lingamba lidodi
JF-Expert Member
- Nov 15, 2018
- 964
- 1,137
Hoja zako ni mwendelezo wa kuipaisha act.Chanzo changu kinaonyesha alikuwa mfalme, ila hebu tuache kubishania rangi ya paka, tujadili uwezo wa paka kukamata panya.... Je unaona jitihada zozote za Chadema katika kuipambania nafasi yao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesoma andiko lako lote kisha nikajiuliza huyu mleta mada ni mwana CDM ama siyo. Mada imejaa lawama tu, na tahadhari bila kuja na solution. CDM sasa ni taasisi imara sana, sasa ukianza kutishia nyau tunabaki tunakushangaa. Kama ni mwana ccm sawa lakini kama ni CDM njoo na mapendekezo nini cha kufanya na sio lawama. Kumbuka kuwa karibu viongozi wote wa chama wana kesi mahakamani, sasa unataka wafanye nini zaidi?MENE MENE TEKEL NA PERES, kiganja cha mkono kilionekana kikiandika maneno hayo ukutani. Hiyo ilikuwa ni siku ya karamu kubwa iliyoandaliwa na mfalme wa Babeli aliyeitwa Belshaza ambaye ni mjukuu wa Nebukadreza. Siku hiyo walialikwa wageni wa heshima nao wakala na kunywa wakitumia vikombe vya dhahabu na fedha na mabakuli yaliyochukuliwa katika hekalu la Yehova huko Yerusalemu, hili lilikuwa ni chukizo mbele ya Mungu ndipo katika hali ya kustaajabisha maneno yakaandikwa ukutani MENE MENE TEKEL NA PERES.
Ulikuwa ni ujumbe kutoka kwa Mungu kwenda kwa mfalme Belshaza ila nani atatafsiri maneno hayo? Waliletwa “wachawi” wenye akili lakini hakuna aliyekuwa na ujuzi wa kusoma maandishi yale ukutani. Baada ya tafakuri kubwa ndipo mama wa mfalme akapendekeza aitwe Daniel kwa maana yeye anaijua miungu mitakatifu hivyo ataliweza zoezi hili. Baada ya Daniel kuitwa alitafsiri maneno hayo ya Mungu.
Daniel alisema Yehova alimuondoa Nebukadreza babu ya Belshaza asiwe mfalme kwa kuwa alikuwa na kiburi sana, naye Yehova alimuadhibu Nebukadreza. Belshaza aliyajua yote yaliyompata babu yake ila naye anafuata njia ile ile ya babu yake, amechukua vikombe na mabakuli katika hekalu la Yehova na kuvinywea. Ndiyo sababu Mungu amepeleka mkono uandike maneno hayo MENE MENE TEKEL NA PERES yaani “Mungu amezihesabu siku za ufalme wako na kuzimaliza, umepimwa katika kipimo na kuonekana hufai kitu, ufalme wako wamepewa Wamedi na Waajemi.” Maneno hayo yalitimia siku hiyo hiyo na ufalme wa Belshaza ukafikia hatima yake kutokana na kiburi chake.(Daniel 5:1-31)
Naliona anguko la Chadema kama chama kikuu cha upinzani Tanzania. Ni anguko lililodhahiri kama yale maneno ukutani ila kama ilivyo kwa mfalme Belshaza ndivyo ilivyo kwa Mbowe, ameshindwa kuliona anguko hilo, MENE MENE TEKEL NA PERES. Zaidi ya mikutano na matamko yasiyo na tija sijaona jitihada za wazi za kimkakati za kuifanya Chadema iendelee kuwa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania. Ni kama vile viongozi wa Chadema wanadhani chama chao kina “devine right” hivyo kitaendelea kupendwa na Watanzania katika mazingira yoyote yale, hii si sawa.
Chadema ina wafuasi wengi ulikilinganisha na vyama vingine vya upinzani na kama mazingira ya kisiasa yangekuwa fair huenda kina wafuasi wengi kuliko CCM ila sioni hali hii ikiendelea kutokana na viongozi wa chama kutotaka kubadili mbinu kwa kuzingatia mabadiliko ya kisiasa yaliyotokea Tanzania kwa kipindi hiki cha miaka mitatu. Kwa sasa uwepo wa Chadema unategemea zaidi huruma ya Watanzania ila wakati umekaribia ambapo huruma haitokuwa kigezo bali kitaangaliwa chama chenye nia thabiti, mipango na mikakati yakinifu ya kukiondoa chama cha Mapinduzi. Je Chadema wamejiandaa kwa hili?
Chadema sio chama cha upinzani cha kwanza kuwa na nguvu Tanzania, ilikuwepo NCCR MAGEUZI pia ilikuwepo CUF ila kwa sasa vyama hivi havina mvuto machoni mwa Watanzania walio wengi kwa sababu havikuonyesha nia dhabiti ya kusiamamia kile walichokuwa wakikinena. CHADEMA inalijua hili ila inapuuza kama mfalme Belshaza alivyopuuza yaliyoupata ufalme wa babu yake hadi ufalme wake pia ukaanguka na ali hii itaipata pia CHADEMA ikiwa haitajitathmini na kuchuka hatua stahiki kwa ajili ya kujihakikishia uhai wake.
Ni ajabu sana kuona makamanda wa CHADEMA wanavyobeza nguvu ACT-WAZALENDO kwa Tanzania bara. Wanadhani haina nafasi, nadhani wamesahau hata wao hawakuwa na nafasi mwaka 2005 ila jitihada zao za wazi zimewafikisha hapo walipo leo na ndivyo itakavyokuwa kwa ACT-WAZALENDO. Ni wazi vijana taratibu wameanza kumuamini tena Zitto Kabwe na zile kauli kuwa ni msaliti zimeanza kupungua na wengi wameanza kumuona kama shujaa atakayewafikisha nchi ya ahadi, Mbowe umeliona hili?
Wazungu wanasema, “pride comes before a fall” huu ubezaji wanaoufanya akina Yeriko Nyerere hakika ni mwanzo wa anguko la CHADEMA kama lilivyotokea kwa ufalme wa Belshaza. Makamanda ni lazima waache ego na pride zisizo na tija na waitambue nguvu ya Zitto na ACT na kutazama namna gani watasonga mbele pamoja kwa manufaa ya upinzani wote vinginevyo watagawana kura 2020 na CCM itabaki kuwa kinara. Na endapo hili halitafanyika sioni CHADEMA ikiendelea kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya 2020.
Ni wakati wa CHADEMA kuyasoma maandishi ukutani, MENE MENE TEKEL NA PERES.
Mkuu hesabu zilikuwa hivyo kama unavyosema. Tatizo limetokana na Lowassadawa yenu,
..kwanini act, chadema, na cuf-maalim wasiungane na kuwa chama kimoja?
..Zitto ni mbunge pekee wa chama chake.
..Maalim Seif na wenzake wameporwa chama chao, kwa maana hiyo hawakuwa na chama.
..Chadema ndiyo wenye wabunge wengi na wamesambaa maeneo mengi kuzidi chama chochote cha upinzani.
..Sasa kwanini Zitto, na Maalim hawakujiunga na Chadema na kuunda chama chenye nguvu kubwa zaidi, badala yake ni kama wameamua kuanza upya na wanataka kuifufua Act?
..Act tayari kina usajili. Lakini practically ni chama kipya kutokana na ukweli kwamba kina mbunge mmoja tu.
..This was a GOLDEN OPPORTUNITY ya kuwa na chama kikubwa cha upinzani kitakachoi-challenge CCM na hawa ndugu zetu wameiacha nafasi hiyo ipite.
..Maalim Seif, Zitto Kabwe, na Freeman Mbowe, walitengenezewa mazingira, na sababu, za kuunda chama chenye nguvu, lakini hawakuona sababu ya kufanya hivyo.
Hata huyo Mungu anakushangaa kwa ulichoandika hapa na hakika watu wake mnakufa kwa kukosa maarifaHahahahaha namuona hapa nabii wa uwongo.Acha kutumia maandiko matakatifu kupotosha watu.Mungu hadhihakiwi aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeona hoja yako, ni kweli sikuweka solutions huo unaweza kuwa Ni udhaifu wa andiko langu lakini viongozi wa CDM wanapaswa kulisoma kwa fikra jadidi na sio hisia mlipuko kisha kutathmini Kama Lina mashiko na kisha kuja na majibu toshelezi.Nimesoma andiko lako lote kisha nikajiuliza huyu mleta mada ni mwana CDM ama siyo. Mada imejaa lawama tu, na tahadhari bila kuja na solution. CDM sasa ni taasisi imara sana, sasa ukianza kutishia nyau tunabaki tunakushangaa. Kama ni mwana ccm sawa lakini kama ni CDM njoo na mapendekezo nini cha kufanya na sio lawama. Kumbuka kuwa karibu viongozi wote wa chama wana kesi mahakamani, sasa unataka wafanye nini zaidi?
Unamaanisha Mungu yupi?Mungu Muumba mbingu na ulimwengu hachangamani na Giza.Hata huyo Mungu anakushangaa kwa ulichoandika hapa na hakika watu wake mnakufa kwa kukosa maarifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mpumbavu hasa huwezi kutolea mfano wa mfalme Belshazzar aliyemuudhi Mungu na CHADEMA inayofanyiwa hiyana na njama na Magufuli ili ianguke, kwanza Chadema haina Ufalme wa dola Kama CCM ,mjinga kweli wewe, itakayoanguka ni CCM na Magufuli na si CHADEMA, Mungu akupe uhai ili uje ushuhudie anguko la CCM na Magufuli, maana Magufuli ni mfalme na amekuwa akimuudhi Mungu akisema aombewe wakati anaua wapinzani na kuwafunga Kwa chukiMENE MENE TEKEL NA PERES, kiganja cha mkono kilionekana kikiandika maneno hayo ukutani. Hiyo ilikuwa ni siku ya karamu kubwa iliyoandaliwa na mfalme wa Babeli aliyeitwa Belshaza ambaye ni mjukuu wa Nebukadreza. Siku hiyo walialikwa wageni wa heshima nao wakala na kunywa wakitumia vikombe vya dhahabu na fedha na mabakuli yaliyochukuliwa katika hekalu la Yehova huko Yerusalemu, hili lilikuwa ni chukizo mbele ya Mungu ndipo katika hali ya kustaajabisha maneno yakaandikwa ukutani MENE MENE TEKEL NA PERES.
Ulikuwa ni ujumbe kutoka kwa Mungu kwenda kwa mfalme Belshaza ila nani atatafsiri maneno hayo? Waliletwa “wachawi” wenye akili lakini hakuna aliyekuwa na ujuzi wa kusoma maandishi yale ukutani. Baada ya tafakuri kubwa ndipo mama wa mfalme akapendekeza aitwe Daniel kwa maana yeye anaijua miungu mitakatifu hivyo ataliweza zoezi hili. Baada ya Daniel kuitwa alitafsiri maneno hayo ya Mungu.
Daniel alisema Yehova alimuondoa Nebukadreza babu ya Belshaza asiwe mfalme kwa kuwa alikuwa na kiburi sana, naye Yehova alimuadhibu Nebukadreza. Belshaza aliyajua yote yaliyompata babu yake ila naye anafuata njia ile ile ya babu yake, amechukua vikombe na mabakuli katika hekalu la Yehova na kuvinywea. Ndiyo sababu Mungu amepeleka mkono uandike maneno hayo MENE MENE TEKEL NA PERES yaani “Mungu amezihesabu siku za ufalme wako na kuzimaliza, umepimwa katika kipimo na kuonekana hufai kitu, ufalme wako wamepewa Wamedi na Waajemi.” Maneno hayo yalitimia siku hiyo hiyo na ufalme wa Belshaza ukafikia hatima yake kutokana na kiburi chake.(Daniel 5:1-31)
Naliona anguko la Chadema kama chama kikuu cha upinzani Tanzania. Ni anguko lililodhahiri kama yale maneno ukutani ila kama ilivyo kwa mfalme Belshaza ndivyo ilivyo kwa Mbowe, ameshindwa kuliona anguko hilo, MENE MENE TEKEL NA PERES. Zaidi ya mikutano na matamko yasiyo na tija sijaona jitihada za wazi za kimkakati za kuifanya Chadema iendelee kuwa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania. Ni kama vile viongozi wa Chadema wanadhani chama chao kina “devine right” hivyo kitaendelea kupendwa na Watanzania katika mazingira yoyote yale, hii si sawa.
Chadema ina wafuasi wengi ulikilinganisha na vyama vingine vya upinzani na kama mazingira ya kisiasa yangekuwa fair huenda kina wafuasi wengi kuliko CCM ila sioni hali hii ikiendelea kutokana na viongozi wa chama kutotaka kubadili mbinu kwa kuzingatia mabadiliko ya kisiasa yaliyotokea Tanzania kwa kipindi hiki cha miaka mitatu. Kwa sasa uwepo wa Chadema unategemea zaidi huruma ya Watanzania ila wakati umekaribia ambapo huruma haitokuwa kigezo bali kitaangaliwa chama chenye nia thabiti, mipango na mikakati yakinifu ya kukiondoa chama cha Mapinduzi. Je Chadema wamejiandaa kwa hili?
Chadema sio chama cha upinzani cha kwanza kuwa na nguvu Tanzania, ilikuwepo NCCR MAGEUZI pia ilikuwepo CUF ila kwa sasa vyama hivi havina mvuto machoni mwa Watanzania walio wengi kwa sababu havikuonyesha nia dhabiti ya kusiamamia kile walichokuwa wakikinena. CHADEMA inalijua hili ila inapuuza kama mfalme Belshaza alivyopuuza yaliyoupata ufalme wa babu yake hadi ufalme wake pia ukaanguka na ali hii itaipata pia CHADEMA ikiwa haitajitathmini na kuchuka hatua stahiki kwa ajili ya kujihakikishia uhai wake.
Ni ajabu sana kuona makamanda wa CHADEMA wanavyobeza nguvu ACT-WAZALENDO kwa Tanzania bara. Wanadhani haina nafasi, nadhani wamesahau hata wao hawakuwa na nafasi mwaka 2005 ila jitihada zao za wazi zimewafikisha hapo walipo leo na ndivyo itakavyokuwa kwa ACT-WAZALENDO. Ni wazi vijana taratibu wameanza kumuamini tena Zitto Kabwe na zile kauli kuwa ni msaliti zimeanza kupungua na wengi wameanza kumuona kama shujaa atakayewafikisha nchi ya ahadi, Mbowe umeliona hili?
Wazungu wanasema, “pride comes before a fall” huu ubezaji wanaoufanya akina Yeriko Nyerere hakika ni mwanzo wa anguko la CHADEMA kama lilivyotokea kwa ufalme wa Belshaza. Makamanda ni lazima waache ego na pride zisizo na tija na waitambue nguvu ya Zitto na ACT na kutazama namna gani watasonga mbele pamoja kwa manufaa ya upinzani wote vinginevyo watagawana kura 2020 na CCM itabaki kuwa kinara. Na endapo hili halitafanyika sioni CHADEMA ikiendelea kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya 2020.
Ni wakati wa CHADEMA kuyasoma maandishi ukutani, MENE MENE TEKEL NA PERES.
Katika mfano wako wa kisa cha Belshaza ,Belshaza alimuuzi Mungu Kwa kiuka utaratibu jambo ambalo lilikuwa chukizo kwa Kwa MUNGU,... je Kwenye Siasa za Tanzania Ni Nani anae muuzi MUNGU Kwa kuvunja taratibu za kidunia (KATIBA na HAKI ZA BINADAMU .....NK) NA ni nani anae Muuzi MUNGU kwa kukiuka taratibu za kimbingu (HAKI NA UTU) je katika mfano wako umemtaja?, ama we wajua kuunga mkono juhudi za NDULI tu?MENE MENE TEKEL NA PERES, kiganja cha mkono kilionekana kikiandika maneno hayo ukutani. Hiyo ilikuwa ni siku ya karamu kubwa iliyoandaliwa na mfalme wa Babeli aliyeitwa Belshaza ambaye ni mjukuu wa Nebukadreza. Siku hiyo walialikwa wageni wa heshima nao wakala na kunywa wakitumia vikombe vya dhahabu na fedha na mabakuli yaliyochukuliwa katika hekalu la Yehova huko Yerusalemu, hili lilikuwa ni chukizo mbele ya Mungu ndipo katika hali ya kustaajabisha maneno yakaandikwa ukutani MENE MENE TEKEL NA PERES.
Ulikuwa ni ujumbe kutoka kwa Mungu kwenda kwa mfalme Belshaza ila nani atatafsiri maneno hayo? Waliletwa “wachawi” wenye akili lakini hakuna aliyekuwa na ujuzi wa kusoma maandishi yale ukutani. Baada ya tafakuri kubwa ndipo mama wa mfalme akapendekeza aitwe Daniel kwa maana yeye anaijua miungu mitakatifu hivyo ataliweza zoezi hili. Baada ya Daniel kuitwa alitafsiri maneno hayo ya Mungu.
Daniel alisema Yehova alimuondoa Nebukadreza babu ya Belshaza asiwe mfalme kwa kuwa alikuwa na kiburi sana, naye Yehova alimuadhibu Nebukadreza. Belshaza aliyajua yote yaliyompata babu yake ila naye anafuata njia ile ile ya babu yake, amechukua vikombe na mabakuli katika hekalu la Yehova na kuvinywea. Ndiyo sababu Mungu amepeleka mkono uandike maneno hayo MENE MENE TEKEL NA PERES yaani “Mungu amezihesabu siku za ufalme wako na kuzimaliza, umepimwa katika kipimo na kuonekana hufai kitu, ufalme wako wamepewa Wamedi na Waajemi.” Maneno hayo yalitimia siku hiyo hiyo na ufalme wa Belshaza ukafikia hatima yake kutokana na kiburi chake.(Daniel 5:1-31)
Naliona anguko la Chadema kama chama kikuu cha upinzani Tanzania. Ni anguko lililodhahiri kama yale maneno ukutani ila kama ilivyo kwa mfalme Belshaza ndivyo ilivyo kwa Mbowe, ameshindwa kuliona anguko hilo, MENE MENE TEKEL NA PERES. Zaidi ya mikutano na matamko yasiyo na tija sijaona jitihada za wazi za kimkakati za kuifanya Chadema iendelee kuwa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania. Ni kama vile viongozi wa Chadema wanadhani chama chao kina “devine right” hivyo kitaendelea kupendwa na Watanzania katika mazingira yoyote yale, hii si sawa.
Chadema ina wafuasi wengi ulikilinganisha na vyama vingine vya upinzani na kama mazingira ya kisiasa yangekuwa fair huenda kina wafuasi wengi kuliko CCM ila sioni hali hii ikiendelea kutokana na viongozi wa chama kutotaka kubadili mbinu kwa kuzingatia mabadiliko ya kisiasa yaliyotokea Tanzania kwa kipindi hiki cha miaka mitatu. Kwa sasa uwepo wa Chadema unategemea zaidi huruma ya Watanzania ila wakati umekaribia ambapo huruma haitokuwa kigezo bali kitaangaliwa chama chenye nia thabiti, mipango na mikakati yakinifu ya kukiondoa chama cha Mapinduzi. Je Chadema wamejiandaa kwa hili?
Chadema sio chama cha upinzani cha kwanza kuwa na nguvu Tanzania, ilikuwepo NCCR MAGEUZI pia ilikuwepo CUF ila kwa sasa vyama hivi havina mvuto machoni mwa Watanzania walio wengi kwa sababu havikuonyesha nia dhabiti ya kusiamamia kile walichokuwa wakikinena. CHADEMA inalijua hili ila inapuuza kama mfalme Belshaza alivyopuuza yaliyoupata ufalme wa babu yake hadi ufalme wake pia ukaanguka na ali hii itaipata pia CHADEMA ikiwa haitajitathmini na kuchuka hatua stahiki kwa ajili ya kujihakikishia uhai wake.
Ni ajabu sana kuona makamanda wa CHADEMA wanavyobeza nguvu ACT-WAZALENDO kwa Tanzania bara. Wanadhani haina nafasi, nadhani wamesahau hata wao hawakuwa na nafasi mwaka 2005 ila jitihada zao za wazi zimewafikisha hapo walipo leo na ndivyo itakavyokuwa kwa ACT-WAZALENDO. Ni wazi vijana taratibu wameanza kumuamini tena Zitto Kabwe na zile kauli kuwa ni msaliti zimeanza kupungua na wengi wameanza kumuona kama shujaa atakayewafikisha nchi ya ahadi, Mbowe umeliona hili?
Wazungu wanasema, “pride comes before a fall” huu ubezaji wanaoufanya akina Yeriko Nyerere hakika ni mwanzo wa anguko la CHADEMA kama lilivyotokea kwa ufalme wa Belshaza. Makamanda ni lazima waache ego na pride zisizo na tija na waitambue nguvu ya Zitto na ACT na kutazama namna gani watasonga mbele pamoja kwa manufaa ya upinzani wote vinginevyo watagawana kura 2020 na CCM itabaki kuwa kinara. Na endapo hili halitafanyika sioni CHADEMA ikiendelea kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya 2020.
Ni wakati wa CHADEMA kuyasoma maandishi ukutani, MENE MENE TEKEL NA PERES.
MENE MENE TEKEL NA PERES, kiganja cha mkono kilionekana kikiandika maneno hayo ukutani. Hiyo ilikuwa ni siku ya karamu kubwa iliyoandaliwa na mfalme wa Babeli aliyeitwa Belshaza ambaye ni mjukuu wa Nebukadreza. Siku hiyo walialikwa wageni wa heshima nao wakala na kunywa wakitumia vikombe vya dhahabu na fedha na mabakuli yaliyochukuliwa katika hekalu la Yehova huko Yerusalemu, hili lilikuwa ni chukizo mbele ya Mungu ndipo katika hali ya kustaajabisha maneno yakaandikwa ukutani MENE MENE TEKEL NA PERES.
Ulikuwa ni ujumbe kutoka kwa Mungu kwenda kwa mfalme Belshaza ila nani atatafsiri maneno hayo? Waliletwa “wachawi” wenye akili lakini hakuna aliyekuwa na ujuzi wa kusoma maandishi yale ukutani. Baada ya tafakuri kubwa ndipo mama wa mfalme akapendekeza aitwe Daniel kwa maana yeye anaijua miungu mitakatifu hivyo ataliweza zoezi hili. Baada ya Daniel kuitwa alitafsiri maneno hayo ya Mungu.
Daniel alisema Yehova alimuondoa Nebukadreza babu ya Belshaza asiwe mfalme kwa kuwa alikuwa na kiburi sana, naye Yehova alimuadhibu Nebukadreza. Belshaza aliyajua yote yaliyompata babu yake ila naye anafuata njia ile ile ya babu yake, amechukua vikombe na mabakuli katika hekalu la Yehova na kuvinywea. Ndiyo sababu Mungu amepeleka mkono uandike maneno hayo MENE MENE TEKEL NA PERES yaani “Mungu amezihesabu siku za ufalme wako na kuzimaliza, umepimwa katika kipimo na kuonekana hufai kitu, ufalme wako wamepewa Wamedi na Waajemi.” Maneno hayo yalitimia siku hiyo hiyo na ufalme wa Belshaza ukafikia hatima yake kutokana na kiburi chake.(Daniel 5:1-31)
Naliona anguko la Chadema kama chama kikuu cha upinzani Tanzania. Ni anguko lililodhahiri kama yale maneno ukutani ila kama ilivyo kwa mfalme Belshaza ndivyo ilivyo kwa Mbowe, ameshindwa kuliona anguko hilo, MENE MENE TEKEL NA PERES. Zaidi ya mikutano na matamko yasiyo na tija sijaona jitihada za wazi za kimkakati za kuifanya Chadema iendelee kuwa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania. Ni kama vile viongozi wa Chadema wanadhani chama chao kina “devine right” hivyo kitaendelea kupendwa na Watanzania katika mazingira yoyote yale, hii si sawa.
Chadema ina wafuasi wengi ulikilinganisha na vyama vingine vya upinzani na kama mazingira ya kisiasa yangekuwa fair huenda kina wafuasi wengi kuliko CCM ila sioni hali hii ikiendelea kutokana na viongozi wa chama kutotaka kubadili mbinu kwa kuzingatia mabadiliko ya kisiasa yaliyotokea Tanzania kwa kipindi hiki cha miaka mitatu. Kwa sasa uwepo wa Chadema unategemea zaidi huruma ya Watanzania ila wakati umekaribia ambapo huruma haitokuwa kigezo bali kitaangaliwa chama chenye nia thabiti, mipango na mikakati yakinifu ya kukiondoa chama cha Mapinduzi. Je Chadema wamejiandaa kwa hili?
Chadema sio chama cha upinzani cha kwanza kuwa na nguvu Tanzania, ilikuwepo NCCR MAGEUZI pia ilikuwepo CUF ila kwa sasa vyama hivi havina mvuto machoni mwa Watanzania walio wengi kwa sababu havikuonyesha nia dhabiti ya kusiamamia kile walichokuwa wakikinena. CHADEMA inalijua hili ila inapuuza kama mfalme Belshaza alivyopuuza yaliyoupata ufalme wa babu yake hadi ufalme wake pia ukaanguka na ali hii itaipata pia CHADEMA ikiwa haitajitathmini na kuchuka hatua stahiki kwa ajili ya kujihakikishia uhai wake.
Ni ajabu sana kuona makamanda wa CHADEMA wanavyobeza nguvu ACT-WAZALENDO kwa Tanzania bara. Wanadhani haina nafasi, nadhani wamesahau hata wao hawakuwa na nafasi mwaka 2005 ila jitihada zao za wazi zimewafikisha hapo walipo leo na ndivyo itakavyokuwa kwa ACT-WAZALENDO. Ni wazi vijana taratibu wameanza kumuamini tena Zitto Kabwe na zile kauli kuwa ni msaliti zimeanza kupungua na wengi wameanza kumuona kama shujaa atakayewafikisha nchi ya ahadi, Mbowe umeliona hili?
Wazungu wanasema, “pride comes before a fall” huu ubezaji wanaoufanya akina Yeriko Nyerere hakika ni mwanzo wa anguko la CHADEMA kama lilivyotokea kwa ufalme wa Belshaza. Makamanda ni lazima waache ego na pride zisizo na tija na waitambue nguvu ya Zitto na ACT na kutazama namna gani watasonga mbele pamoja kwa manufaa ya upinzani wote vinginevyo watagawana kura 2020 na CCM itabaki kuwa kinara. Na endapo hili halitafanyika sioni CHADEMA ikiendelea kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya 2020.
Ni wakati wa CHADEMA kuyasoma maandishi ukutani, MENE MENE TEKEL NA PERES.
MENE MENE TEKEL NA PERES, kiganja cha mkono kilionekana kikiandika maneno hayo ukutani. Hiyo ilikuwa ni siku ya karamu kubwa iliyoandaliwa na mfalme wa Babeli aliyeitwa Belshaza ambaye ni mjukuu wa Nebukadreza. Siku hiyo walialikwa wageni wa heshima nao wakala na kunywa wakitumia vikombe vya dhahabu na fedha na mabakuli yaliyochukuliwa katika hekalu la Yehova huko Yerusalemu, hili lilikuwa ni chukizo mbele ya Mungu ndipo katika hali ya kustaajabisha maneno yakaandikwa ukutani MENE MENE TEKEL NA PERES.
Ulikuwa ni ujumbe kutoka kwa Mungu kwenda kwa mfalme Belshaza ila nani atatafsiri maneno hayo? Waliletwa “wachawi” wenye akili lakini hakuna aliyekuwa na ujuzi wa kusoma maandishi yale ukutani. Baada ya tafakuri kubwa ndipo mama wa mfalme akapendekeza aitwe Daniel kwa maana yeye anaijua miungu mitakatifu hivyo ataliweza zoezi hili. Baada ya Daniel kuitwa alitafsiri maneno hayo ya Mungu.
Daniel alisema Yehova alimuondoa Nebukadreza babu ya Belshaza asiwe mfalme kwa kuwa alikuwa na kiburi sana, naye Yehova alimuadhibu Nebukadreza. Belshaza aliyajua yote yaliyompata babu yake ila naye anafuata njia ile ile ya babu yake, amechukua vikombe na mabakuli katika hekalu la Yehova na kuvinywea. Ndiyo sababu Mungu amepeleka mkono uandike maneno hayo MENE MENE TEKEL NA PERES yaani “Mungu amezihesabu siku za ufalme wako na kuzimaliza, umepimwa katika kipimo na kuonekana hufai kitu, ufalme wako wamepewa Wamedi na Waajemi.” Maneno hayo yalitimia siku hiyo hiyo na ufalme wa Belshaza ukafikia hatima yake kutokana na kiburi chake.(Daniel 5:1-31)
Naliona anguko la Chadema kama chama kikuu cha upinzani Tanzania. Ni anguko lililodhahiri kama yale maneno ukutani ila kama ilivyo kwa mfalme Belshaza ndivyo ilivyo kwa Mbowe, ameshindwa kuliona anguko hilo, MENE MENE TEKEL NA PERES. Zaidi ya mikutano na matamko yasiyo na tija sijaona jitihada za wazi za kimkakati za kuifanya Chadema iendelee kuwa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania. Ni kama vile viongozi wa Chadema wanadhani chama chao kina “devine right” hivyo kitaendelea kupendwa na Watanzania katika mazingira yoyote yale, hii si sawa.
Chadema ina wafuasi wengi ulikilinganisha na vyama vingine vya upinzani na kama mazingira ya kisiasa yangekuwa fair huenda kina wafuasi wengi kuliko CCM ila sioni hali hii ikiendelea kutokana na viongozi wa chama kutotaka kubadili mbinu kwa kuzingatia mabadiliko ya kisiasa yaliyotokea Tanzania kwa kipindi hiki cha miaka mitatu. Kwa sasa uwepo wa Chadema unategemea zaidi huruma ya Watanzania ila wakati umekaribia ambapo huruma haitokuwa kigezo bali kitaangaliwa chama chenye nia thabiti, mipango na mikakati yakinifu ya kukiondoa chama cha Mapinduzi. Je Chadema wamejiandaa kwa hili?
Chadema sio chama cha upinzani cha kwanza kuwa na nguvu Tanzania, ilikuwepo NCCR MAGEUZI pia ilikuwepo CUF ila kwa sasa vyama hivi havina mvuto machoni mwa Watanzania walio wengi kwa sababu havikuonyesha nia dhabiti ya kusiamamia kile walichokuwa wakikinena. CHADEMA inalijua hili ila inapuuza kama mfalme Belshaza alivyopuuza yaliyoupata ufalme wa babu yake hadi ufalme wake pia ukaanguka na ali hii itaipata pia CHADEMA ikiwa haitajitathmini na kuchuka hatua stahiki kwa ajili ya kujihakikishia uhai wake.
Ni ajabu sana kuona makamanda wa CHADEMA wanavyobeza nguvu ACT-WAZALENDO kwa Tanzania bara. Wanadhani haina nafasi, nadhani wamesahau hata wao hawakuwa na nafasi mwaka 2005 ila jitihada zao za wazi zimewafikisha hapo walipo leo na ndivyo itakavyokuwa kwa ACT-WAZALENDO. Ni wazi vijana taratibu wameanza kumuamini tena Zitto Kabwe na zile kauli kuwa ni msaliti zimeanza kupungua na wengi wameanza kumuona kama shujaa atakayewafikisha nchi ya ahadi, Mbowe umeliona hili?
Wazungu wanasema, “pride comes before a fall” huu ubezaji wanaoufanya akina Yeriko Nyerere hakika ni mwanzo wa anguko la CHADEMA kama lilivyotokea kwa ufalme wa Belshaza. Makamanda ni lazima waache ego na pride zisizo na tija na waitambue nguvu ya Zitto na ACT na kutazama namna gani watasonga mbele pamoja kwa manufaa ya upinzani wote vinginevyo watagawana kura 2020 na CCM itabaki kuwa kinara. Na endapo hili halitafanyika sioni CHADEMA ikiendelea kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya 2020.
Ni wakati wa CHADEMA kuyasoma maandishi ukutani, MENE MENE TEKEL NA PERES.
Haya uliyonena ni hakika kabisa. Kuna upofu na dharau zimejengeka miongoni mwa wanaCDM kwamba wao ndio chamakikuu cha upinzani na bila wao hakuna upinzani. Ni wakati muafaka kwa viongozi wa CDM kujitafakari na kujitazama ili wapate diraMENE MENE TEKEL NA PERES, kiganja cha mkono kilionekana kikiandika maneno hayo ukutani. Hiyo ilikuwa ni siku ya karamu kubwa iliyoandaliwa na mfalme wa Babeli aliyeitwa Belshaza ambaye ni mjukuu wa Nebukadreza. Siku hiyo walialikwa wageni wa heshima nao wakala na kunywa wakitumia vikombe vya dhahabu na fedha na mabakuli yaliyochukuliwa katika hekalu la Yehova huko Yerusalemu, hili lilikuwa ni chukizo mbele ya Mungu ndipo katika hali ya kustaajabisha maneno yakaandikwa ukutani MENE MENE TEKEL NA PERES.
Ulikuwa ni ujumbe kutoka kwa Mungu kwenda kwa mfalme Belshaza ila nani atatafsiri maneno hayo? Waliletwa “wachawi” wenye akili lakini hakuna aliyekuwa na ujuzi wa kusoma maandishi yale ukutani. Baada ya tafakuri kubwa ndipo mama wa mfalme akapendekeza aitwe Daniel kwa maana yeye anaijua miungu mitakatifu hivyo ataliweza zoezi hili. Baada ya Daniel kuitwa alitafsiri maneno hayo ya Mungu.
Daniel alisema Yehova alimuondoa Nebukadreza babu ya Belshaza asiwe mfalme kwa kuwa alikuwa na kiburi sana, naye Yehova alimuadhibu Nebukadreza. Belshaza aliyajua yote yaliyompata babu yake ila naye anafuata njia ile ile ya babu yake, amechukua vikombe na mabakuli katika hekalu la Yehova na kuvinywea. Ndiyo sababu Mungu amepeleka mkono uandike maneno hayo MENE MENE TEKEL NA PERES yaani “Mungu amezihesabu siku za ufalme wako na kuzimaliza, umepimwa katika kipimo na kuonekana hufai kitu, ufalme wako wamepewa Wamedi na Waajemi.” Maneno hayo yalitimia siku hiyo hiyo na ufalme wa Belshaza ukafikia hatima yake kutokana na kiburi chake.(Daniel 5:1-31)
Naliona anguko la Chadema kama chama kikuu cha upinzani Tanzania. Ni anguko lililodhahiri kama yale maneno ukutani ila kama ilivyo kwa mfalme Belshaza ndivyo ilivyo kwa Mbowe, ameshindwa kuliona anguko hilo, MENE MENE TEKEL NA PERES. Zaidi ya mikutano na matamko yasiyo na tija sijaona jitihada za wazi za kimkakati za kuifanya Chadema iendelee kuwa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania. Ni kama vile viongozi wa Chadema wanadhani chama chao kina “devine right” hivyo kitaendelea kupendwa na Watanzania katika mazingira yoyote yale, hii si sawa.
Chadema ina wafuasi wengi ulikilinganisha na vyama vingine vya upinzani na kama mazingira ya kisiasa yangekuwa fair huenda kina wafuasi wengi kuliko CCM ila sioni hali hii ikiendelea kutokana na viongozi wa chama kutotaka kubadili mbinu kwa kuzingatia mabadiliko ya kisiasa yaliyotokea Tanzania kwa kipindi hiki cha miaka mitatu. Kwa sasa uwepo wa Chadema unategemea zaidi huruma ya Watanzania ila wakati umekaribia ambapo huruma haitokuwa kigezo bali kitaangaliwa chama chenye nia thabiti, mipango na mikakati yakinifu ya kukiondoa chama cha Mapinduzi. Je Chadema wamejiandaa kwa hili?
Chadema sio chama cha upinzani cha kwanza kuwa na nguvu Tanzania, ilikuwepo NCCR MAGEUZI pia ilikuwepo CUF ila kwa sasa vyama hivi havina mvuto machoni mwa Watanzania walio wengi kwa sababu havikuonyesha nia dhabiti ya kusiamamia kile walichokuwa wakikinena. CHADEMA inalijua hili ila inapuuza kama mfalme Belshaza alivyopuuza yaliyoupata ufalme wa babu yake hadi ufalme wake pia ukaanguka na ali hii itaipata pia CHADEMA ikiwa haitajitathmini na kuchuka hatua stahiki kwa ajili ya kujihakikishia uhai wake.
Ni ajabu sana kuona makamanda wa CHADEMA wanavyobeza nguvu ACT-WAZALENDO kwa Tanzania bara. Wanadhani haina nafasi, nadhani wamesahau hata wao hawakuwa na nafasi mwaka 2005 ila jitihada zao za wazi zimewafikisha hapo walipo leo na ndivyo itakavyokuwa kwa ACT-WAZALENDO. Ni wazi vijana taratibu wameanza kumuamini tena Zitto Kabwe na zile kauli kuwa ni msaliti zimeanza kupungua na wengi wameanza kumuona kama shujaa atakayewafikisha nchi ya ahadi, Mbowe umeliona hili?
Wazungu wanasema, “pride comes before a fall” huu ubezaji wanaoufanya akina Yeriko Nyerere hakika ni mwanzo wa anguko la CHADEMA kama lilivyotokea kwa ufalme wa Belshaza. Makamanda ni lazima waache ego na pride zisizo na tija na waitambue nguvu ya Zitto na ACT na kutazama namna gani watasonga mbele pamoja kwa manufaa ya upinzani wote vinginevyo watagawana kura 2020 na CCM itabaki kuwa kinara. Na endapo hili halitafanyika sioni CHADEMA ikiendelea kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya 2020.
Ni wakati wa CHADEMA kuyasoma maandishi ukutani, MENE MENE TEKEL NA PERES.
Mbona hujaandika jitahada za maksudi za serikali na vyombo vyake vyote kuidhoofisha na hatimaye kutaka kuiua CHADEMA.
Huyohuyo Mbowe na wenzake walimudu kuijenga vyema CHADEMA ikawa na sura kubwa kitaifa, umejiuliza hivi sasa wanakwama wapi? Na kwa nini kipindi hicho hukujitokeza kuwasifu?
Bandiko lako ni rubbish tu. CHADEMA ikifa haikufanyi wewe kuwa na maisha bora. Shida ulizo nazo zimeletwa na CCM hiihii unayoipaka manukato
Sasa wewe unakumbuka hatua zilizochukuliwa dhidi ya zito ili asiidhuru CDM ulisikia popote? Ila nyiye ccm mna hali mbaya sana bila dola nyie hamna kitu ila kinachofanyika kwa taarifa yako ni kuwataarifu watanzania kuendana na hali iliyopo lakini kiufupi mazingira ya siasa ya vyama vingi kwa sasa ni magumu sana.Vyovyote iwavyo ikiwa inahujumiwa au inajimaliza, swali Ni je viongozi wanachukua hatua stahiki kukabiliana na kadhia hiyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona Ishara wazi zinaonyesha CCM ndo imeanguka Siku nyingi?MENE MENE TEKEL NA PERES, kiganja cha mkono kilionekana kikiandika maneno hayo ukutani. Hiyo ilikuwa ni siku ya karamu kubwa iliyoandaliwa na mfalme wa Babeli aliyeitwa Belshaza ambaye ni mjukuu wa Nebukadreza. Siku hiyo walialikwa wageni wa heshima nao wakala na kunywa wakitumia vikombe vya dhahabu na fedha na mabakuli yaliyochukuliwa katika hekalu la Yehova huko Yerusalemu, hili lilikuwa ni chukizo mbele ya Mungu ndipo katika hali ya kustaajabisha maneno yakaandikwa ukutani MENE MENE TEKEL NA PERES.
Ulikuwa ni ujumbe kutoka kwa Mungu kwenda kwa mfalme Belshaza ila nani atatafsiri maneno hayo? Waliletwa “wachawi” wenye akili lakini hakuna aliyekuwa na ujuzi wa kusoma maandishi yale ukutani. Baada ya tafakuri kubwa ndipo mama wa mfalme akapendekeza aitwe Daniel kwa maana yeye anaijua miungu mitakatifu hivyo ataliweza zoezi hili. Baada ya Daniel kuitwa alitafsiri maneno hayo ya Mungu.
Daniel alisema Yehova alimuondoa Nebukadreza babu ya Belshaza asiwe mfalme kwa kuwa alikuwa na kiburi sana, naye Yehova alimuadhibu Nebukadreza. Belshaza aliyajua yote yaliyompata babu yake ila naye anafuata njia ile ile ya babu yake, amechukua vikombe na mabakuli katika hekalu la Yehova na kuvinywea. Ndiyo sababu Mungu amepeleka mkono uandike maneno hayo MENE MENE TEKEL NA PERES yaani “Mungu amezihesabu siku za ufalme wako na kuzimaliza, umepimwa katika kipimo na kuonekana hufai kitu, ufalme wako wamepewa Wamedi na Waajemi.” Maneno hayo yalitimia siku hiyo hiyo na ufalme wa Belshaza ukafikia hatima yake kutokana na kiburi chake.(Daniel 5:1-31)
Naliona anguko la Chadema kama chama kikuu cha upinzani Tanzania. Ni anguko lililodhahiri kama yale maneno ukutani ila kama ilivyo kwa mfalme Belshaza ndivyo ilivyo kwa Mbowe, ameshindwa kuliona anguko hilo, MENE MENE TEKEL NA PERES. Zaidi ya mikutano na matamko yasiyo na tija sijaona jitihada za wazi za kimkakati za kuifanya Chadema iendelee kuwa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania. Ni kama vile viongozi wa Chadema wanadhani chama chao kina “devine right” hivyo kitaendelea kupendwa na Watanzania katika mazingira yoyote yale, hii si sawa.
Chadema ina wafuasi wengi ulikilinganisha na vyama vingine vya upinzani na kama mazingira ya kisiasa yangekuwa fair huenda kina wafuasi wengi kuliko CCM ila sioni hali hii ikiendelea kutokana na viongozi wa chama kutotaka kubadili mbinu kwa kuzingatia mabadiliko ya kisiasa yaliyotokea Tanzania kwa kipindi hiki cha miaka mitatu. Kwa sasa uwepo wa Chadema unategemea zaidi huruma ya Watanzania ila wakati umekaribia ambapo huruma haitokuwa kigezo bali kitaangaliwa chama chenye nia thabiti, mipango na mikakati yakinifu ya kukiondoa chama cha Mapinduzi. Je Chadema wamejiandaa kwa hili?
Chadema sio chama cha upinzani cha kwanza kuwa na nguvu Tanzania, ilikuwepo NCCR MAGEUZI pia ilikuwepo CUF ila kwa sasa vyama hivi havina mvuto machoni mwa Watanzania walio wengi kwa sababu havikuonyesha nia dhabiti ya kusiamamia kile walichokuwa wakikinena. CHADEMA inalijua hili ila inapuuza kama mfalme Belshaza alivyopuuza yaliyoupata ufalme wa babu yake hadi ufalme wake pia ukaanguka na ali hii itaipata pia CHADEMA ikiwa haitajitathmini na kuchuka hatua stahiki kwa ajili ya kujihakikishia uhai wake.
Ni ajabu sana kuona makamanda wa CHADEMA wanavyobeza nguvu ACT-WAZALENDO kwa Tanzania bara. Wanadhani haina nafasi, nadhani wamesahau hata wao hawakuwa na nafasi mwaka 2005 ila jitihada zao za wazi zimewafikisha hapo walipo leo na ndivyo itakavyokuwa kwa ACT-WAZALENDO. Ni wazi vijana taratibu wameanza kumuamini tena Zitto Kabwe na zile kauli kuwa ni msaliti zimeanza kupungua na wengi wameanza kumuona kama shujaa atakayewafikisha nchi ya ahadi, Mbowe umeliona hili?
Wazungu wanasema, “pride comes before a fall” huu ubezaji wanaoufanya akina Yeriko Nyerere hakika ni mwanzo wa anguko la CHADEMA kama lilivyotokea kwa ufalme wa Belshaza. Makamanda ni lazima waache ego na pride zisizo na tija na waitambue nguvu ya Zitto na ACT na kutazama namna gani watasonga mbele pamoja kwa manufaa ya upinzani wote vinginevyo watagawana kura 2020 na CCM itabaki kuwa kinara. Na endapo hili halitafanyika sioni CHADEMA ikiendelea kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya 2020.
Ni wakati wa CHADEMA kuyasoma maandishi ukutani, MENE MENE TEKEL NA PERES.