DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Mwaka 2016 mwanamke mmoja aitwae Margareta Boemers akiwa mjamzito wa miezi 6 alikwenda kliniki kwa ajili kucheck maendeleo ya ujauzito wake.
Baada ya vipimo mbalimbali ikiwemo ultrasound, ikabainika Mtoto alie tumboni kwake ana uvimbe chini ya mfupa wa uti wa mgongo (tail bone tumor) unaozidi kukua kwa kasi.
Ikashauriwa uvimbe uondolewe haraka vinginevyo uvimbe ule usingeondolewa ungekuja kumletea matatizo ya moyo Mtoto alietumboni pamoja na mama yake, hasa upande wa mapafu maana ungemsababishia kushindwa kupumua vizuri.
Timu ya madaktari na wauguzi 21 ikiongozwa na dr. Olunyika Olutoye (Mnigeria) na Dr. Darrel Cass (mmarekani) walimfanya mjamzito yule upasuaji wa kujifungua, kwa kumtoa kichanga Moja kwa Moja toka kwenye mfuko wake wa uzazi.
Kisha Mtoto yule akawekwa pembeni kwa ajili upasuaji mwngn tena wa kumuondolea uvimbe ule mkubwa uliokua kwenye uti wa mgongo.
Na walipomaliza oparesheni ile, wakamrudishia kichanga kwenye mfuko wake wa uzazi na kuushonea Kama walivoukuta mwanzo, ili Mtoto yule aendelee kukua vzuri amalizie miez 3yake 3 iliyobaki kabla ya kujifungua.
Kwa bahati nzuri,
Miezi 3 ikaisha na mtoto yule akazaliwa salama kwa Mara ya pili na mwenye afya njema, akiwa na kilo 3.2 tofauti na mwanzo alipokua na kilo 1.9
NB: Mtoto yule na mama yake wote wako hai mpaka leo hii.
Nawasilisha
Baada ya vipimo mbalimbali ikiwemo ultrasound, ikabainika Mtoto alie tumboni kwake ana uvimbe chini ya mfupa wa uti wa mgongo (tail bone tumor) unaozidi kukua kwa kasi.
Ikashauriwa uvimbe uondolewe haraka vinginevyo uvimbe ule usingeondolewa ungekuja kumletea matatizo ya moyo Mtoto alietumboni pamoja na mama yake, hasa upande wa mapafu maana ungemsababishia kushindwa kupumua vizuri.
Timu ya madaktari na wauguzi 21 ikiongozwa na dr. Olunyika Olutoye (Mnigeria) na Dr. Darrel Cass (mmarekani) walimfanya mjamzito yule upasuaji wa kujifungua, kwa kumtoa kichanga Moja kwa Moja toka kwenye mfuko wake wa uzazi.
Kisha Mtoto yule akawekwa pembeni kwa ajili upasuaji mwngn tena wa kumuondolea uvimbe ule mkubwa uliokua kwenye uti wa mgongo.
Na walipomaliza oparesheni ile, wakamrudishia kichanga kwenye mfuko wake wa uzazi na kuushonea Kama walivoukuta mwanzo, ili Mtoto yule aendelee kukua vzuri amalizie miez 3yake 3 iliyobaki kabla ya kujifungua.
Kwa bahati nzuri,
Miezi 3 ikaisha na mtoto yule akazaliwa salama kwa Mara ya pili na mwenye afya njema, akiwa na kilo 3.2 tofauti na mwanzo alipokua na kilo 1.9
NB: Mtoto yule na mama yake wote wako hai mpaka leo hii.
Nawasilisha