Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Labda kabibi kama kapo.Tafuta kababu utafunie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kabibi kama kapo.Tafuta kababu utafunie
Katafune tu, kwani hatari kitu gàni?Labda kabibi kama kapo.
Kanapatikana wapi dogo?Katafune tu, kwani hatari kitu gàni?
Kwa kina KadogooKanapatikana wapi dogo?
Utanipeleka huko weekend?Kwa kina Kadogoo
Kisa hiki nimeshindwa nikiweke kwenye jukwaa gani haswa, sijui jukwaa la habari mchanganyiko, sijui jukwaa la uchumi na biashara au jukwaa la mapenzi? All in all let me drop it here.
Kabla sijaolewa nilijiwekea nadhari kwamba nataka ñiolewe na Bwana mwenye akili, hata kama hana hela au wengine (ndugu, jamaa, marafiki, ma ma hater) waKisema hana future, basi poa tu, we can build the future together.
I remember it was 2011, utawala wa JK uko kwenye peak, ndio nimefuñga ndoa na kapuku wangu, zaidi ya map*** yake hana chochote zaidi ya akili. Jamaa is a superb brilliant.
And it was heading to June, jamaa sijui kavuta bangi ya wapi, kaja na mawazo impossible, ila ukiyafanya kuwa possible, could change someone's life.
Basi usiku tumelala, ananiambia Wachina wanataka mbwa 79 kuna festival la kula dog?
Yalaah my sweet heart where are you going to aquire all that requisition?
Mbwa 79 unaenda kuwapata wapi? Mkoa gàni watakupa?
Jamaa nunda, wala hata hajibu swali.
Sitaki kujua , na wala kuuliza, but leo we are here because of that deal.
Wito kwa wadada wote:-
Don't underestimate mawazo ya mume wako, na mbinu zake za utafutaji.kama mbuzi tu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]Tangazo mwaka 2011 nilipotelewa na mbwa wangu wawili rangi nyeusi, na mtaani kwetu waliibiwa mbwa karibia 16
Kumbe una mume na wewe
Kumbe una mume na wewe
Uyu mtu kavuta skanka tu nawe sijui jtakuwa umevuta sigara? [emoji848]Maana iyo biashara ya mbwa hata muendelezo sijui umeisja au inaendeleaKisa hiki nimeshindwa nikiweke kwenye jukwaa gani haswa, sijui jukwaa la habari mchanganyiko, sijui jukwaa la uchumi na biashara au jukwaa la mapenzi? All in all let me drop it here.
Kabla sijaolewa nilijiwekea nadhari kwamba nataka ñiolewe na Bwana mwenye akili, hata kama hana hela au wengine (ndugu, jamaa, marafiki, ma ma hater) waKisema hana future, basi poa tu, we can build the future together.
I remember it was 2011, utawala wa JK uko kwenye peak, ndio nimefuñga ndoa na kapuku wangu, zaidi ya map*** yake hana chochote zaidi ya akili. Jamaa is a superb brilliant.
And it was heading to June, jamaa sijui kavuta bangi ya wapi, kaja na mawazo impossible, ila ukiyafanya kuwa possible, could change someone's life.
Basi usiku tumelala, ananiambia Wachina wanataka mbwa 79 kuna festival la kula dog?
Yalaah my sweet heart where are you going to aquire all that requisition?
Mbwa 79 unaenda kuwapata wapi? Mkoa gàni watakupa?
Jamaa nunda, wala hata hajibu swali.
Sitaki kujua , na wala kuuliza, but leo we are here because of that deal.
Wito kwa wadada wote:-
Don't underestimate mawazo ya mume wako, na mbinu zake za utafutaji.
HayaUyu mtu kavuta skanka tu nawe sijui jtakuwa umevuta sigara? [emoji848]Maana iyo biashara ya mbwa hata muendelezo sijui umeisja au inaendelea
Haya vipo vijibwa vingi tu usiku majalalan