Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo vizuri yule mwamba maana simulizi aliyoleta humu sio hiyo tuBasi OMUGHAKA akiwa anatagiwa hivi anavimba....
[emoji23][emoji23][emoji23]Mpaka sasa bado sijamuona kiranja wa wakosoaji akija kukosoa hiki kisa, au amekula Ban? Chizi Maarifa
Nimesema uongo jamaa Ka stop kule Facebook na ww huku umeishia hapo hapoAcha ujuaji na usela mavi dogo.
Ana copy FacebookKweli bhana nakubaliana na mwamba aliye sema jamaa hii story ana copy na kupaste...
Mbona kimya sana [emoji16]
Why usifikiri yeye ndo anasimulia huko facebook why mnapenda kuponda wenzenuAna copy Facebook
Nakazia.Nimeanza kupata hisia ya kwamba, mleta uzi anacopy hii story mahali fulani maybe kwenye platforms ambazo wengi humu hatumo. Sasa kule anakoiba hakuna mwendelezo bado ndio maana anashindwa kuendelea so tumvumulie jamani akiupata mwendelezo ataupaste tu.
Siyo yy na mwandishi kasema hatumii Jf sijaponda ila nimewapa taarifa ikiendelea kule mm huyu huyu nitaipost hapaWhy usifikiri yeye ndo anasimulia huko facebook why mnapenda kuponda wenzenu
Siyo yy na mwandishi kasema hatumii Jf sijaponda ila nimewapa taarifa ikiendelea kule mm huyu huyu nitaipost hapa
Siyo yy na mwandishi kasema hatumii Jf sijaponda ila nimewapa taarifa ikiendelea kule mm huyu huyu nitaipost hapa
Basi tuletee, ila hata yeye sidhann km kasema ni s tori inamhusu yeyeSiyo yy na mwandishi kasema hatumii Jf sijaponda ila nimewapa taarifa ikiendelea kule mm huyu huyu nitaipost hapa
Nadhani alishasema.Basi tuletee, ila hata yeye sidhann km kasema ni s tori inamhusu yeye
Wasukuma na akili wapi na wapi umewahi ona au sikiaHuyu ni mjinga mjinga alivyoanza tukambia hamalizi akawa anajifanya yeye tofauaat me nadhan mods wangeanzisha utaratibu mtu akianza story asinalize apigwe block maisha
Ikiendelea huku ntaletaBasi tuletee, ila hata yeye sidhann km kasema ni s tori inamhusu yeye