Mnyama Q
JF-Expert Member
- Jun 15, 2019
- 453
- 510
Weka kitu kakaTunajaribu tunajaribu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka kitu kakaTunajaribu tunajaribu!
Leta vitu weekend ndo imeanza.Tunajaribu tunajaribu!
Nashusha usiku wa leo, ila mida ya wanga.mitambo ipo sawa mkuu,we shusha vitu bwana...
Yes! Nipo kaunta hapa nahudumiwa na mdada anafanana na Vumilia.Leta vitu weekend ndo imeanza.
Tunasubiria.Yes! Nipo kaunta hapa nahudumiwa na mdada anafanana na Vumilia.
Nashusha kitu cha bariiiidi! Kooni. Napanga mafile ya kuyaweka hapa mida ya wanga.
mida ya wanga kivipi tena mkuu, naona unataka kututisha na vimbwanga vya vumilia..Nashusha usiku wa leo, ila mida ya wanga.
aaa wapi, huyo maid hana uzuri wowote ni vile tu umeshawaka tayari,basi hata tope unaliona dhahabu...Yes! Nipo kaunta hapa nahudumiwa na mdada anafanana na Vumilia.
Nashusha kitu cha bariiiidi! Kooni. Napanga mafile ya kuyaweka hapa mida ya wanga.
Kaka Sabato ushaingia ujue😅Yes! Nipo kaunta hapa nahudumiwa na mdada anafanana na Vumilia.
Nashusha kitu cha bariiiidi! Kooni. Napanga mafile ya kuyaweka hapa mida ya wanga.
...mida ya wanga kwani huwa ni saa ngapi?Kimya[emoji22]
Midnight...mida ya wanga kwani huwa ni saa ngapi?
[emoji1][emoji1][emoji1]Kwahiyo unatusubirisha sana hivyo sisi siyo magunia mkuu tuheshimiane lakini.
[emoji35][emoji35][emoji35]
toa ushahidi bwana uache kutufikirisha tu..