Kisa cha mume wangu na dili la mbwa

Duùuuu huwezi jua utatobia wapi
 
Kwamba MJ kaachana na mambo ya vilingeni siku hizi?

Big up sana kwake huyo Jamaa [emoji3]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
And that's it
 
Ni Kweli kipenz wachache wataelewa mwanaume awe na akili ya kutamni kusogeza na uone maonoyake yategemea kufanya kazi sio Hawa wa kubet 😀
True. Mbaya sana siku hizi hasa wanaume wa mijini wamekuwa na tabia ya kujidekeza na kujilegeza kwa wanaume wenzao, what a shame??
 
All in all Katika utaftaji lazima ubet,
Huyo Mumeo mkeka ulitick japo Kuna Watu Kama wawili waliwahi kutapeliwa kwa style hiyo hiyo ya wachina wanatafta mbwa. Mumeo Aliponea chupuchupu.
Usikute na huyu ni tapeli wa kiume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…