Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona ehh? Hiyo ndiyo maana halisi ya kuwa assistantIn
Indeed, ni kumwombea kwenye kila analokushirikisha
Duùuuu huwezi jua utatobia wapiKisa hiki nimeshindwa nikiweke kwenye jukwaa gani haswa, sijui jukwaa la habari mchanganyiko, sijui jukwaa la uchumi na biashara au jukwaa la mapenzi? All in all let me drop it here.
Kabla sijaolewa nilijiwekea nadhari kwamba nataka ñiolewe na Bwana mwenye akili, hata kama hana hela au wengine (ndugu, jamaa, marafiki, ma ma hater) waKisema hana future, basi poa tu, we can build the future together.
I remember it was 2011, utawala wa JK uko kwenye peak, ndio nimefuñga ndoa na kapuku wangu, zaidi ya map*** yake hana chochote zaidi ya akili. Jamaa is a superb brilliant.
And it was heading to June, jamaa sijui kavuta bangi ya wapi, kaja na mawazo impossible, ila ukiyafanya kuwa possible, could change someone's life.
Basi usiku tumelala, ananiambia Wachina wanataka mbwa 79 kuna festival la kula dog?
Yalaah my sweet heart where are you going to aquire all that requisition?
Mbwa 79 unaenda kuwapata wapi? Mkoa gàni watakupa?
Jamaa nunda, wala hata hajibu swali.
Sitaki kujua , na wala kuuliza, but leo we are here because of that deal.
Wito kwa wadada wote:-
Don't underestimate mawazo ya mume wako, na mbinu zake za utafutaji.
Motive behind ya story, usichague mume mwenye nacho tuAll in all Katika utaftaji lazima ubet,
Huyo Mumeo mkeka ulitick japo Kuna Watu Kama wawili waliwahi kutapeliwa kwa style hiyo hiyo ya wachina wanatafta mbwa. Mumeo Aliponea chupuchupu.
Watu wa 50 50 hawatakuelewaUmeona ehh? Hiyo ndiyo maana halisi ya kuwa assistant
Kwamba MJ kaachana na mambo ya vilingeni siku hizi?Kisa hiki nimeshindwa nikiweke kwenye jukwaa gani haswa, sijui jukwaa la habari mchanganyiko, sijui jukwaa la uchumi na biashara au jukwaa la mapenzi? All in all let me drop it here.
Kabla sijaolewa nilijiwekea nadhari kwamba nataka ñiolewe na Bwana mwenye akili, hata kama hana hela au wengine (ndugu, jamaa, marafiki, ma ma hater) waKisema hana future, basi poa tu, we can build the future together.
I remember it was 2011, utawala wa JK uko kwenye peak, ndio nimefuñga ndoa na kapuku wangu, zaidi ya map*** yake hana chochote zaidi ya akili. Jamaa is a superb brilliant.
And it was heading to June, jamaa sijui kavuta bangi ya wapi, kaja na mawazo impossible, ila ukiyafanya kuwa possible, could change someone's life.
Basi usiku tumelala, ananiambia Wachina wanataka mbwa 79 kuna festival la kula dog?
Yalaah my sweet heart where are you going to aquire all that requisition?
Mbwa 79 unaenda kuwapata wapi? Mkoa gàni watakupa?
Jamaa nunda, wala hata hajibu swali.
Sitaki kujua , na wala kuuliza, but leo we are here because of that deal.
Wito kwa wadada wote:-
Don't underestimate mawazo ya mume wako, na mbinu zake za utafutaji.
Ni wagonjwa wa akili, wanapingana MunguWatu wa 50 50 hawatakuelewa
YesMotive behind ya story, usichague mume mwenye
And that's itKisa hiki nimeshindwa nikiweke kwenye jukwaa gani haswa, sijui jukwaa la habari mchanganyiko, sijui jukwaa la uchumi na biashara au jukwaa la mapenzi? All in all let me drop it here.
Kabla sijaolewa nilijiwekea nadhari kwamba nataka ñiolewe na Bwana mwenye akili, hata kama hana hela au wengine (ndugu, jamaa, marafiki, ma ma hater) waKisema hana future, basi poa tu, we can build the future together.
I remember it was 2011, utawala wa JK uko kwenye peak, ndio nimefuñga ndoa na kapuku wangu, zaidi ya map*** yake hana chochote zaidi ya akili. Jamaa is a superb brilliant.
And it was heading to June, jamaa sijui kavuta bangi ya wapi, kaja na mawazo impossible, ila ukiyafanya kuwa possible, could change someone's life.
Basi usiku tumelala, ananiambia Wachina wanataka mbwa 79 kuna festival la kula dog?
Yalaah my sweet heart where are you going to aquire all that requisition?
Mbwa 79 unaenda kuwapata wapi? Mkoa gàni watakupa?
Jamaa nunda, wala hata hajibu swali.
Sitaki kujua , na wala kuuliza, but leo we are here because of that deal.
Wito kwa wadada wote:-
Don't underestimate mawazo ya mume wako, na mbinu zake za utafutaji.
Ok vyema👍Inaonekana Ni mwenye furaha Sana leo na anajivunia Sana mumewe, kakumbuka walikotoka[emoji4]
Tafuta kababu utafunie
True. Mbaya sana siku hizi hasa wanaume wa mijini wamekuwa na tabia ya kujidekeza na kujilegeza kwa wanaume wenzao, what a shame??Ni Kweli kipenz wachache wataelewa mwanaume awe na akili ya kutamni kusogeza na uone maonoyake yategemea kufanya kazi sio Hawa wa kubet 😀
Usikute na huyu ni tapeli wa kiumeAll in all Katika utaftaji lazima ubet,
Huyo Mumeo mkeka ulitick japo Kuna Watu Kama wawili waliwahi kutapeliwa kwa style hiyo hiyo ya wachina wanatafta mbwa. Mumeo Aliponea chupuchupu.
Shida juu ya nini?Kwahiyo mnaishi kwa kuuza nyama ya mbwa kwa wachina??