Kisa cha Malaika JIBRIL. Nimesoma hadi nikapigwa na kibaridi flani

Waislam YANI ISRAEL NYIE MMEMKOPI NA KUMUITA ISRAEL MTOA ROHO [emoji3] MUHAMADI ALAANIWE AISE HII DINI ALIWAINGIZA WATU CHAKA

YANI BABA YETU ISRAEL MNAMUITA ISRAEL MTOA ROHO - KWELI KURANI INAKOPI VITU KUTOKA BIBLIA KITABU CHA MCHONGO HICHO

Uislamu ni dini ya kutunga ilioanzishwa kwa kusudi la kupambana na uyahudi na ukristo,kimsingi ndio dini ya shetani mwenyewe,sunajua shetani mzee wa kukopi ukweli na uongo wake anaingiza humo humo.
 
Achana na hadithi za kitaahira.

Mungu hayupo.
 
ndugu Jibril na Israel ni malaika wawili tofauti,Jibril kazi yake ni kuleta wahy kwa mtume Muhammad S.A.W huyo Israel yeye kazi ni moya kutoa roho zetu
Jibril=malaika Gabriel, huyu ni mpeleka habari.

Israel= maana yake mtu aliyeshinda, mshindi.
 
Jibril=malaika Gabriel, huyu ni mpeleka habari.

Israel= maana yake mtu aliyeshinda, mshindi.
Nimecheka sana kuona kuna malaika mtoa roho Israel. Hili ni bifu kati ya muisrael na mpalestina
 
Hiv Roho kumbe inaweza kulia na kucheka. Mi nilifikiri Roho huwa inafurah na kuhuzunika kinachocheka na kulia ni mwili. Duuh ngoja niachie hapo maana hiz dini nyingine ni mzigo.
 
Hizi ni stories za watu tu, huyo Allah hayupo, huyo malaika hayupo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…