Kisa cha ''magaidi'' wawili: Sheikh Ramadhani Rajab Chambuso na Sheikh Ahmada Kidege

Kisa cha ''magaidi'' wawili: Sheikh Ramadhani Rajab Chambuso na Sheikh Ahmada Kidege

Nelson...
Chukua muda kidogo kutaka kujua nini nimeandika na kwa nini.

Ungefanya hivyo tungenifahamiana vizuri na usingeandika hayo uliyoandika hapo juu:

PUBLICATIONS/RESEARCH PAPERS/ARTICLES

The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.

The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi, 2006

Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.

Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.

Uamuzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.

Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No. 1, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam.

Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No.2, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam

Dar es Salaam na Wazalendo Wake Mashujaa Katika Kupigani Uhuru wa Tanganyika Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaaam

Watu Mashuhuri Katika Kuulingania Uislam Tanzania, Sheikh Ilunga, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam

Dola, Kanisa na Tatizo la Udini Tanzania, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam

The School Trip to Zanzibar, Africa Proper Education Network 2020, Dar es Salaam

Rajabu Ibrahim Kirama, Jemadari wa Vita Kuwa Jemadari wa Uislam, Readit, 2020, Dar es Salaam

In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London).

Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).

Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)

The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).

Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).

The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).

Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).

Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).

Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11th April 2004).

Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10th February 2006).

Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21st Century 1st - 3rd August 2006, Kenyatta University, Nairobi.

Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg.

Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.

Awards: Several Awards

Visiting Scholar: (2011)

University of Iowa, Iowa City, USA

Northwestern University, Chicago, Illinois, USA

Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.

OTHER COUNTRIES VISITED

Zambia, Ethiopia, Great Britain, Swaziland, Msumbiji, Zimbabwe, Zambia, Sudan, Egypt, Saudi Arabia, United Arab Emirates, Oman, Yemen, Uganda, Switzerland, Iran, France, Netherlands, Turkey and Abu Dhabi.
Nitavipitia vyote vitabu na nakala nivisome mzee wangu
 
Asome dini gani na Mungu Hana dini
Asome dini gani na Mungu Hana dini
Nyanza...
Umemjibu Abu Dharr kuwa mimi nisome dini gani.

Nimecheka.

Nimesikitishwa sana na lugha ya ndugu yangu Abu Dharr ya kibri na kejeli.

Mimi si mtu wa hayo.

Nasaha zake labda zingekuwa na maana kama ningekuwa nina elimu ya dini na kuwa na uwezo wa kuisomesha.

Bahati mbaya mimi ujuzi alionijaalia Allah uko katika usomi wa kisekula kama mnavyonisoma hapa.

Ama kwa kuwaita nduguze "genge" mimi namnasihi yeye ajizuie kuhukumu.

Hawa vijana nimeishinao Tanga kwa miaka 15 na hata siku moja sikuwasikia kama ni maadui wa taasisi yeyote iwe Shamsiyya, Maawa au Zaharau au wanasemwa kwa ubaya.

Nimewajua hawa vijana kwa sifa ya kusomesha Qur'an watoto wadogo na mengine mengi ya kheri.
 
Makanisani na misikitini na masinagogi watu wafundishwe kuwapenda binadamu wenzao bila kujali tofauti zao.

Ni kujidanganya kwamba Eti itatokea watu imani fulani wataangamizwa kisha wabaki wa imani nyingine pekeyao.
Lakini lazima tumtetee yesu mkuu,, yesu alisema injili lazima ienee kona zote za dunia🤷‍♂️
 
Atakuwa anakaribia 70 years, write-off. Labda afanye kazi za masjid tu maana amekuwa indoctrinated na radical islamism doctrine
Huihui...
Kipi kibaya nilichofanya kinakufanya utokwe na adabu kwangu?

Mwezi February In Shaa Allah nitafikisha miaka 71.

Nakuasa kijana chunga ulimi wako hilo neno, "write off," ni kufru kwa Muumba linaweza likarejea kwako Allah akunusuru.

Kuwa na adabu.

Huenda nina umri sawa na mama yako au baba yako.
 
Mími nakuelewa mzee wangu ila mapungufu yako ni kuwapakaza ?mabaya watu wasio na nasaba ya kiisilamu katika makala zako za uhuru wa tanganyika na mapinduzi matukufu ya zanzibar na pili umebobea upande wa dini za kiarabu na kizungu na hujui chochote kuhusu ubantu wetu sisi waafrika kabla ya kuja wageni na walowezi!!!!Ndio hapo tu naona mapungufu yako mzee wangu
Nelson...
Sijawahi kumwandika mtu yeyote kwa ubaya ikiwa una ushahidi wa hilo uweke hapa.
 
Nelson...
Sijawahi kumwandika mtu yeyote kwa ubaya ikiwa una ushahidi wa hilo uweke hapa.
Aaaah mzee wangu msimamo wako kwa watu wa msalaba unajulikana na hapo tu ndipo yalipo madhaifu yako anyway sisi ni binadamu hakuna aliyekamilika!!Lakini nje ya hapo wewe ni muandishi bora kabisa na vijana tuna mengi ya kujifunza kutoka kwako hasa kwenye fani hii
 
Huihui...
Kipi kibaya nilichofanya kinakufanya utokwe na adabu kwangu?

Mwezi February In Shaa Allah nitafikisha miaka 71.

Nakuasa kijana chunga ulimi wako hilo neno, "write off," ni kufru kwa Muumba linaweza likarejea kwako Allah akunusuru.

Kuwa na adabu.

Huenda nina umri sawa na mama yako au baba yako.
Msamehe tu huyo kijana mzee wangu
 
Huihui...
Kipi kibaya nilichofanya kinakufanya utokwe na adabu kwangu?

Mwezi February In Shaa Allah nitafikisha miaka 71.

Nakuasa kijana chunga ulimi wako hilo neno, "write off," ni kufru kwa Muumba linaweza likarejea kwako Allah akunusuru.

Kuwa na adabu.

Huenda nina umri sawa na mama yako au baba yako.
Unachukia sana Wakristu, ungekuwa na uwezo ungefanya Tanzania waishi Waisalamu tu. Hiyo ndiyo sababu nakuona write off
 
Unachukia sana Wakristu, ungekuwa na uwezo ungefanya Tanzania waishi Waisalamu tu. Hiyo ndiyo sababu nakuona write off
Huihui...
Siwezi kuwa hivyo.

Kuandika historia ya kweli kusahihisha ile iliyopachikwa sikufanya hivyo kwa kusukumwa na chuki.

Kisome kitabu na tafuta ndani yake chuki ukiikuta weka hapa tuishuhudie.
 
Uislamu ni amani huu uongo unadhihirisha kabisa uwepo wa shetani!
 
Dini yenye vijinasaba vya vurugu haina nafasi Tanzania unataka kutuambia serikali inawaonea hao magaidi wako
 
Hakunaga cha bure Kuna mtu wanamtumikia
Yomboo,
Sheikh Chambuso aliulizwa swali hili alipokuwa anahojiwa.

Akajibu kuwa anamtumikia Allah na huyo ndiye mlipaji wake.

Akawaambia kuwa kama yeye angekuwa analipwa na mtu wao polisi waliomkamata wangemjua huyo mlipaji na wangemkamata.
 
Sheikh Mohammad Said
Dola inaletwa na Allah na si vinginevyo
Niseme jambo
Hakuna kheri katika Umma,ikiwa Ujinga ndio alama yao
Hakuna Dola itakayosimama imara ikiwa Watu wapo mbali na misingi mama mfano wa Yale walioshikamana na Maswahaba رضي الله عنهم
Wengi wa Masheikh zetu wamekumbatia Ushirikina,Uzushi,Ujinga na Maslah ya nafsi zao

Ni wachache sana katika wachache
Tumuogope sana Allah kwa kila tulifanyalo
nakuheshimu sana kwa kuwa na huu mtazamo kiongozi.
Wewe unaweza fundisha dini kwa mtu asiekua wa dini yako na mkaelewana na hata aka silimu bila vitisho wala ghasia. Epuka hisia kwenye mijadala migumu,badala yake chambua facts na hoja tu.
Nimekuwepo "field" baada ya hizi ishu and trust you me,kuna mengi sana ambayo watetezi wa "wanaharakati" hawayajui!
 
Back
Top Bottom