pale nilienda kujilaza kwenye godoro nikawa natafuta mbinu ya jinsi nitakavyoumuingiza kingi. Ile bado nawaza Vumilia alisogea hadi nilipokuwa nimelala, akawa amegusanisha mwili wake kwenye mwili wangu, halafu akasogeza mdomo wake hadi kwenye sikio langu. Kisha akaniambia kwa sauti ndogo iliyochanganyika na mahaba na kuhema kwa kasi kulikopelekewa na mapigo ya moyo kuongezeka.
"nikiwa kama mwanamke nayekupenda nakuhitaji vibaya mno usiku wa leo" alisema huku akirehema na kurembua macho kwa mbwembwe nyingi.
Nami sikuhitaji kufanya uzembe japo nilikuwa sijabobea, lakini niliamini lile ni somo rahisi lisilohitaji hata tuition. Nilinyoosha mkono wangu nikafunua nguo aliyokuwa amevaa nikaingiza mkono wangu wa kuume hadi kwenye tumbo lake, nikawa namtomasa kuanzia maeneo ya tumbo hadi kifuani, kana kwamba kuna kitu kilichopotea nilikuwa nakitafuta. Nilifurahi kuufanya ule mchezo na yeye alikuwa ametulia tuli bila kuongea chochote. Nikaanza kumgusa kwenye matunda mawili yaliyoko kifuani, nilizishika nipples taratibu na kuanza kuzichezea kwa zamu, mara nikasikia
"Siiiiii jamani mr the draregogn please mpenzi wangu"
Alishindwa kutamka jina langu vizuri na alichokiongea hakikuwa na maana yoyote lakini nilimuelewa alimaanisha nini. Niliongeza kumchezea hayo maeneo hadi na yeye akawa anagugugumia sauti za mahaba tu. Nilibadilisha muelekeo nikaanza kugeukia upande wa ikulu niijaribu kumfungua sketi aliyokuwa amevaa nikasikia akisema
"Please usiende huko" kwa sauti ya chini sana
Alikataa nisiende lakini hakunizuia mkono, hivyo nikajiongeza nikajua ni kelele za chura. Nilimfungua nikakakutana na nguo ya ndani aliyovaa, sikuwa na muda wa kuichunguza ni rangi gani. Niliingiza mkono hadi nikagusa mkono mahali penyewe.
Muda wote I wasn't talking anything, but my hands were talking with her body. Nilipomgusa tu kule akaanza kunivuta na kunikumbatia kwa nguvu. Nikawa nachezea ile sehemu kwa mbwembwe, japo sikuthubutu kuingiza vidole vyangu kule ndani. Sehemu zake zilikuwa laini sana tu manyoya nyoya kwa mbali na zilikuwa zimeanza kulowa.
Punde si punde wote tukajikuta tumebaki kama tulivyozaliwa, macho yangu yalikuwa yakihamaki kwenye ule mwili mzuri niliokuwa nautamani sana. Aliniangalia kwa macho ya aibu kisha akateremsha macho hadi ikulu yangu. Aliushika na kuanza kuutomasa tomasa kama mtu aliyeuhitaji sana mhogo wa jang'ombe. Sijisifii ila nimebarikiwa dhakari la haja. Akawa ananiangalia huku anatabasamu, nilimchanua miguu na kulizamisha ndani.
Kilichoendelea sitaki kukukuambia tena!kiufupi usiku ule tulifanya mengi na kuongea vingi.
Nilitoka pale adhuhuri nikarudi geto, nikajiandaa Na kuelekea shule. Shuleni siku hiyo kuna kitu kimoja nilikigundua Sara hakuwa na furaha kabisa kwa tokea asubuhi nilivyomuona. Nilijiuliza amepatwa na nini?
Niliona kulikuwa hakuna haja ya kujiuliza maswali mengi wakati mhusika mwenyewe alikuwepo. Nilimsogea kwenye dawati lake na kumuuliza kulikoni mrembo wa dunia. Alinijibu, nitakuambia baadae hapa kuna watu wengi. Nilisubiri hadi muda wa break ndipo tulipokutana na kufanya mazungumzo. Kiufupi aliniambia usiku uliopita kwake haukuwa na mzuri kabisa. Kuna mambo ya kishirikina yalitokea pale kwao nyakati za usiku.
"huwezi amini jana usiku sijala kabisa, jana nyumbani wakati wa kula kila tulipokuwa tunaanza kula taa inazimika (taa ya chemli). Tukiwasha inawaka, tukianza kula inazimika, hali iliendelea hivyo hadi tulipoazimia kula gizani. Cha ajabu tulipoanza kula tu gizani mimi kila nikianza kula nikishika tu chakula najikuta nachomwa na miiba mikononi"
"miiba ile kuna mtu alikuwa ankuchoma nayo au vipi" nilimuuliza
"hapana, yaani nikishika kile chakula badala ya kushika chakula, mimi nashika miiba, lakini wengine niliokuwa nakula nao tena kwenye sufuria moja wanakula kama kawaida. Niliwauliza wenzangu walishangaa sana wote tukagairi kula tukafanya tu maombi"
Alisema kwa huzuni huku akinionyesha baadhi ya vimajeraha vilivyotokana na kuchomwa na miiba. Nilishangaa kidogo nikajiuliza nini hiki tena. Niliwaza je yule atakuwa Vumilia lakini, nilipotezea yale mawazo kwa sababu nilijua Vumilia nililala naye geto ingewezekanaje aende kwao Sara vilevile nilikuwa na mashaka kama anapafahamu kwao na Sara tena sehemu ambayo ni kijiji kingine. Niliwaza inawezekana ni wanga wa huko kwao wameamua kuwatembelea. Ghafla nilimuona Vumilia akiwa anakuja sehemu ile tuliyokuwa tumesimama. Alifika na kumsalimia sara.
"Mambo sara"
"Poa"
"mbona unajibu kiunyonge au haujala jana"
"Hamna kawaida tu sio kila siku ni jumatatu"
"Mimi nikajua una njaa nikupe hata buku rafiki yangu ukanywe chai" aliongea kiutani huku akipiga hatua kuondoka sehemu ile.
Ingawa Sara hakuonyesha kushangazwa na kauli zile, alichukulia kama utani mwingine wa kawaida lakini kwa upande wangu nilianza kuhisi Vumilia anahusika na mchezo ule. Lakini sikuelewa ingewezekanaje afanye hicho kitendo wakati usiku kucha nilikuwa nae.
Nilikumbuka kisa fulani wakati tukiwa bado wadogo, kuna jamaa yangu alikuwa ananisimulia story ya jamaa alikuwa ameoa mke mchawi. Usiku mke anatoka kuwanga, halafu anamuachia fisi aenjoy naye kitandani huku yeye akiwa hajui chochote akidhani huwa anabayolojiana
mkewe. Hadi siku alipokuja kusanuliwa na mzee fulani kwamba mara nyingi huwa analala na fisi. Mzee yule akampa dawa ya kupaka machoni ikifika usiku ili ahakikishe. Kufika usiku jamaa alipaka kweli ile Dawa akashuhudia kweli mkewe humuachia fisi pale kitandani!
Niliwaza inawezekana na mimi jana nimejivinjari na fisi!
Nilichanganyikiwa!
Itaendelea, ndio tunaelekea mwisho wa story
I'm here to stay.
Mara zote mshindi mtarajiwa wa shindano la 'stories of change' huwa anafahamika.
Na mshindi huyo huwa habadiliki hata mara moja, labda kwa mtu asiye na macho ya rohoni. Sifa zake ni rahisi tu, anapaswa kukamilisha kazi ya shindano kama alivyoipokea. Na kufahamika kwa mshindi huyo ndio sababu ya kuwekezwa kwa pesa nyingi kwenye shindano hili maana hata waanzilishi wanajua faida ya shindano wao pia inawahusu.
Binafsi namfananisha mshindi huyu kama mshambuliaji hodari wa timu ya mpira. Nikiri kwamba hakuna mshindi halisi anayetangazwa kwenye shindano la 'stories of change'. Au hakuna mfungaji bora wa bao la ushindi anayepatikana kwenye michuano hii.
View attachment 2699379
Picha : mtandao
Wala sio kweli kwamba mwaka 2021, Mmari aliongoza kwa magoli! Mmari ni kiungo mkabaji tu, kufunga sio kazi yake! Alikaba vizuri na alifanikiwa kuzuia mashambulizi ya timu pinzani kama alivyoelekezwa na kocha. Mnasema mfungaji bora wa mwaka 2022 alikuwa Kulwa?! Na mnaamini kabisa?! Poleni sana! Kulwa ni golikipa tu! Kelele mlizosikia ni za yeye kuokoa penati na wala si tuzo ya mfungaji bora kama wanavyodai.
Anayefunga goli hasa ndiye mshindi. Lakini sijui kwa nini hajitangazi maana ni kawaida ya washindi kujigamba na kujigamba! Asimame mbele za kadamnasi, aseme si mnaniona?! Uwanja wote nimehaha. Mimi ni mshambuliaji bora sana. Nimefika hapa na pale na pale, lakini wapi!! Kimyaa! Kila mtu ametaharuki.
View attachment 2699381
Picha: mtandao
Tulia kwanza halafu nisikilize!
Kuna raha ya kuwa na mshambuliaji analijua goli bwana! Yeye mpe mpira halafu mengine muachie, hakuangushi. Mpira wa juu ataenda na kichwa-mchundo au 'tik-taka'. Mpira upo mita 30 ataachia kombora, kipa wao akidaka la kwanza na la pili basi la tatu lazima apishe au 'ajivunje' akapumzike nje. Wakati mwingine 'atawapunguza' mabeki mpaka utashangaa, huyu ni kijana wa mzee Nyerere huyuhuyu?! Kijana ana balaa! Baba yake angemuona, angefurahi sana.
Sio 'straika' pasi elekezi ameshapewa bado kuweka mpira kambani tu na bado anafeli. Anafeli wapi?! Amefeli au hajafeli, au hajasema kama amefaulu au amesahau au hajui! Akisema hajui itakuwa balaa maana atawavunja moyo mashabiki na wanachama wote, watasinzia wakiwa katikati ya mechi. Wakiambiwa "njoeni mtushangilie!" Wote watashangaa maana mchezo umekuwa wa saa ya ukutani yenye mishale iso-namba! Mshale ukisimama ni sawasawa na ukitembea! Mahali penye sita hakuna kitu na penye tisa pia hakuna chochote! Mchezo usio na faida au mchezo wa kutwanga maji 'kinuni'. Si ndioo?!
View attachment 2699399
Picha: mtandao
Labda nikuulize swali rafiki yangu mzuri, ni nani atakayegawa milioni 20 na asitarajie kuwa pesa hizo zitampatia manufaa?! Hakuna! Hata mapedeshee wakiwa baa watagawa pesa kwa wasanii ili watajwe wapate umashuhuri, yaani nitaje kwanza ndio ninyanyuke nikutuze. Wanasiasa watasogea na kamera nyingi wakati wa kutatua matatizo hata ya mwizi wa kuku tu, lakini wanajua wataongeza heshima yao kisiasa na kijamii. Kila mtu anafikiria faida wakati wa kufanya chochote! Naam, faida kwanza mambo mengine baadae.
Sisi sote, waanzilishi na washiriki wa 'stories of change' ni wananchi, wananchi wa kawaida kabisa. Waanzilishi ni kama kocha wa timu ya mpira wa miguu na washiriki ni mfano wa wachezaji 10 waliopo uwanjani isipokuwa 'straika' tu. Wote hawa umahiri wa kazi watakayofanya utapimwa na uhodari wa 'straika' wao kwenye kumalizia Majukumu anayopewa na kocha na wachezaji wenzake kwenye timu. 'Straika' ndiye mshindi hasa ambaye anaweza kutafsiri kazi ngumu za timu nzima kuwa matunda chanya na matamu! Hiyo ndiyo dhamana yake!
'Straika' wetu anafunga?!
Na kwasababu timu yetu ina mashabiki wengi basi kama angefunga goli hata la mkono na krosi zote alizopewa basi tungesikia makelele tu, watu mpira wanaupenda sana! Watu furaha ni kipaumbele chao, nani anapenda dhiki?!
Na kama hajafunga wakati huu, walau angefanya mahojiano na waandishi wa habari atueleze mipango yake kuhusu timu yetu au tuwahi kumchukua Kylian Mbappe kabla Real madrid hawajamnyakua.
Kocha wa timu yetu sio Pep Guardiola lakini mipango anaijua! Kila mkakati uliopangwa uko sawa na wachezaji wengine wote wako tayari kuufanyia kazi na wamefanya kazi kwa miaka miwili kwa moyo, mfungaji wetu walau atuambie maandalizi yake ya kuisaidia timu yetu yamefikia wapi. Watu wamechachamaa huko nje, watu wanataka ushindi. Msimu wa tatu huu makombe hatuyaoni! We 'straika' wewe!
View attachment 2699401
Pep Guardiola (picha mtandao)
Furaha ya timu yetu kila mmoja inamhusu, kuanzia mashabiki mpaka wanachama, na ndio maana wawekezaji wameweka takribani milioni 20 japo na wao hofu yao ni 'straika'. Mashabiki na wanachama wamejiandikisha vya kutosha kuisapoti timu yao na mwaka huu wanasema lazima watembee kifua mbele! Lakini na wao pia hofu yao ni nani atatupatia goli la ushindi?! Maana straika wetu ni kama ana kigugumizi miguuni! Wakati mwingine hata umpe penati nne kwenye mechi moja zote atapaisha!! Ilimradi tu atuue na presha!
Mshindi wa andiko lenye tija ni kama kiungo namba sita, kazi yake ngumu na nzuri ni lazima ikamilishwe vema na 'straika' mahiri. Mshindi yeyote wa andiko anayepatikana ni kama Khalid Aucho tu, kazi yake ngumu ni lazima ikamilishwe vizuri na Fiston Mayele.
View attachment 2699402
Fiston Mayele (picha-mtandao)
Shughuli-punda ya Muzamiru Yassin yafaa nini kama Jean Baleke hafungi?! Serikali ndiye hasa mshindi na 'straika' anayepangwa na mkamilishaji wa kazi ngumu na nzuri za vijana hawa, na hii ndio maana hai ya kuanzishwa kwa shindano hili.
View attachment 2699405
Jean Baleke (picha-mtandao)
Hivi 'straika' unajua kama kwenye mechi mbili za mwisho pasi umepewa nyingi? funga hata goli moja sasa! Pasi za chini umepewa za kutosha, krosi za kutosha, penati tulipata pia halafu ukapaisha sijui?! Mimi sijui na sina uhakika! Mpira wa kusikiliza kwenye redio si unaujua?! Au kama umefunga hata bao moja useme maana huku pia mtandao shida. Ukisikiliza redio mara usikie mara usisikie, ilimradi taabu tu. Na hata watu waliosikiliza kipindi cha michezo karibuni hakuna aliyesema kwamba straika wetu ana takwimu zozote. Eti wanasema hauna hata goli la kusingiziwa. Njoo uwaambie kama umefunga au utaanza kufunga mwaka huu.
Na pasi zote utakazopewa safari hii usizifanyie mzaha. Usifanye pasi ziwe sawasawa na hakuna, zikapatwa na vumbi kama mafaili ya miaka ya 2000 yaliyopo kwenye masijara za ofisi za umma. Hata kwa taabu na nafasi ndogo ndani ya boksi jitahidi uzifanyie kazi! Straika jikunje ufanye mambo!
Msimu huu ufanye kweli tuchukue kombe kabla ligi haijaisha! Kila la heri 'straika'.
NoKimya kizito hiki
Tunakusubirii mkuu maana tunajifunza kupitia wewe