mkushi wa kushi
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 657
- 993
Ila we jamaa[emoji848][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787]
Basi tuwajumuishe muwe pamoja naoUkisoma vyema kuhusu tafsiri ya neno Hili ugaidi utagundua Russia,us, NATO na hata Rwanda Ni mataifa ya kigaidi.
Ni ajabu kwamba uislamu kwa miaka hasa ya baada ya Vita baridi umenasibishwa na ugaidi.
Ni jambo la kustaajabisha kwa kweli. Anakataa kabisa eti hakuna ugaidi. Hakuna sehemu ugaidi unasambaa bila masheikh, maimam na wanazuoni wenye misimamo mikali. Wao ndo wanatumia dini kuwajaza ujinga vijana na kuwasapoti na hii nguvu ya kufanya matukio ya kigaidi.Mzee saidi, sifahamu kuwa kwa kuishi kwake kwingi hafahamu hii habari.
Mzee kwa kuishi kwake kwingi ilibidi ashiriki kati kuzuia hii jamii kufundisha mambo ya Jihadi za kidini
Badala yake angetunia kalamu yake kujenga kizazi chenye ustaarabu kuendana na ustaarabu wa dunia wa karne hii.
Kitendo cha mwislamu kufumbia macho haya matendo na kujificha kwenye baadhi ya waislamu kuonewa ni kuunga mkono hayo matendo.
Wewe ndiye muislamu sasa!akili uliotumia kuandika ni ya kiislam kabisaa!Nchi hii wanaoleta matatizo ni wakristo. Walianza kwa kuivamia Zanzibar na kuuwa maelfu ya watu chini ya kinara wao Laanatullahi Nyerere.
Na mpaka leo vita wanaiendeleza kwa kulazimisha kuweka kibaraka wao kila uchaguzi unapofika .
Hivi vita dhidi ya uislamu haviwezi kuisha kwani wakristo wanalazimisha waislamu waingie kwenye dini yao kwa kutumia mbinu badala ya hoja , kwani hawana .
Asante sana kwa video yako ambayo ilitoka wakati wa Ugaidi wa MKIRU.Hawa mabwana walishatufikisha hapa [emoji1484]
Bila Mwendazake kusimama kidete na kuwashughulikia, leo hii tungekuwa na hali mbaya sana aisee.
Magaidi wenzao.Basi tuwajumuishe muwe pamoja nao
Haha๐น๐น๐น๐นWewe ndiye muislamu sasa!akili uliotumia kuandika ni ya kiislam kabisaa!
Mzee anapeta hiyo๐anajifanya hajui. Uzuri wanajua sana wanachokifanya. Wakiwa in public ndo wanadownplay what they are doing.Asante sana kwa video yako ambayo ilitoka wakati wa Ugaidi wa MKIRU.
Mimi niliiona wakati huo wakati hao vijana wanafanya mauaji ya Kijihadi MKIRU na Tanga.
Naona wakati huo Mzee wetu alikuwa nje ya nchi.
Kama huyu anayejiita Gavana, anaongea kigaidi gaidi tu.Mzee anapeta hiyo[emoji23]anajifanya hajui. Uzuri wanajua sana wanachokifanya. Wakiwa in public ndo wanadownplay what they are doing.
Wakifikaga hapo wanajitoa ufahamu kabisa.Mzee anapeta hiyo[emoji23]anajifanya hajui. Uzuri wanajua sana wanachokifanya. Wakiwa in public ndo wanadownplay what they are doing.
Maana yake ni kwamba."Sheikh Chambuso alikuwa anazugumza na ule mkusanyiko kwa Kiarabu"
Sijaelewa hapo juu
Mkuu hao jamaa aya za kitabu chao ndio tatizo,kuna aya zinaruhusu kufanya uhalifu na uhalifu huo huwa kwao ni haki.Tanzania ipo misikiti inayohubiri hayo mambo tena bila kificho ajabu kuna upofu au makusudi fulani hivi ya kujifanya hayaonekani.Labda uzungumze kuhusu tanzania.
Duniani na Afrika kwa ujumla kote huko baadhi ya waislamu wanakamatwa kwa tuhuma za ugaidi wa kidini.
Unasikia kinacho endelea Nigeria Somalia, Kenya, Msumbiji nk.
Hivi kwa mawazo yako huko kote Waislamu wanaonewa kwa chuki za kidini ?
Abdalah Shakeu kule Nigeria mwislamu anatangaza hadharani kuwa yeye ni kiongozi wa Magaidi wa Boko Haram.
Moja ya tukio alilolifanya ni kuwateka wasichana wa secondari.
Naye anaonewa ?
Alshababu wa Somalia ni Waislamu wenyewe wanasema hivyo nao wanaonewa ?
Muhamedi ghailan mtanzania mwislamu Mahakama za Marekani zilithibitisha kuwa ni Gaidi na kuhusika kuulipua ubarozi wa Marekani naye alionewa ?
Tukio la Garisa Kenya Watanzania Waislamu walikamatwa live wakiwaua wanachuo kwa maslahi ya Al-Shababu nao walionewa ?
Au wanatakiwa wakamatwe nje ya nchi ndio watakuwa wanatendewa haki ?
Nani alikuwa anamjua Hamza Muhammedi (mwislamu) pamoja na upole wake na kuwa mwanachama wa CCM kuwa alikuwa na mafunzo ya Ugaidi hadi alipo amua kuua Polisi hadharani.
Matendo ya kigaidi ya Kibiti, Kilwa, Mkuranga Amboni Tanga, yote yalitokea kwanye Jamii ya Kiislamu. Magaidi wa kiislamu walijificha huko kwa mgongo wa Uislamu.
Ukweli ni kwamba hayo makundi ya kigaidi ya kiislamu yanawafuasi wake hapa Tanzania ambao ni waislamu.
Mwezi wa 10 mwaka 2022, Polisi huko Zanzibar ilitoa onyo la Vijana wa kizanzibari kuto kushawishiwa na vikundi vya kigaidi kwenda kuchukua mafunzo ya ugaidi baada ya vyanzo vya upeleleze kubaini ushawishi huo.
{Waislamu tengenezeni kizazi kinacho tambua kuwa watu wote wana haki sawa ya kuishi hapa duniani. Kama kuna madai ya kisiasa ziko njia sahihi za kudai ama kwa kutumia wawakilishi kama wabunge au kujiunga na vyama hivyo.
Hadi sasa mimi sioni umuhimu wa kauli za kujiandaa na vita vya Jihadi kunakofunshwa na baadhi ya Mashehe wa Kiislamu.
Jihadi dhidi ya nani ?
Hizi kauli za Waislamu kuonewa bila kitoa uonevu wenyewe ni moja ya vyanzo vya vita vya kulinda jamii flani ya kidini isionewe na ndio Ugaidi wenyewe}
Somesheni kizazi chenu kijikwamue na Ujinga wa kufikiria JIHADI katika hii dunia ya sayansi na technolojia.
Hakuna upofu au makusudi.Mkuu hao jamaa aya za kitabu chao ndio tatizo,kuna aya zinaruhusu kufanya uhalifu na uhalifu huo huwa kwao ni haki.Tanzania ipo misikiti inayohubiri hayo mambo tena bila kificho ajabu kuna upofu au makusudi fulani hivi ya kujifanya hayaonekani.
Akili uliyoandika wewe ni ya kipagani kabisaWewe ndiye muislamu sasa!akili uliotumia kuandika ni ya kiislam kabisaa!
Bora mpagani ana akili yenye uungu ndani yake kwa asili.Akili uliyoandika wewe ni ya kipagani kabisa
Baadae...Mzee wangu Tutasugua sana kuwaelimisha watu waliomezeshwa sumu ya chuki za kidini alafu wkawa hawajuhi kama wao ni wadini. Ila Tamaa tusikate They have to know how Islaam is so beautiful regardless wanauchafuaje. Ukweli ni kuwa kauli ya waswahili ya: "๐๐๐ฃ๐๐๐ฃ๐๐ฏ๐ ๐ช๐ฌ๐ค๐ฃ๐๐ค, ๐ ๐๐จ๐๐ ๐ช๐ฉ๐๐ฃ๐๐๐ฏ๐ ๐ฉ๐๐ฃ๐๐๐ฏ๐, ๐๐๐ฉ๐๐ข๐๐ฎ๐ ๐ช๐ฌ๐ค๐ฃ๐๐ค ๐๐ช๐ค ๐ช๐ฉ๐๐๐๐ช๐ ๐ ๐ฃ๐ ๐ ๐ช๐ฌ๐ ๐ช๐ ๐ฌ๐๐ก๐ ๐ฃ๐ ๐ฌ๐๐ฉ๐ช ๐ฌ๐๐ฉ๐๐ช๐ ๐ช๐๐๐ง๐" hii inafanya kazi katika vichwa vingi vya jamaa hawa, na ni kwa mbinu hii tu waafrika waliaminishwa na Nyerere kuhusu uovu wa Amin Idd wa Uganda. Hivyo Mzee Said Mohamed, naamini bado utaendelea kutufunza bila kujali wanaelewa au wanapinga tu bila kusoma.
Zingatia maneno ya ๐ฃ๐ฟ๐ผ๐ณ. ๐๐น๐ฑ๐ผ๐๐ ๐๐๐ ๐น๐ฒ๐ hapo chini kwenye ichaView attachment 2464096
Baadae...
Hilo nalijua sana.
Nimeandika kitabu cha Abdul Sykes nikaeleza kuwa historia ya TANU ambayo kwa miaka mingi ilikuwa inasomeshwa si historia ya kweli.
Pakawa na mjadala mkali hapa JF.
Leo ukweli umedhihirika na nimepewa nafasi na fursa ya kusomesha historia ya kweli.
Vyombo vya serikali TBC, Habari Leo panoja na vyombo binafsi vinanihoji kutaka kujua historia ya wazalendo ambao walifutwa katika historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika.
Wanakuja nyumbani kwangu kunihoji niwape historia ya kweli.
Watu leo wanataka kusoma historia ya Kleist Sykes na wanae.
Watu wanataka kujua historia ya wanawake wapigania uhuru akina Titi Mohamed, Zarula bint Abdulrahman, Nyange bint Chande, Halima Selengia na Halima Khamis, Tatu bint Mzee na Sharifa bint Mzee, Amina Kinabo kwa kuwataja wachache
Ukweli umedhihiri na uongo umetoweka.
Haki daima itakuwa juu ya batil.
Baadae...
Hilo nalijua sana.
Nimeandika kitabu cha Abdul Sykes nikaeleza kuwa historia ya TANU ambayo kwa miaka mingi ilikuwa inasomeshwa si historia ya kweli.
Pakawa na mjadala mkali hapa JF.
Leo ukweli umedhihirika na nimepewa nafasi na fursa ya kusomesha historia ya kweli.
Vyombo vya serikali TBC, Habari Leo panoja na vyombo binafsi vinanihoji kutaka kujua historia ya wazalendo ambao walifutwa katika historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika.
Wanakuja nyumbani kwangu kunihoji niwape historia ya kweli.
Watu leo wanataka kusoma historia ya Kleist Sykes na wanae.
Watu wanataka kujua historia ya wanawake wapigania uhuru akina Titi Mohamed, Zarula bint Abdulrahman, Nyange bint Chande, Halima Selengia na Halima Khamis, Tatu bint Mzee na Sharifa bint Mzee, Amina Kinabo kwa kuwataja wachache
Ukweli umedhihiri na uongo umetoweka.
Haki daima itakuwa juu ya batil.